Latest Posts
Serikali yajipanga kuwafikia wanawake wengi zaidi kiuchumi
Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi amesema Serikali inachukua hatua katika kuimarisha uwezeshaji wanawake kiuchumi pamoja na kuongeza uelewa kuhusu mifuko ya maendeleo inayowanufaisha wanawake. Akizungumza juzi bungeni…
Wanne mbaroni kwa tuhuma za mauaji ya mwafunzi wa Chuo cha IFM
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linaendelea kupeleleza kwa uzito mkubwa tukio la mauaji ya ya mtu aliyetambulika kwa jina la James Rogers Temba mwanafunzi wa mwaka wa pili katika Chuo cha IFM Dar es Salaam ambaye mwili…
Serikali yaongeza upatikanaji maji vijijini hadi asilimia 85.2
Serikali kupitia Wizara ya Maji imeendelea kuimarisha huduma ya upatikanaji wa maji safi na salama vijijini, ambapo hadi mwezi Desemba 2025 kiwango cha huduma hiyo kimefikia asilimia 85.2 kutoka asilimia 83.1 mwaka 2024. Akizungumza bungeni wakati akiwasilisha makadirio ya mapato…
REA yawezesha vikosi vya JKT kukuza matumizi ya nishati safi
Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Balozi Meja Jenerali Mstaafu, Jacob Kingu ametoa wito kwa vikosi vya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) vilivyopata miradi ya nishati safi ya kupikia kuwa mabalozi wa kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia…
iMbeju -UDSM Startup Challenge yazinduliwa, Serikali yaona umuhimu wake
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesema itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali, ikiwemo taasisi za kifedha, ili kuwekeza katika tafiti na bunifu zinazofanywa na wanafunzi wa vyuo vikuu na wahitimu, kwa…
Rais Samia akutana na Didier Drogba Ikulu Chamwino
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mshambuliaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Ivory Coast na Timu ya Chelsea ya Uingereza Didier Drogba mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino…





