JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TARURA yakamilisha ujenzi barabara ya Eso – Longdon kwa kiwango cha lami Arusha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Serikali kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imekamilisha ujenzi wa barabara ya Eso–Longdon yenye urefu wa kilomita 1.8 kwa kiwango cha lami katika Jiji la Arusha. Akizungumza wakati wa ziara ya kutembelea…

Kamati ya Bunge Nishati na Madini yashangazwa na teknolojia ya kituo cha uchenjuaji dhahabu cha Katente

Bukombe , Geita Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini wameonyesha kuridhishwa na kushangazwa na kasi ya teknolojia inayotumika katika Kituo cha Mfano cha Uchenjuaji Dhahabu cha Katente, kilichopo wilaya ya Bukombe, mkoani Geita. Hayo yamebainishwa…

Waziri Mkuu asisitiza amani, maadili na ushirikiano na taasisi za dini

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na taasisi za dini nchini katika kulinda amani, kuimarisha maadili na kuchochea maendeleo ya Taifa. Dkt. Mwigulu amesema hayo leo Jumapili (Machi 15, 2026) wakati akitoa salamu katika Ibada…

Makamu wa Rais ashirii Misa Takatifu ya Jumapili ya nne ya Kwaresma Songea

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ameungana na Waumini mbalimbali katika Misa Takatifu ya Jumapili ya Nne ya Kwaresma, katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Mathias Mulumba Kalemba, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Leo tarehe…

Marekani yazidisha mashambulizi, Iran yaapa kutosalimu amri

Marekani imesema imeyashambulia maeneo zaidi ya 90 ya kijeshi ya Iran katika kisiwa cha Kharg, huku Iran nayo ikijibu mashambulizi hayo kwa kufyetua makombora na droni kuelekea Israel na katika nchi jirani za Ghuba. Kamandi kuu ya jeshi la Marekani…

Serikali yaipongeza Bodi ya Mikopo kuendelea kuwafikia wanafunzi wengi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Denis Londo amesema Serikali itaendelea kuimarisha uwekezaji katika elimu ya juu ili kuwajengea vijana uwezo wa kushindana katika soko la ajira ndani na nje ya nchi. Akizungumza…