JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Bilioni 28.8 zaimarisha sekta ya elimu Manyara kupitia mradi wa SEQUIP

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Manyara Mkoa wa Manyara umepokea kiasi cha Shilingi Bilioni 28.499 kwa ajili ya ujenzi wa Miundombinu mbalimbali ambayo tayari imeanza kufanya kazi huku mingine ikiendelea na ukamilishaji wa maeneo yaliyosalia. Fedha hizo zote zimetolewa na serikali…

Wanafunzi wamiminika banda la TCCIA

Baadhi ya wanafunzi wa Kidato cha Nne mchepuo wa Biashara kutoka Shule ya Sekondari Mwinyi iliyopo Mkuranga, Mkoani Pwani, wametembelea banda la Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA) katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Sabasaba yanayoendelea jijini…

Wasanii Chege na Madee wainogesha Sabasaba

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam WASANII nguli wa muziki wa Bongo Fleva, Said Juma ‘Chege Chigunda’ na Hamad Ally ‘Madee’, maarufu kama Samia Kings, wameinogesha Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) kwa…

Bilioni 5.7 kukamilisha ujenzi shule mbili Siha – Kilimanjaro

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imetoa jumla ya shilingi Bilioni 5.7 kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Kuboresha Ubora wa Elimu ya Sekondari (SEQUIP) katika Wilaya…

Jenister Mhagama atajwa kuwa kinara kuwezesha mafanikio ya utalii tiba nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma WAZIRI wa Afya, Jenista Mhagama amesema ili kufikia ndoto kamili za Tanzania kuwa kitovu cha utalii tiba kuna haja ya kuwekeza kwenye ukarimu wa wageni kama ambavyo mashirika yanayofanya vizuri hasa yaa ndege yamekuwa yakifanya….

Samia aleta mapinduzi Tabora, miradi ya Trilioni 15 yaimarisha afya, elimu na miundombinu

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Mkoa wa Tabora umetumia zaidi ya shilingi trilioni 15 kutekeleza miradi ya kimkakati katika sekta mbalimbali, tangu Serikali ya Awamu ya Sita iingie madarakani mwaka 2021 chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Mkuu…