Latest Posts
Wakulima wa pamba washauriwa kuacja kilimo cha mazoea na kulima kwa tija zaidi
Wakulima wa zao la pamba mkoa wa Simiyu ambao ni wanachama wa vyama vya Ushirika wameshauriwa kulima kwa tija kwa kutumia teknolojia ya kisasa na kuepukana kilimo cha mazoea ambacho kinawapa hasara. Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa…
Dk Nchimbi afanya mazungumzo na Balozi wa Qatar nchini
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amekutana na kufanya mazugumzo na Balozi wa Qatar nchini Tanzania Mhe. Fahad Rashid Al-Marekhi, mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo tarehe 20 Februari 2026. Mazungumzo…
Waziri Mavunde aongoza kikao kutatua mgogoro mgodi wa Ililika – Nyarugusu
📍 Dodoma Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde leo Februari 20, 2026 ameongoza kikao cha kutatua Mgogoro kati ya Wachimbaji Wadogo wa duara No 15 na Uongozi wa Mgodi wa ILILIKA uliopo Nyarugusu Mkoani Geita. Baada ya kusikiliza pande zote…
TAKUKURU yakutana na wadau sekta ya afya Bunda
Wadau mbalimbali wa sekta ya Afya wilayani Bunda, wamesema wako tayari kushirikiana na TAKUKURU kudhibiti mianya ya rushwa katika utoaji wa huduma za afya pindi wanapotumia mifumo ya kielektroniki ya utoaji huduma hizo. Ahadi hiyo imetolewa katika warsha iliyoandaliwa na…
Mzabuni Manyoni kizimbani kwa tuhuma za kutoa nyaraka za uongo na kughushi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Manyoni Kesi ya Jinai Na. 3454/2026 imefunguliwa Februari 18, 2026 katika Mahakama ya Wilaya ya Manyoni, mkoani Singida, dhidi ya Bw. Herbert Matiko Tugara, Mzabuni wa Kampuni ya ‘Herver General Services’. Mshtakiwa anakabiliwa na shtaka la…
DC Bunda awaasa wadau sekta ya afya kutoa ushirikiano kwa TAKUKURU
Akizungumza wakati wa ufunguzi wa warsha ya wadau wa Sekta ya Afya na TAKUKURU, Mhe. Aswege Enock Kaminyoge, Mkuu wa Wilaya ya Bunda ambaye pia alikuwa Mgeni Rasmi katika warsha hiyo, amewaasa wadau hao kuendelea kutoa ushirikiano kwa TAKUKURU wakati…





