JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

RUWASA na TANESCO wanatupa usingizi Simanjiro

Na Mwandishi wetu, Simanjiro MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, wamewapongeza mamlaka ya maji na usafi wa mazingira vijijini (RUWASA) na shirika la ugavi wa nishati ya umeme (TANESCO) kwa utendaji kazi wao kwani unawapa usingizi. Hata…

Ujenzi kiwanda cha kuchakata pamba SIMCU (2018) LTD wafikia asilimia 75

Naibu Mrajis – Uhamasishaji, Consolata Kiluma, amekipongeza chama kikuu cha Ushirika SIMCU (2018) LTD, kwa usimamizi wa ujenzi wa ujenzi na ukarabati wa kiwanda cha kuchakata pamba kilichopo wilayani Maswa mkoa wa Simiyu ambacho kinatarajiwa kuanza kazi musimu huu wa…

Dk Mwigulu apanda mti wa mchungwa Kilimanjaro

WAZIRI Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Februari 22, 2026 amepanda mti aina ya Mchungwa katika eneo la Rest House ya Polisi mkoani Kilimanjaro.  Mheshimiwa Dkt. Mwigulu amemaliza ziara yake ya kikazi mkoani Kilimanjaro jana Februari 21, 2026.

Franone wajenga zahanati migodi ya Tanzanite

Na Mwandishi wetu, JahuriMedia, Mirerani KAMPUNI ya Franone Mining LTD, inajenga zahanati ndani ya ukuta unaozunguka migodi ya madini ya Tanzanite mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro mkoani Manyara, hivyo wachimbaji kuondokana na changamoto ya huduma za afya.. Mkuu wa…

Prof.Shemdoe aelekeza magari 14 ya usimamizi wa miradi ya TACTIC kufanya kazi iliyokusudiwa

Na OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amewaelekeza Mameneja na waratibu wa Mradi wa Uendelezaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) kuhakikisha magari 14 aliyoyakabidhi yanakwenda kufanya kazi iliyokusudiwa…

Mradi wa kufunga mifumo ya umeme jua maeneo ya visiwani kwa bei ya ruzuku wazinduliwa

📌Kuhusisha Mifumo ya umeme jua 20,000 katika visiwa 120 📌Rais Samia awawekea wananchi ruzuku hadi ya asilimia 75 kuunganisha umeme 📌Mhe.Salome asema Serikali itafikisha umeme kwa wananchi bila kujali umbali na mtawanyiko wa makazi Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome…