JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Waziri Mkuu: Fedha za muungano zitumike kukarabati miundombin ya barabara

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekeza fedha zilizokuwa zimepangwa kugharamia maadhimisho ya Sherehe za Muungano mwaka huu, zitumike kukarabati miundombinu ya barabara iliyoharibiwa na mvua zinazoendelea kunyesha…

CCM na changamoto ya vyama vingi

Chama cha Mapinduzi (CCM) kiliasisiwa mwaka 1977 ikiwa ni munganiko wa falsafa na misingi ya ASP na TANU. Msingi mkuu wa CCM ni ujamaa nakujitegemea nakama ulivyo wekewa msisitizo katika AZIMIO LA ARUSHA 1967. Na utu,udugu na usawa Dhumuni na…

Waziri wa Fedha asisitiza umuhimu wa nchi za Afrika kutunza vyanzo vya maji

Na Benny Mwaipaja, Washington D.C Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amesisitiza umuhimu wa nchi za Afrika kuweka mipango ya kuhakikisha kuwa maji salama yanapatikana kwa ajili ya matumizi ya binadamu na shughuli za kiuchumi lakini pia…

Mwenge watambua mchango wa Ridhiwani kwenye falsafa ya Mwenge wa Uhuru tangu kuanzishwa

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Chalinze MWENGE wa Uhuru umetambua mchango wa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,ambae pia ni Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete, kufuatia kuandika kitabu (andiko) kinachoelezea…

Serikali yashusha pumzi kwa wamiliki wa mabasi, nauli mpya hizi hapa

Na Mwandii Wetu ​Baada ya kipindi kirefu cha mvutano, vilio, na malalamiko kutoka kwa wafanyabiashara na wamiliki wa vyombo vya usafiri nchini, Serikali hatimaye imetoa majibu ya kisheria kufuatia kupanda kwa gharama za uendeshaji. Kupitia Gazeti la Serikali toleo la…