JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Polisi Pwani yafungia leseni za madereva nane, 55 wafikishwa mahakamani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Madereva wanane wamefungiwa leseni huku wengine 55 wakifikishwa mahakamani kwa makosa mbalimbali ya usalama barabarani kufuatia operesheni zilizofanywa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani ndani ya mwezi Mei 2026. Kamanda wa Polisi Mkoa wa…

Sangu aongoza ujumbe wa Tanzania mkutano wa 114 wa ILO Geveva

Na: OWM (KAM) – Geneva, Uswisi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu ameongoza ujumbe wa Tanzania kushiriki katika Mkutano Mkuu wa 114 wa Shirika la Kazi Duniani (ILO) unaofanyika Jijini Geneva,…

Aliyekuwa afisa Mtendaji wa Kijiji cha Katesh ahukumiwa kwa shtaka la uhujumu uchumi

Tarehe 3/6/2026 Mahakama ya Wilaya ya Hanang katika shauri la uhujumu uchumi (ECC. No. 7732/2026) imemtia hatiani mshtakiwa Sensa Gidang’ adi Machakwa la matumizi mabaya ya madaraka k/f cha 31 cha PCCA Cap 329 R: E 2023 vikisomwa pamoja na…

Waziri Mkuu: Serikali inafanya marekebisho ya sheria ya uchaguzi wa Makamu wenyeviti wa halmashauri

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali inafanyia kazi mapitio ya sheria inayosimamia uchaguzi wa Naibu Meya na Makamu Wenyeviti wa Halmashauri kwa lengo la kuondoa migogoro na kuongeza ufanisi katika utendaji wa halmashauri nchini. Ametoa kauli hiyo leo Alhamisi,…

Rais Samia atunukiwa udaktari wa heshima Chuo Kikuu cha RUDN

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima (Honoris Causa) na Chuo Kikuu cha Urafiki wa Watu wa Urusi- (RUDN University) kutoka kwa Mkuu wa Chuo hicho Profesa Oleg Yastrebov…