Latest Posts
Miss Universe Tanzania yashirikiana na Serikali kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia
📌Mhe. Salome awapongeza waandaaji wa shindano kwa kuibeba ajenda ya nishati safi ya kupikia kitaifa na kimataifa. Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amewapongeza washiriki wa shindano la urembo la Miss Universe Tanzania kwa jitihada zao za kuwa mabalozi…
serikali yawatoa hofu wadau wa pombe kali.
Dar es Salaam, Serikali imekutana na wamiliki wa Viwanda vya kuzalisha pombe kali nchini ikiwa ni hatua ya kuendelea kupambana na bidhaa bandia na duni. Hatua hiyo imefikiwa baada ya Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb) kukutana…
Wanne wapandikizwa figo, 38 wafanyiwa upasuaji wa mishipa ya kuchuja damu MNH-Mloganzila
Hospitali ya Taifa Muhimbili–Mloganzila kwa kushirikiana na wataalam kutoka Korea Kusini, imewapandikiza figo wagonjwa wanne na wengine 38 wamefanyiwa upasuaji wa kutengeneza na kurekebisha mishipa ya kuchuja damu katika kambi maalum iliyofanyika Agosti 15–19, 2026. Tangu huduma hizo zianze kutolewa…
Mchengerwa akabidhi ambulance Kibaha
NA EMMANUEL MBATILO, PWANI WAZIRI wa Afya, Mohamed Mchengerwa, amekabidhi gari la wagonjwa (ambulance) kwa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani, likiwa na lengo la kuimarisha huduma za dharura katika Kituo cha Afya Magindu na maeneo ya jirani. Akizungumza…
Serikali kuboresha huduma za dharura kupitia mfumo wa kitaifa wa ambulance
NA EMMANUEL MBATILO, PWANI SERIKALI iko katika hatua za mwisho za kukamilisha mfumo wa kitaifa wa huduma za magari ya wagonjwa (ambulance), utakaoboresha uratibu wa huduma hizo, ufuatiliaji wa magari na kuziunganisha na namba ya dharura 115, inayopigwa bila malipo….
TADB na ZEEA kushirikiana kuimarisha uwekezaji na ufadhili wa kilimo zanzibar
Na Mwandishi Wetu BENKI ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) na Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) kwa lengo la kuongeza upatikanaji wa fedha kwa wakulima na wajasiriamali, kuongeza uzalishaji na kuimarisha minyororo ya…





