Latest Posts
Mtwara yanua fursa za madini, mapato ya Serikali yapanda mara nne
📍Mtwara Mkoa wa Mtwara umeendelea kujidhihirisha kama kitovu muhimu cha uwekezaji wa madini nchini kutokana na uwepo wa rasilimali nyingi za madini ya viwandani, vito na madini mkakati, huku mapato ya Serikali kupitia sekta hiyo yakiongezeka kwa kasi katika kipindi…
Shekhe Dodoma aonya kutokutii viongozi ni hatari kwa amani ya taifa
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia ,Dodoma Sheikhe wa Mkoa wa Dodoma, Mustapha Rajabu Shaaban amesema kutokuwepo kwa usikivu, utiifu na kuheshimu mamlaka katika jamii ni chanzo kikubwa cha migogoro, vurugu na uvunjifu wa amani, huku akiwataka wananchi kuendelea kutii viongozi na…
Mufti wa Tanzania ahimiza umoja,amani na utunzaji wa mazingira wakati wa Eid Al Adha
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir amewataka Waislamu na Watanzania kwa ujumla kuitumia Sikukuu ya Eid El Adha kama fursa ya kuimarisha umoja, mshikamano na kudumisha amani ya taifa. Ujumbe huo umetolewa leo Jumatano Mei 27,…
Tanzania kujiimarisha kuwa kitovu cha utafiti katika kukabiliana na majanga
Na Mwandishi Wetu, Msumbiji SERIKALI imesema inaendelea kujipanga kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha utafiti katika kukabiliana na majanga katika ukanda wa Kusini mwa Afrika (SADC) na Afrika Mashariki, hatua itakayosaidia kuimarisha mifumo ya tahadhari na uokoaji. Kauli hiyo imetolewa na…
Usalama wa nishati ni nguzo muhimu ya usalama wa taifa – Mramba
*Asema changamoto ya upatikanaji mafuta duniani imeathiri uchumi wa mataifa mengi Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mha. Felchesmi Mramba amesema kuwa usalama wa nishati umeendelea kuwa sehemu muhimu ya usalama wa taifa kutokana na…
Bingwa wa masumbwi Crawford kutoka Marekani atinga Hifadhi ya Taifa Tarangire
Na Calvin Katera – Babati Bondia maarufu duniani toka nchini Marekani Terence “Bud” Crawford amejikuta katika bashasha kubwa ndani ya Hifadhi ya Taifa Tarangire mara baada ya kupokelewa na burudani kutoka kikundi cha watumbuizaji wa nyimbo za jamii ya kimasai…




