JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Morcase : Binti miaka 16 amuua mama yake kisa kukatazwa kwenda ‘birthday’

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia msichana mwenye umri wa miaka 16, Rahma Musa Tito, mkazi wa Kijiji cha Msoga, Wilaya ya Chalinze, kwa tuhuma za kumuua mama yake mzazi, Hadija Hemedi Shaha (51),…

Serikali kuzalisha maelfu ya ajira kwa vijana kupitia mradi wa Umwagiliaji

📍NIRC: Arusha. Katika jitihada za kumkomboa mkulima mdogo kutokana na utegemezi wa mvua, Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) inaendelea na mpango wa kuchimba visima 67,000 nchi nzima, mradi utakaozalisha maelfu ya ajira kwa vijana na kuleta uhakika wa chakula….

Maadhimisho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu kwa mwaka 2026 Kufanyika Tanga

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, ametangaza maadhimisho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu kwa mwaka 2026, yatakayofanyika kuanzia Agosti 15 hadi 24 katika viwanja vya michezo vya Shule ya Sekondari Usagara, jijini Tanga….

AFRICA AGRI EXPO 2026; Tanzania kuwa kitovu cha ubunifu wa kilimo Afrika

Dar es Salaam inatarajiwa kuwa mwenyeji wa moja ya maonesho makubwa ya kilimo Afrika, Africa Agri Expo (AAE) 2026, yatakayofanyika Septemba 2–3, 2026 katika Viwanja vya Maonesho vya Mwalimu J.K. Nyerere. Maonesho hayo ya mwaka wa 10 yataenda sambamba na…

EWURA yawajengea uwezo maafisa wa huduma kwa wateja na mahusiano

Na Mwandishi Wetu, Babati, Manyara  Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Kaskazini imeendesha semina ya kuwajengea uwezo Maafisa wa Huduma kwa Wateja, Mahusiano na Sheria kutoka TANESCO na Mamlaka za Majisafi na Usafi wa…

Prof.Mkenda: Bunifu za kitanzania sasa kugeuzwa kuwa biashara kubwa

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, ametangaza maadhimisho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu kwa mwaka 2026, yatakayofanyika kuanzia Agosti 15 hadi 24 katika viwanja vya michezo vya Shule ya Sekondari Usagara, jijini Tanga….