JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Naibu Waziri Ole Millya awaongoza maelfu kumzika Mshili Ngumee

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mirerani NAIBU Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, James Ole Millya amewaongoza maelfu ya wakazi wa Mkoa wa Manyara na Arusha kwenye maziko ya kiongozi wa kimila Mshili Justin Abraham Ngumee aliyefariki…

BRELA kuimarisha urasimishaji na mifumo ya kidijitali

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), yatakiwa kuongeza kasi ya urasimishaji wa biashara na kuimarisha mifumo ya kidijitali ili kuchochea ufanisi na ukuaji wa uchumi kwani BRELA ni lango kuu la uwekezaji nchini. Hayo…

Maafisa elimu wapewa mbinu kuimarisha miundombinu ya nishati safi ya kupikia shuleni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Maafisa Elimu nchini wametakiwa kushirikiana kwa karibu na wadau mbalimbali wakiwemo sekta binafsi, mashirika yasiyo ya kiserikali na jamii ili kuwekeza na kuimarisha miundombinu ya nishati safi ya kupikia katika shule. Wito huo umetolewa Machi…

TPF NET Songwe yaonyesha upendo kwa mama mwenye watoto wenye mahitaji maalum, kuelekea Siku ya Wanawake Duniani

Na Mwandishi Wetu -Jeshi la Polisi Mtandao wa Polisi Wanawake Mkoa wa Songwe (TPF Net) kwa kushirikiana na wanawake wa majeshi mengine mkoani humo, wamemtembelea Bi. Enita Sinyinza, mkazi wa Kitongoji cha Hezya Kati, Kijiji cha Hezya, Kata ya Hezya,…

Wananchi waishukuru Serikali kukamilika daraja la Jema – Oldonyosambu

Miaka ya adha yafikia kikomo, usafirishaji wa mazao na huduma za kijamii sasa warahisishwa Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ngorongoro Wananchi wa Kata ya Oldonyosambu, wilayani Ngorongoro, wameishukuru Serikali kwa kuwajengea daraja la mawe lenye urefu wa mita 45 katika Mto…

Katibu Mkuu Uwekezaji afanya ziara Ofisi ya Msajili wa Hazina

Na Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais – Uwekezaji, Dk. Fred Msemwa, leo Machi 4, 2026, ametembelea Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) kwa ziara ya kujitambulisha kufuatia kuteuliwa kwake na Mheshimiwa Rais wa…