Latest Posts
TAMISA yawahamasisha vijana kuchangamkia fursa za uwekezaji katika sekta ya madini
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Chama cha Wasambazaji wa Bidhaa na Watoa Huduma Migodini (TAMISA) kimewataka vijana na Watanzania kwa ujumla kuchangamkia fursa mbalimbali zinazopatikana katika kufanya biashara ya manunuzi na kutua huduma mbalimbali migodini yenye thamani ya takriban…
Serikali yatoa wito wadau sekta ya fedha kuwezesha ajenda ya nishati safi ya kupikia
Serikali imetoa wito kwa wadau kutoka sekta ya fedha nchini kuanzisha huduma na bidhaa za kifedha zitakazowezesha ajenda ya nishati safi ya kupikia kusambaa zaidi, hususan kwa kuwawezesha wajasiriamali wadogo katika maeneo ya pembezoni na vijijini pamoja na wabunifu wa…
Rais Samia ashiriki mkutano wa Global Africa Investment Summit (GAIS)
Dubai | 4 Februari 2026 Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, jana usiku alishiriki uzinduzi wa Global Africa Investment Summit (GAIS) jijini Dubai, tukio lililoashiria hatua mpya ya Afrika katika kuvutia mitaji ya kimataifa…





