Latest Posts
Watumishi FCC watoa elimu ya haki za mlaji Mara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mara WATUMISHI wa Tume ya Ushindani Ofisi ya Kanda ya Ziwa wametoa elimu kwa wadau mbalimbali, wakiwemo wanafunzi, waandishi wa habari na wafanyabiashara, walipotembelea Banda la Kliniki ya Walaji katika Manispaa ya Musoma Mkoani Mara. Banda…
Dk Dugange afungua kongamano la nishati safi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imehimiza kuwa miradi ya maendeleo katika maeneo mbalimbali nchini itekelezwe kwa misingi ya uhifadhi, usimamizi wa mazingira na ushirikishwaji wa jamii za wenyeji ili kulinda urithi wa nchi. Hayo yemesemwa na Naibu…
TAKUKURU yawafikisha mahakamani wawili kwa tuhuma za rushwa na uhujumu uchumi Tanga
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imesema watu wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Muheza mkoani Tanga wakikabiliwa na tuhuma za rushwa na uhujumu uchumi. Kwa mujibu wa taarifa ya TAKUKURU, washtakiwa…
Wizara ya Nishati yaunga mkono ukuaji wa maudhui mtandaoni kupitia uwezeshaji wa mafunzo
Mkurugenzi wa Nishati Safi ya Kupikia, kutoka Wizara ya Nishati, Bw. Nolasco Mlay, ameshiriki mafunzo maalum kwa waandaaji wa maudhui (content creators) yanayofanyika leo Machi 24, 2026 mkoani Dar es Salaam, yakilenga kuwajengea uwezo waandaaji hao wa maudhui ili kuboresha…
Makamu wa Rais afungua kogamano la kimataifa la elimu
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema suala la utekelezaji wa mabadiliko na maboresho yaliyofanyika kwenye Sera ya Elimu na Mafunzo, na Mitaala linahitaji ushirikiano wa hali ya juu miongoni mwa wadau wote…




