Latest Posts
Mwang’onda afurahishwa na mazingira rafiki ya uwekezaji Kibaha, azindua kiwanda Doweicare
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2026, Wazo Mwang’onda, ameweka jiwe la msingi katika kiwanda cha Doweicare Technology Ltd kilichopo Kata ya Misugusugu, Manispaa ya Kibaha, huku akiipongeza Serikali kwa kuweka mazingira…
Makonda : Ujio Miss World, AFCON waonyesha imani kubwa ya dunia kwa Tanzania
Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, imesaini mkataba wa kuwa mwenyeji wa mashindano ya 74 ya Miss World 2027, tukio Hilo lililofanyika kwenye hoteli ya Hyyat Regency jijini Dar es Salaam Aprili 20, 2026 limeshuhudiwa na Waziri…
Dk Abbasi : Uhifadhi umeifanya Tanzania kuongoza kwa Simba wengi Duniani
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Hassan Abbasi amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu Wizara ya Utalii, Wanyamapori na Malikale ya Uganda Bi. Doreen S. Katusiime ambaye yupo nchini Tanzania na timu yake…
Bila EWURA mafuta yangekuwa bei gani?
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ukijenga nyumba nzuri, inakupasa usisherehekee sana kabla mvua haijanyesha. Kuna msemo kuwa tusubiri mvua inyeshe tuone panapovuja. Msemo huu haulengi nyumba peke yake, bali unahusu jamii tunayoishi, taasisi mbalimbali tunazojenga na uhalisia katika…
Serikali yasisitiza michezo ni nguzo ya afya na ufanisi kazini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Serikali imesisitiza umuhimu wa michezo kwa wafanyakazi kama sehemu muhimu ya kuimarisha afya na kuongeza ufanisi mahali pa kazi. Wito huo umetolewa na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe.Rahma…





