JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Waziri Chongolo awatangazia neema wa Idofi, kunufaika na mardi wa umwagiliaji ekari 1,300

📍NIRC Makambako. Waziri wa Kilimo Mhe. Daniel Chongolo ametangaza neema kwa wakulima wa Idofi, Wilaya ya Makambako, ambapo Serikai inaenda kutekeleza mradi Mkubwa wa Umwagiliaji utakaonufaisha ekari zaidi ya 1.300. Amesema, hatua hiyo itainua uchumi hivyo ni muhimu kuunga mkono…

Rushwa, ukiritimba vyatajwa kuwa chanzo cha kupunguza furaha ya wananchi

Na Dotto Kwilasa,JemhuriMedia,Dodoma Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Central Tanganyika, Dkt. Dickson Chilongani, ameiomba Serikali kuongeza jitihada katika kushughulikia kero zinazowakabili wananchi, hususan vitendo vya rushwa, ukiritimba na kunyimwa haki katika baadhi ya taasisi na ofisi za…

Wachimbaji Wadogo watakiwa kuchangamkia teknolojia na mitaji kukuza sekta ya madini

Na Mwandishi Wetu,JamhurMediaDar es Salaam Wachimbaji wadogo wa madini nchini Tanzania wanakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa mitaji, matumizi ya teknolojia duni ya uchimbaji, elimu ndogo kuhusu usalama na utunzaji wa mazingira, pamoja na ugumu wa kupata leseni za…

Bei ya Taifa Gesi ni ile ile haijaongeza

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taifa Gesi haitapandisha bei ya gesi ya majumbani (LPG) licha ya ongezeko la takribani asilimia 43 ya bei ya gesi hiyo duniani. Hatua hii ni sehemu ya juhudi za kampuni hiyo kuendeleza upatikanaji…

REA yatangaza mafanikio makubwa ya usambazaji wa nishati vijini, sasa yaelekeza nguvu vitongojini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umetangaza mafanikio makubwa ya utekelezaji wa miradi ya kusambaza nishati vijijini, huku ukieleza kuwa vijiji vyote nchini tayari vimefikishiwa umeme na sasa nguvu kubwa imeelekezwa katika vitongoji. Akizungumza…

Kapinga awapongeza FCC

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt Judith Kapinga, ameipongeza Tume ya Ushindani Tanzania (Fair Competition Commission (FCC)) kwa juhudi zake za kuhamasisha na kulinda haki za mlaji nchini. Judith ameyasema hayo wakati wa…