JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wataalam wa fedha SADC wajadili vyanzo vya kuongeza bajeti

Kikao cha Kamati ya Fedha cha Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kinafanyika jijini Pretoria, Afrika Kusini Machi 09, 2026 kujadili hali ya fedha ya jumuiya hiyo muhimu katika mtangamano wa kikanda kusini mwa Afrika. Watalaamu wa masuala ya…

UN yaipongeza Tanzania kwa juhudi za kurejesha amani, kuimarisha taasisi za kidemokrasia

Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Umoja wa Afrika na Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa katika Umoja wa Afrika (UNOAU), Bw. Parfait Onanga-Anyanga amewasili nchini kwa ziara akiwa kama Mjumbe Maalum wa Mhe. Antonio…

Wanawake Manyara wawatunuku tuzo maalum ya kutambua mchango wa RC Sendiga, Ras Muhaji

Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Simanjiro Wanawake wa Mkoa wa Manayara jana Siku ya wanawake Duniani wamemtunukia tuzo Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Cuthbert Sendiga, kwa juhudi na umahili wake wa kukuza haki na usawa wa Kijinsia katika Mkoa huo….

Tuzo ya Korani ya kimataifa yaiva

Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wananchi wametakiwa kujitokeza kwa wingi ili kushuhudia utoaji wa tuzo za kimataifa za Korani katika Uwanja wa Benjamini Mkapa tarehe 5 Aprili mwaka huu. Rai hiyo ilitolewa na Shekh mkuu wa Baraza la Waislamu…

Dk Mwigulu : Serikali inatambua uwepo wa watumishi wachapakazi

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Serikali inatambua uwepo wa watumishi wa umma wanaochapakazi na kuwataka kuendelea kufanya kazi kwa bidii na uadilifu huku wakijiepusha kujiingiza katika makundi ya wazembe, wezi na wanaofanya kazi kwa mazoea. “Serikali haitomuonea mtu,…

Serikali yasisitiza matumizi ya PPP kuchochea maendeleo ya taifa

Na. Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) Serikali inatambua na kusisitiza umuhimu wa kuimarisha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (Public Private Partnership – PPP) kama njia muhimu ya…