Latest Posts
Prof. Shemdoe awataka ma- RC kusimamia halmashauri ziwe na mipango madhubuti
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amewataka Wakuu wa Mikoa nchini kuhakikisha Halmashauri zinaweka mipango madhubuti ya kuendeleza uzalishaji wa nafaka na mazao mchanganyiko kwa kuzingatia kanuni za…
Nyamka : Wazee na waasisi ni nguzo muhimu CCM
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kibaha Mjini, Mwalimu Mwajuma Nyamka, amesisitiza umuhimu wa kuwathamini wazee na makada waasisi wa chama hicho, akieleza kuwa wao ni nguzo muhimu katika historia, ujenzi na uimara wa CCM….
Makampuni 100 kushiriki maonesho ya OSHA
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe MAKAMPUNI zaidi ya 100 yakiwepo ya uchimbaji wa madini, yanatarajiwa kushiriki maonesho yaliyoandaliwa na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) yatakayofanyika uwanja wa sabasaba mjini Njombe. Maonesho hayo, yanatarajiwa kufunguliwa rasmi April…
Pwani yajipanga kupokea mwenge wa Uhuru Aprili 18
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MKOA wa Pwani umejipanga kupokea Mwenge wa Uhuru Aprili 18, 2026, huku wananchi wakihimizwa kujitokeza kwa wingi katika Shule ya Msingi Mtambani, Kata ya Mapinga, wilayani Bagamoyo, ambapo mwenge huo utapokelewa ukitokea Kinondoni, jijini Dar…
Muswada wa Sheria ya Uwekezaji wa Umma kukamilika 2026/27
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katika kuendelea kuimarisha uwekezaji wa umma, Serikali imepanga kukamilisha Muswada wa Sheria ya Uwekezaji wa Umma katika mwaka wa fedha 2026/27, kama sehemu ya mkakati mpana wa kuboresha utendaji wa taasisi na mashirika ya umma…
EACOP yasaidia fedha vikundi 16 kuinua uchumi Tanga
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Serikali imeipongeza Kampuni ya Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwa kuendelea kuchangia maendeleo ya jamii baada ya kutoa shilingi milioni 33.6 kusaidia kuboresha maisha ya wananchi wa pwani pamoja na kuhifadhi mazingira…





