JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Oktoba kura zote kwa Rais Samia – Ummy Mwalimu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Kazi nzuri na miradi tele ya maendeleo iliyotekelezwa katika Jimbo la Tanga Mjini imetengeneza deni kwa wananchi wa Tanga Mjini dhidi ya Rais Dk. Samia Suluhu ambaye pia ni Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano…

Bodi REB yaihakikishia ushirikiano kampuni ya kuzalisha na kusambaza umeme ya Matembwe Njombe

📌Inazalisha umeme wa kilowati 550 kwa kutumia maporomoko ya maji ya Mto Kiyepa 📌Inahudumia kaya 2,463 katika vijiji 8. Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Mhe. Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Kingu ameihakikishia ushirikiano…

Meatu mtaendelea kupata miradi mikubwa ya maendeleo ikiwemo nishati – Dk Samia

📌Asema baada ya Vijiji vyote Meatu kupata umeme kasi inaelekea vitongojini 📌 Ataka umeme utumike kuongeza thamani ya mazao, kilimo na ufugaji. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassani amesema Serikali imeendelea kupeleka maendeleo katika…

Waziri Silaa aielekeza TCRA kupiga kambi kiwanda cha kutengeneza simu Raddy Electronics Pwani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Waziri wa Mawasiliano, Teknolojia na Habari, Jerry Silaa (Mb), ameielekeza Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kupiga kambi katika kiwanda cha kutengeneza simu janja cha Raddy Electronics kilichopo Mkuranga, mkoani Pwani, kwa lengo la kufuatilia kwa…

Tusirudie kuwa na Bunge la aina hii

Na Manyerere Jackton, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika historia ya mabunge ya Tanzania, Bunge la 12 (2020 – 2025) litabaki kuwa moja ya mabunge yaliyozua mijadala mikubwa kuhusu hadhi, majukumu na ushawishi wake halisi katika kuisimamia serikali. Wapo wanaodiriki kusema…

Rais Samia ametekeleza utoaji wa haki za mtoto – Waziri Dk Gwajima

Na WMJJWM- Dar es Salaam Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Dkt. Samia Suluhu Hassan imefanikiwa kutekeleza mipango na mikakati mbalimbali katika kutoa haki kwa…