
Wizara ya Afya yaikumbusha MSD kuzingatia upatikanaji wa bidhaa za afya na zenye ubora
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Afya imeitaka Bohari ya Dawa (MSD) kutambua nafasi…
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa ameiagiza Benki kuu ya Tanzania (BOT) kuzisimamia Taasisi za kifedha kwa upande wa mabenki kuboresha riba katika mikopo wanayoitoa. Akizungumza Leo,Agosti 3, 2023, katika banda la BoT mara baada ya kutembelea mabanda ya Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nane Nane yanayofanyika Kitaifa kwenye viwanja…
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Afya imeitaka Bohari ya Dawa (MSD) kutambua nafasi yake katika matumizi ya bima ya afya kwa wote na kuzingatia upatikanaji wa bidhaa za afya, ubora na bei zilizo katika muongozo wa matibabu wa Serikali. Pia , amezitaka taasisi za afya kuangalia upya mifumo ya utoaji huduma lengo ni…
Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, ametangaza nia ya serikali kuchukua hatua za waliomzushia kifo Makamu wa Rais Dkt. Phillip Mpango, ili kudhibiti matumizi mabaya ya mtandao na kuwalinda wananchi dhidi ya matumizi mabaya ya mitandao. Kupitia mtandao wake wa kijamii wa X tarehe 10 Desemba 2023,…
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Serikali imetoa Sh.Milioni 114 kwa Kituo cha Afya Mtae kilichopo Wilaya ya Lushoto mkoani Tanga ambazo zimetumika kununulia vifaa tiba kupitia Bohari ya Dawa (MSD) na hivyo kinatarajia kuanza kutoa huduma ya upasuaji mwishoni mwa mwezi Disemba 2023. Hatua ya kituo hicho kuanza kutoa huduma hiyo inatokana na maboresho makubwa…
Gaborone – Botswana Imeelezwa kuwa, Tanzania imepiga hatua kubwa kwenye utekelezaji wa makubaliano ya Ajenda 2063, ya kuifanya Afrika kuwa mahali pa ndoto yetu kuelekea Afrika tuitakayo. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt.Doto Biteko kwenye Mkutano wa kujadili utekelezaji wa makubaliano yaliyofikiwa na Wakuu wa Nchi juu ya Ajenda…
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali,Mobari Matinyi amesema wizara 13 za Serikali zimeshiriki katika kufanikisha kazi ya kurudisha hali ya waathirika kutoka Hanang mkoani Manyara. Ambapo amesema moja ya wizara iliyotumika ni wizara ya ardhi, nyumba na makazi ambapo wametumia sensa ya watu na makazi iliyofanyiwa…
Rais Samia Suluhu Hassan amechangia kiasi cha Sh milioni 50 kwa Taasisi ya Profesa Jay Foundation iliyochini ya msanii, Joseph Haule maarufu Prof Jay inayosaidia wagonjwa wa figo. Pia amesema kuwa endapo itafikia hatua ya kutaka kumpandikiza Profesa Jay figo atatoa gharama za matibabu hayo yenye thamani ya Sh million 47. Aidha Rais Samia ameitaka…