JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

NMB yatoa milioni 100 kudhamini mkutano Mkuu wa 40 wa ALAT

Benki ya NMB imetoa udhamini wa Sh milioni 100 kwa ajili ya kusaidia maandalizi na uendeshaji wa Mkutano Mkuu wa 40 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) utakaofanyika jijini Arusha. Udhamini huo unaongeza nguvu katika maandalizi ya mkutano…

Masauni: Mafanikio ya Ofisi ya Makamu wa Rais ni kutatuliwa kwa hoja za Muungano

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Hamad Yussuf Masauni amesema miongoni mwa mafanikio makubwa yaliyopatikana ni kutatuliwa kwa hoja za Muungano chini ya Ofisi hiyo. Amesema hayo wakati akifafanua hoja mbalimbali…

Wabunge waipongeza EWURA kwa uwajibikaji na uwazi

….. Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia mafuta na gesi asilia, Dkt. James Mataragio, amewaomba waheshimiwa wabunge na wadau mbalimbali kuendelea kutembelea maonesho ya Wiki ya Nishati 2026 yanayoendelea katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma, ili kupata elimu juu…

Ulega aibana TANROADS, atoa siku 14 mkandarasi barabara ya Kisarawe – Maneromango apatikane

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameipa siku 14 Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS) kukamilisha taratibu zote za kisheria za manunuzi, ikiwemo kumpata mkandarasi, ili kuruhusu kuanza kwa ujenzi wa barabara ya Kisarawe hadi Maneromango. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika…

Tuzo za BMT wanamichezo bora 2025 kutolewa Mei 9, tuzo ya mwanahabari nguli ipo

Na Mwandisho Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Baraza la Michezo la Taifa (National Sports Council Sports Awards 2025) ambazo hutolewa ili kutambua mchango wanamichezo bora nchini mwaka huu zitatolewa Mei 9, 2026 katika ukumbi wa ‘The Super Dome Masaki’ uliopo…