JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali yajipanga kutatua changamoto za mazingira ya biashara nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kupitia Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) mesema kuwa imejipanga kutatua changamoto mbalimbali zilizopo katika mazingira ya biashara nchini ili kuendelea kuvutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi, hatua itakayosaidia kukuza…

Waziri Shariff : Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeweka mazingira rafiki katika sekta binafsi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeweka mazingira rafiki katika sekta binafsi kwa lengo la kuimarisha vivutio vya uwekezaji, kukuza ushirikiano kupitia ubia wa sekta ya umma na binafsi (PPP) katika miradi ya kimkakati. Akizungumza na…

Dk Nchimbi mgeni rasmi kumbukizi miaka mitano ya hayati John Magufuli

Makamu wa Rais Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Kumbukizi ya Miaka Mitano ya Kifo cha Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, itakayofanyika kesho tarehe…

Safari za ndege Dubai zarejea

Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dubai umerejesha huduma zake leo baada ya kufungwa kwa muda kufuatia moto uliotokea katika tanki la mafuta uliosababishwa na shambulizi la droni. Tukio la kuwaka moto kwa tanki la mafuta, ambalo halikusababisha majeruhi, ni…

Chongolo : Wizara ya Kilimo kuanzisha shamba la mbogamboga la hekari 200 Ruvu

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha SERIKALI kupitia Wizara ya Kilimo imeanza hatua za kuanzisha shamba maalum la mbogamboga Ruvu, wilayani Kibaha ,mkoani Pwani, lengo likiwa kuongeza uzalishaji wa mazao hayo ili kukidhi mahitaji ya chakula na lishe kwa Watanzania katika…

Mahakama yatupilia mbali shauri la kupinga Tume ya Uchunguzi ya Oktoba 29, 2025

Shauri la Mapitio Namba 32537 la 2025 la kupinga uundwaji wa Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea nchini wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 Oktoba 2025 lilifunguliwa Mahakama Kuu masjala ndogo ya Dar…