Latest Posts
Amani ni msingi wabutalii, Malecela awataka wananchi kuilinda ili kukuza sekta ya utalii
Na MwandishiWetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro MAKAMU wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu, John Samuel Malecela amesema kuwa, swala la Utalii kokote Duniani linaenda sambamba na swala la Amani na Utulivu na kuwaomba wananchi kuhakikisha wanalinda Amani ili kukuza Utalii nchi na…
Uzinduzi vijana platform yapamba moto Kigamboni
– Vijana Usipime-Waziri Nanauka apongezwa kuasisi Vijana platform-Uzalendo watawala kuelekea mapokezi ya Mwenge wa Uhuru Kigamboni MC. Na Byarugaba Innocent, DSM Mamia ya Vijana kutoka pande zote za Manispaa ya Kigamboni Jijini Dar es Salam wameshiriki kwenye kongamano la Vijana…
Tanzania yaweka historia nyingine
-Rais Samia azindua minara 758 kuimarisha Mawasiliano Na Byarugaba Innocent, ORMV Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan Aprili 10,2026 amezindua Minara 758 maunganisho ya Mkongo wa Mawasiliano katika Wilaya 85 na makabidhiano ya Mkongo wa Mawasiliano…
Kikwete steps in: AU envoy pushes for lasting peace in South Sudan
In a significant diplomatic push to revive momentum in South Sudan’s peace process, former Tanzanian President Jakaya Mrisho Kikwete has wrapped up a two-day high-level mission to Juba, engaging key political and international actors in efforts to stabilize the country….
Tanzania yaingiza vipengele 41 tuzo za utalii Duniani
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es SAalaam TANZANIA imeendelea kung’ara katika anga la kimataifa baada ya kuingiza vipengele 41 katika Tuzo za Utalii na Usafirishaji Duniani (World Travel Awards), hatua inayoimarisha nafasi yake kama moja ya vinara wa utalii barani…





