Latest Posts
Kiwanda kikubwa cha kuzalisha bidhaa za chuma kujengwa Nala, jijiji Dodoma
▪️Ni uwekezaji wa zaidi ya Tsh Bilioni 600 ▪️Malighafi ya madini chuma kutumika kama bidhaa kuu ▪️Ajira 1500 kuzalishwa, huku ujenzi ukikamilika ndani ya miezi 15 kuanzia Julai, 2026 ▪️Rais Samia apongezwa kwa mazingira rafiki ya Uwekezaji ▪️Waziri Mavunde apongeza…
Ujerumani yatoa onyo kwa wapinzani katika kombe la dunia
Timu ya taifa ya Ujerumani imetoa onyo kali kwa wapinzani wao kwenye Kombe la Dunia baada ya kuanza kampeni yao kwa ushindi mnono wa 7–1 dhidi ya Curacao katika mchezo wa ufunguzi. Licha ya kuanza kwa kusuasua na kuruhusu bao…
Urusi na Ukraine zashambuliana kwa makombora
Ukraine imesema kwamba mashambulizi ya makombora ya Urusi yamewajeruhi watu kadhaa na kufanya uharibifu katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo huku Urusi nayo imeripoti vifo vya watatu katika mji wake wa kusini wa Tula. Ukraine na Urusi zimeendelea kushambuliana kwa…
Marekani na Iran zimekubaliana kusitisha vita
Makubaliano hayo yanatarajiwa kutiwa saini nchini Uswisi na yanaweza kuleta afueni kwa uchumi wa dunia uliotikiswa na vita, ingawa masuala ya nyuklia na vikwazo bado hayajapatiwa suluhisho ya kudumu. Pakistan imesema Marekani na Iran zimefikia makubaliano ya amani yatakayositisha mara…
Serikali yaendelea na mkakati wa Sinza kuwa kitovu cha makazi ya kisasa
Na Mwandishi Wetu SERIKALI imeendelea kusisitiza ushirikishwaji wa wananchi na wamiliki wa ardhi katika utekelezaji wa Mpango wa Uendelezaji Upya wa Eneo la Sinza jijini Dar es Salaam, unaotarajiwa kutekelezwa kwa kipindi cha miaka 20 kuanzia mwaka 2026 hadi 2046….
Rais Samia kupokea gawio la Serikali Juni 30 Ikulu Dar
Naibu Msajili wa Hazina, Lightness Mauki, amesema Serikali itaendelea kuimarisha uwazi, uwajibikaji na usimamizi wa uwekezaji wa umma ili kuhakikisha rasilimali zilizowekezwa katika taasisi, mashirika ya umma na kampuni zenye hisa za Serikali zinaendelea kuleta tija kwa wananchi na taifa…





