Latest Posts
Waziri Ndejembi : Wakandarasi wa umeme wasiofanya vizuri wasipewe miradi mingine
📌Apongeza mchango REA katika kufikisha asilimia 78.1 ya upatikanaji umeme vijijini 📌Apongeza wakandarasi wazawa waliofanya vizuri katika utekelezaji wa miradi; Ataka wapewe kazi zaidi Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, ameuelekeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuhakikisha kuwa wakandarasi ambao…
Wataalam wa REA Zambia kujifunza mafanikio ya Tanzania katika usambazaji umeme vijijini
Viongozi wa Mamlaka ya Nishati Vijijini (REA) kutoka nchini Zambia wamewasili nchini kwa ajili ya ziara ya kujifunza na kubadilishana ujuzi na Wakala wa Nishati Vijijini (REA). REA Zambia ambao wameongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Zambia anayeshughulikia…
IAE yaeleza jinsi Elimu Nje ya Mfumo rasmi inavyookoa maelfu ya vijana
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (IAE) imesema imeendelea kuwa mhimili muhimu katika kupunguza ujinga, kuongeza ujuzi na kurejesha fursa za elimu kwa maelfu ya watoto, vijana na watu wazima waliokosa au kuacha masomo katika…
Jinsi Samia anavyoibadilisha Pwani kuwa kitovu kipya cha uchumi Tanzania
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Miaka iliyopita, Mkoa wa Pwani ulionekana zaidi kama eneo linalozunguka Jiji la Dar es Salaam, lakini leo unaanza kujijenga upya kama kitovu cha uwekezaji, viwanda, biashara na usafirishaji nchini kutokana na utekelezaji wa miradi mikubwa…
Waziri Mkuu awasisitiza Watanzania kuwahudumia wenye mahitaji
……………………… WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania kushirikiana na Serikali katika kutunza na kuhudumia vituo vya watoto wenye mahitaji maalumu na wasiojiweza badala ya kutegemea wahisani kutoka nje kwani mambo hayo yamepitwa na wakati. Ametoa kauli hiyo leo Jumapili,…





