JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TARURA yawaimarisha maafisa ununuzi kudhibiti hoja za ukaguzi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro‎‎Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imewahimiza Maafisa Ununuzi kuzingatia kikamilifu sheria, kanuni na taratibu za ununuzi ili kudhibiti upotevu wa fedha za serikali na kuondoa hoja za ukaguzi zinazojitokeza mara kwa mara katika…

Waziri Mkuu akagua ujenzi wa barabara ya mchepuo ya mji wa Iringa

▪️Asema mradi huo utafungua fursa mpya za uchumi na kupunguza msongamano wa magari mjini Iringa ▪️Aagiza wakandarasi kuwalipa kwa wakati wadaiwa wao WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuwekeza katika miradi ya kimkakati ya miundombinu ili kuboresha usafiri,…

Elimu ugonjwa wa Ebola yatolewa Funguni sekondari

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pangani Walimu na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Funguni ya wilayani Pangani mkoani Tanga wamenufaika na elimu kuhusiana na ugonjwa wa Ebola. Elimu hiyo imetolewa Mei 22, 2026, na Jackline Mjema ambaye ni Afisa Afya kutoka…

Makaa ya mawe Ruvuma yafungua masoko ya Afrika na Asia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ruvuma Mkoa wa Ruvuma umeendelea kujizolea umaarufu katika sekta ya madini baada ya makaa ya mawe yanayochimbwa katika wilaya za Mbinga, Songea na Nyasa kufungua masoko katika nchi mbalimbali za Afrika na Asia, huku zaidi ya…

Ridhiwan Kikwete aongoza ujumbe wa Tanzania mkutano wa EAC

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete, jijini Arusha ameongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa Mawaziri kutoka Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Mkutano huo ni hatua…