JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kafulila: Elimu ijikite katika umahiri na uzalishaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC), David Kafulila amesema Tanzania haiwezi kufikia malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kwa kutegemea kodi na mikopo pekee,…

Baja : Hospitali Benjamin Mkapa yashika nafasi ya kwanza kwa ubora wa utoaji huduma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kaimu Mkugenzi wa Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dkt. Abdallah Baja, amesema kuwa hospitali hiyo ni kituo muhimu cha mafunzo kwa wanafunzi wa fani mbalimbali za afya kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) na vyuo vingine…

DC Temeke awataka wadau kushirikiana na FCC mapambano bidhaa bandia

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sixtus Mapunda, ameitaka jamii na wadaumbalimbali kushirikiana na Tume ya Ushindani Tanzania (FCC) katikamapambano dhidi ya bidhaa bandia ili kulinda afya za wananchi nauchumi wa taifa. Mapunda alitoa wito huo wakati…

Waziri Sangu awataka waajiri Kutumia fursa ya msamaha wa tozo wa NSSF

Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, amewataka waajiri nchini kutumia kikamilifu fursa ya msamaha wa tozo uliotolewa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kulipa…

Kapinga atembelea kiwanda cha Mainland Group, apongeza juhudi za uongezaji thamani

Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na wawekezaji wa sekta ya viwanda ili kutatua changamoto zinazokwamisha uzalishaji na kuweka mazingira bora yatakayochochea ukuaji wa uchumi wa viwanda nchini. Kauli hiyo imetolewa  na  Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe.Judith Kapinga mara baada…

Salome Makamba afunga maonyesho ya Nishati Expo 2026

📌Apongeza juhudi za REA kusambaza Nishati Safi ya kupikia vijijini 📍Dar es Salaam Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba leo tarehe 25 Juni, 2026 amefunga rasmi Maonesho na Kongamano la Nishati Safi Expo 2026 yaliyofanyika katika ukumbi wa EACLC…