JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais Samia achukua hatua kupunguza matumizi ya mafuta

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameelekeza kuwa maafisa na watumishi wa ofisi yake atakaoambatana nao katika safari zake za kikazi watatumia usafiri wa pamoja ili kubana matumizi ya nishati ya mafuta. “Nimeanza kwa…

Jela miezi sita kwa kuzusha kuibiwa ‘nyeti’ Rukwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Rukwa Siku za hivi karibuni kumekuwa na taharuki zilizosababisha vurugu na kukosekana kwa amani na utulivu wa jamii katika maeneo mbalimbali nchini ikiwemo Mkoa wa Rukwa. Hali hii ilisababishwa na watu kuzusha kuibiwa nyeti zao. Kufuatia…

Serikali yasisitiza viwango vya ubora wa kimataifa katika uvuvi

Na Mwandishi Wetu Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Uvuvi Prof. Mohammed Sheikh amewataka wakaguzi wa mazao ya uvuvi kufanya kazi zao kwa ubora ili kulisaidia Taifa kuongeza kiwango cha mazao ya uvuvi yanayosafirishwa nje ya…

Bei ya mafuta yashuka duniani

Bei ya mafuta duniani imepungua kwa kiasi kikubwa baada ya Rais wa Marekani, Donald Trump, kutangaza makubaliano ya kusitisha mapigano kwa wiki mbili. Mapema Jumanne, pipa moja la mafuta uliouzwa kwenye masoko ya kimataifa ulikuwa na thamani ya dola 103.42,…

Serikali yainua utalii tiba kwa wagonjwa wa nje hadi kufikia 3,018

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imesema idadi ya wagonjwa kutoka nje ya nchi wanaokuja kupata huduma za matibabu nchini Tanzania imeendelea kuongezeka, ikifikia wagonjwa 3,018 katika kipindi cha miezi nane, jambo linaloashiria kukua kwa kasi kwa sekta ya utalii wa tiba….