Latest Posts
Serikali yakabidhiwa mitambo kukabili uharibifu tabaka la Ozon
Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais Balozi Baraka Luvanda amepokea mitambo mitatu ya utambuzi wa kemikali zinazotumika kwenye viyoyozi na majokofu pamoja na mitambo ya kusafisha kusafisha kemikali hizo na kuzichakata kwa ajili ya matumizi bila kutegemea…
Serikali, wadau waendelea kuimarisha huduma za mama na mtoto kufikia malengo ya kimataifa
Na Hassan Kimweri, WAF – Dar es Salaam Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe amesema Serikali itaendelea kuhakikisha kila mama na mtoto mchanga wanapata huduma bora, salama na zenye viwango kupitia uwekezaji mkubwa katika sekta ya afya nchini na…
Bingwa wa dunia wa masumbwi Crawford kuitangaza Serengeti kimataifa
Na Hance Mbena, Serengeti Katika muendelezo wa kuitangaza Tanzania duniani kupitia utalii wa michezo, leo Mei 28, 2026, bingwa wa masumbwi duniani, Terence “Bud” Crawford, amekabidhiwa rasmi ubalozi wa utalii baada ya kukutana na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt….
Dk Nchimbi awasili Chato kumwakilisha Rais mazishi ya bi Suzana Magufuli
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasili Chato Mkoani Geita, ambapo anatarajiwa kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mazishi ya Marehemu Bi. Suzana Magufuli…
Tanzania yajipanga kuwa mzalishaji mkubwa madini Kinywe ‘Graphite’ duniani
*Sera imara na usimamizi thabiti wa Mhe. Rais Samia kuchochea uzalishaji *Serikali yasaini mkataba wa ubia wa uchimbaji wa madini kinywe na Kampuni ya Lindi Jumbo *Tani 40,000 kuzalishwa kwa mwaka, kwa zaidi ya miaka 24. *Waziri Mavunde awataka wamiliki…
Tanzania, China waanza utekelezaji maazimio kuimarisha matibabu na udhibiti magonjwa
Na Hassan Kimweri, WAF – Dar es Salaam Kuelekea utekelezaji wa maazimio yaliyofikiwa na Waziri wa Afya Tanzania Bara Mhe. Mohamed Mchengerwa pamoja na Waziri wa Afya wa Jamhuri ya watu China Mhe. Haichao Lei yaliyofikiwa kati ya nchi hizo…





