JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Vyuo 263 vya ufundi kusajiliwa kuongeza fursa za mafunzo ya ufundi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dosoma WIZARA ya Elimu,Sayansi na Teknolojia imepanga kuimarisha elimu ya ufundi na mafunzo ya stadi za kazi kwa kutangaza mpango wa kusajili jumla ya vyuo 263 vya mafunzo ya ufundi stadi. Hatua hiyo inalenga kupanua wigo…

IPI yawateua mabalozi 500 wa kuitangaza amani ndani na nje ya nchi

Na Theophilida Felician, JamhuriMedia Taasisi ya International Peace information (IPI) imewateua mabalozi wa amani watakaofanya kazi yakuitangaza amani nchini na nje ya nchi. Akizungumza hayo na Jamhuri Digital juzi makao makuu ya IPI yaliyopo mkoani Dar es salaam Rais wa…

EWURA CCC Kagera yafanikiwa kuwafikia wananchi 1134

Na Theophilida Felician, JamhiriMedia, Kagera Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Nishati na Maji EWURA CCC Mkoa Kagera limefanikiwa kuwafikia wananchi 1143 katika suala zima la kuwapatia elimu ya huduma hizo. Ameitoa kauli hiyo afisa mwandamizi wa baraza…

TANESCO yapongezwa kujipanga kufikisha umeme Bandari ya Uvuvi Kilwa

Asema ni Mradi wa kimkakati wenye fursa za kiuchumi kwa maslahi mapana ya nchi Amtaka mkandarasi kukamilisha mifumo ya upokeaji umeme kutoka TANESCO Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilwa Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Mohamed Nyundo, ameipongeza TANESCO kwa jitihada na…

Dk Jingu apokelewa Wizara ya Katiba na Sheria, aahidi ushirikiano

Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Dkt. John Jingu, amepokelewa rasmi na Waziri wa Wizara hiyo, Dkt. Juma Homera kufuatia uhamisho uliofanywa hivi karibuni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kutoka Wizara…

Benki ya MCB yazindua mpango wa uuuzaji wa hisa stahiki

📌*Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa apongeza mpango huo. 📌*Asema ni chachu ya utoaji wa Mikopo nafuu na kuongeza mtaji wa benki hiyo. Na Mwandishi wetu -Dar es salaam Uuzaji wa hisa za Benki ya Biashara ya Mwalimu (MCB) ni chachu…