JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kamati ya Kudumu ya Bunge yapongeza ujenzi wa jengo la Wizara ya Nishatu Mtumba

📌Ujenzi wafikia asilimia 94 📍DODOMA Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imekagua ujenzi wa jengo la Wizara ya Nishati katika mji wa Serikali Mtumba na kuipongeza Wizara kwa hatua ya ujenzi iliyofikiwa kwa asilimia 94. Mwenyekiti wa…

NIT mbioni kuanzisha chuo cha mafunzo ya urubani nchini

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Serikali kupitia Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT)ipo mbioni kuanzisha utoaji wa mafunzo ya Urubani ambapo Chuo kimekamilisha matakwa ya kupata ithibati kutoka TCAA na hivyo mafunzo haya yanatarajiwa kuanza mwezi Mei 2025. Mkuu wa Chuo cha…

Zaidi ya leseni 1,000 za madini zatolewa Kahama

· Wachimbaji wahamasika kuachana na Zebaki · Waita wawekezaji kujenga mitambo ya kuchenjulia JUMLA ya leseni 1356 zimetolewa katika halmashauri tatu za Mkoa wa Kimadini Kahama ambazo ni Ushetu, Msalala na Kahama huku wazawa na wawekezaji kutoka nje wakitakiwa kuchangamkia…