JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wasira awatolea uvivu walioanza mbio za urais

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen Wasira, amewaonya wanachama walioanza harakati za kusaka urais mwaka 2030 kwa kuwa muda wa kufanya hivyo bado haujawadia, hivyo wanaofanya hivyo wanakiuka kanuni, miongozo na utaratibu. Amesema kuanza mapema harakati…

Serikali yachochea elimu ya ufundi, walimu 150 wapelekwa India kwa mafunzo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tanzania imeandika ukurasa mpya katika historia ya elimu ya ufundi kwa kupeleka walimu 150 wa Amali za Kihandisi nchini India. Hatua hii kubwa ya kimkakati siyo tu safari ya mafunzo, bali ni uwekezaji…

Tanzania yapongezwa katika juhudi za mabadiliko ya mkutano nishati mkutano wa ZIMEC 2026

Kitwe , Zambia Rais wa Jamhuri ya Zambia Dkt. Haikande Hichilema amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa juhudi mbalimbali anazofanya katika kutekeleza Ajenda ya Mabadiliko ya Nishati ( Energy transition) Barani Afrika. Rais,…

Fanyeni kazi kwa bidii, ushirikiano na ubunifu kuboresha utoaji huduma kwa wananchi – Prof. Shemdoe

Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM– TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe amewataka watumishi wa OWM- TAMISEMI kufanya kazi kwa bidii, upendo, ushirikiano, pamoja na ubunifu katika utendaji…

Mazungumzo kati ya Iran na Marekani yapo njia panda

Wakati vita vilivyoanzishwa na Marekani na Israel dhidi ya Iran vikiingia siku yake ya 28 siku ya Ijumaa, kunatajwa dalili za mazungumzo ya kukomesha vita hivyo, ingawa mashambulizi baina yao hayajasita. Iran na Marekani bado zipo njia panda kuhusu suala…

HESLB yatilia mkazo PPP kutanua wigo wa ufadhili wa wanafunzi

Na Dk. Reubeni Lumbagala, JamhuriMedia, Tanga Elimu ni gharama. Elimu ina mahitaji mengi ambayo yanahitaji fedha ili kuyakamilisha ili kupata utulivu wa kujifunza darasani. Serikali inasimamia na kutekeleza kikamilifu Sera ya Elimumsingi bila ada ambapo hutumia fedha nyingi kuwezesha upatikanaji…