JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mikopo ya Bilioni 2.6/- yatolewa na Halmashauri ya Jiji la Arusha

Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Halmashauri ya jiji la Arusha imetoa mikopo ya asilimia kumi isiyo na riba ya jumla ya shs bilioni 2.65 kwa robo ya pili ya mwaka wa fedha 2025/2026, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuinua…

CCM Kibaha Mjini yashirikiana na RITA kusogeza huduma kwa wananchi

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kibaha Mjini kimeanza mpango wa kurahisisha upatikanaji wa vyeti vya kuzaliwa kwa kushirikiana na Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), ili kupunguza kero kwa wananchi, hasa wa maeneo ya pembezoni….

Serikali yaboresha ufanisi wa uingizaji bidhaa za afya kwa kuunganisha mifumo

Na Mwandishi Wetu Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imetangaza hatua mpya ya kuboresha utoaji huduma kwa kuunganisha mifumo ya kidijitali ya TANCIS ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na RIMS ya TMDA, hatua inayolenga kuongeza ufanisi, uwazi na…

Hemed : Katangulizeni maslahi ya Tanzania

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amewataka Mabalozi walioteuliwa kuiwakilisha Tanzania nje ya nchi kuhakikisha wanaangalia furasa za biashara na uwekezaji ambazo Tanzania inaweza kufaidika nazo. Akizungumza ofisi kwake Vuga alipokuwa akiagana na mabalozi hao,…

Samamba atoa wito GST kuboresha mazingirea ya kazi, kuimarisha ushirikiano

*Amesema Mazingira bora ya kazi ni msingi wa tija *Samaje amesema GST itaendelea kuboresha huduma za maabara na jiosayansi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Eng. Yahya Samamba, ameitaka Menejimenti ya Taasisi ya Jiolojia na…

Rais Dk Mwinyi : Zanzibar kuimarisha ushirikiano na WHO katika kuboresha sekta ya afya

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Zanzibar itaendelea kushirikiana na Shirika la Afya Duniani (WHO) ili kuhakikisha mafanikio zaidi yanapatikana katika kuimarisha utoaji wa huduma za afya nchini. Rais Dkt. Mwinyi…