JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Hofu ya vita ya Marekani na Iran yatikisa Mashariki ya Kati

Huku juhudi za kidiplomasia zikiendelea kuzuia mzozo mpana Mashariki ya Kati, Saudi Arabia, mataifa ya Ghuba na Israel zinaweka mbele maslahi yao wakati mvutano kati ya Marekani na Iran ukiendelea kuongezeka. Katika wiki iliyopita, hali ya wasiwasi kuhusu uwezekano wa…

Trump anavyoiangusha Marekani

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika miaka ya karibuni dunia imeshuhudia mabadiliko makubwa katika siasa za Marekani – nchi ambayo kwa miongo mingi imekuwa ikijiona na kuonekana kama kinara wa demokrasia, utulivu na uongozi wa kimataifa. Hata hivyo,…

Rais Samia akutana na viongozi mbalimbali

Picha za baadhi ya matukio mbalimbali yaliyojiri kabla ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kufanya vikao na Viongozi mbalimbali pembezoni mwa mkutano wa Jukwaa la Serikali za Dunia (WGS2026), tarehe 3 Februari, 2026…

Siku 100 za Rais Samia, bilioni 69 REA kunufaisha vitongoji 634 Ruvuma

Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatekeleza mradi kabambe wa shilingi bilioni 69 wa kusambaza umeme katika vitongoji 634 utakaonufaisha wateja wa awali 20,328 Mkoani Ruvuma. Meneja Usimamizi wa Miradi ya Kusambaza Umeme wa REA, Mhandisi Deogratius Nagu amebainisha…

Dk Mwigulu : Serikali kununua matrekta 10,000

Na Mwandishi Wetu WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imepanga kununua matrekta 10,000 na kuanzisha vituo jumuishi 1,000 vya huduma za zana za kilimo katika ngazi ya Kata, hatua itakayoongeza tija, kupunguza gharama na kuwapa wakulima muda zaidi wa…