Latest Posts
Ndejembi aipongeza REA
NDEJEMBI AIPONGEZA REA 📌Atoa wito kwa Wabunge kutembelea Banda la Maonesho 📌Mkurugenzi Mkuu REA aahidi kutekeleza miradi kwa wakati 📍Bungeni – Jijini Dodoma Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi ameupongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kuendelea kutekeleza azma ya…
Mwenge waridhishwa na mradi wa maji Kigoda–Ngwale unaotekelezwa na RUWASA
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Wazo Mwang’onda, ameweka jiwe la msingi la mradi wa maji wa Kigoda–Ngwale katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha, utakaowanufaisha wananchi 821 wa kijiji cha Kigoda na sehemu…
Waziri Mkuu: Fedha za muungano zitumike kukarabati miundombin ya barabara
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekeza fedha zilizokuwa zimepangwa kugharamia maadhimisho ya Sherehe za Muungano mwaka huu, zitumike kukarabati miundombinu ya barabara iliyoharibiwa na mvua zinazoendelea kunyesha…
CCM na changamoto ya vyama vingi
Chama cha Mapinduzi (CCM) kiliasisiwa mwaka 1977 ikiwa ni munganiko wa falsafa na misingi ya ASP na TANU. Msingi mkuu wa CCM ni ujamaa nakujitegemea nakama ulivyo wekewa msisitizo katika AZIMIO LA ARUSHA 1967. Na utu,udugu na usawa Dhumuni na…
Waziri wa Fedha asisitiza umuhimu wa nchi za Afrika kutunza vyanzo vya maji
Na Benny Mwaipaja, Washington D.C Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amesisitiza umuhimu wa nchi za Afrika kuweka mipango ya kuhakikisha kuwa maji salama yanapatikana kwa ajili ya matumizi ya binadamu na shughuli za kiuchumi lakini pia…





