JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wanahisa TBL wapitisha hesabu za mwaka 2025 baada ya mwaka wa ukuaji wenye faida

▪︎TBL imehitimisha mwaka kwa ongezeko la faida, ukuaji endelevu wa chapa zake Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tanzania Breweries Public Limited Company (TBL Plc) imefanya Mkutano Mkuu wa 53 wa Wanahisa katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha…

Wafanyabiashara wahimizwa kuongeza mauzo nje ya nchi kupunguza nakisi ya biashara

Na Benny Mwaipaja, Horohoro, Tanga Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), ametoa wito kwa wafanyabiashara, wawekezaji na wazalishaji nchini kuongeza uzalishaji wenye tija na kuimarisha mauzo ya bidhaa katika masoko ya kimataifa ili kupunguza nakisi ya biashara…

TCAA yaimarisha huduma kwa wateja kupitia Dawati Maalum

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) kupitia kwa Mkurugenzi wake Mkuu Dkt. Jabiri Bakari imeendelea kuimarisha utoaji wa huduma kwa wateja kupitia Dawati maalum la Huduma kwa Wateja, likiwa na lengo la…

Nchi za Afrika zakutana Arusha kuimarisha mifumo ya tahadhari za mapema kukabiliana na El Nino 2026

Mkutano wa kikanda unaolenga kuimarisha mifumo ya tahadhari za mapema na huduma za hali ya hewa kwa Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika umefunguliwa rasmi leo tarehe 13 Julai 2026 jijini Arusha. Mkutano huu unawakutanisha wataalamu wa hali ya hewa…