JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kamati ya Bunge yaita wawekezaji ujenzi wa vituo vya gesi asilia iliyoshindiliwa CNG

📌 Yapongeza kasi ya Serikali ujenzi wa vituo vya CNG Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, kupitia Mwenyekiti wake Mhe. Subira Mgalu, imetoa wito kwa wawekezaji kuunga mkono Serikali katika ujenzi wa vituo vya gesi asilia iliyoshindiliwa…

Dk Mwigulu aipa Wizara ya Maji wiki mbili

*Ni kwa ajili ya kukamilisha Mchakato wa kumpata mkandarasi mradi wa maji kutoka ziwa Chala. *Aitaka Wizara ya Fedha kufatuta fedha za malipo ya awali kuanza kwa ujenzi wa barabara Holili(Rotima)-Tarakea(Nayemi) Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameipa Wizara ya Maji…

Umoja wa Mataifa wataka mkataba wa amani Gaza uwe wa kudumu

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeyataka makubaliano ya kusitisha vita Gaza yawe ya kudumu. Baraza hilo vile vile limeikosoa hatua ya Israel ya kutanua udhibiti wake katika Ukingo wa Magharibi kama kitisho kwa juhudi za kupatikana kwa suluhisho…

CCT yapongeza juhudi za Serikali kujenga mahusiano

Jumuiya ya Kikristu Tanzania (CCT) imepongeza jitihada za Serikali ya Awamu ya Sita katika kukuza ari ya Mahusiano miongoni mwa jamii ya kitanzania hatua itakayosaidia kuleta utengamano na mshikamano wa kidugu. Hatua hiyo imekuja kupitia kikao kazi cha Waziri wa…

Akwilapo aongoza kikao cha kutatua changamoto za mashamba ya uwekezaji Muheza

Na Munir Shemweta, WANMM MUHEZA Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Leonard Akwilapo amewaongoza Mawaziri wenzake wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) pamoja na Ofisi ya Raisi Mipango na Uwekezaji…

EACOP yakabidhi karakana na vifaa vya mafunzo katika chuo cha Don Bosco Dar es Salaam

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) umekabidhi jengo la kisasa la karakana ya uchomeleaji pamoja na vifaa vya mafunzo kwa Chuo cha Ufundi Stadi cha Don Bosco jijini Dar es…