Latest Posts
Polisi watinga Ofisi za CUF Buguruni, Sakaya apinga uamuzi wa msajili
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam POLISI wametia mguu katika Ofisi za Makao Makuu ya Chama Cha Wananchi (CUF) zilizopo Buguruni na kuweka ulinzi mkali kufuatia kundi la watu wanaodaiwa kuwa wanachama wa chama hicho kuingia wakiwa na mabango na…
Wajasiriamali Jimbo la Mtumba kukopeshwa bilioni 2 za mtaji
▪️Ni kwa ushirikiano wa Ofisi ya Mbunge na CRDB FOUNDATION ▪️Zaidi ya Wananchi 3000 kunufaika na mpango huu ▪️Mbunge Mavunde awataka wanamtumbu kuchangamkia fursa ▪️Mradi mkubwa wa kilimo upo njiani Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtumba Mbunge wa Jimbo la Mtumba…
Dk Mwigulu : Serikali itaendelea kuiboresha Bandari ya Tanga ili kukidhi ushindani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Waziri Mkuu, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaendelea kuiboresha Bandari ya Tanga ili iweze kukidhi ushindani wa kibiashara uliopo katika bandari za mwambao wa Bahari ya Hindi. Akizungumza Februari 16, 2026 wakati wa ziara…
Serikali yazindua awamu ya kwanza ya mradi wa kupeleka nishati safi ya kupikia
📌Unahusisha Shule za Sekondari 52 na Chuo kimoja cha VETA 📌Ni sehemu ya mradi wa Shilingi bilioni 25.8 wa kupeleka nishati safi ya kupikia kwa taasisi 453 Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amezindua awamu ya kwanza ya mradi…
Mwinyi : Serikali imejipanga kumaliza tatizo la usafiri na usafirishaji Pemba
📍 Chake Chake, Kusini Pemba Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa Serikali imejipanga kikamilifu kumaliza tatizo la usafiri na usafirishaji wa mizigo katika Kisiwa cha Pemba. Ameyasema hayo leo alipoufungua…
Dk Kusiluka afungua mkutano wa Sita wa Serikali Mtandao, atoa maagizo
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia Arusha. Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka, amefungua rasmi mkutano wa sita wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) leo jijini Arusha, akisisitiza umuhimu wa taasisi za umma na binafsi kuharakisha mageuzi ya kidijitali ili kuboresha…





