JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TMA yatabiri msimu wa kipupwe wenye baridi, baadhi ya mikoa kupata mvua za nje ya msimu

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetangaza kuwa na msimu wa Kipupwe Juni hadi Agosti mwaka 2026 unatarajiwa kuwa na hali ya baridi katika maeneo mengi ya nchi, huku mwezi Julai ukitajwa…

TPDC yahimiza wananchi kulinda miundombinu ya bomba la gesi asilia

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeendelea kuwashirikisha wananchi katika kulinda miundombinu ya bomba la gesi asilia, likieleza kuwa usalama wa miundombinu hiyo unategemea kwa kiasi kikubwa ushirikiano wa jamii nzima. Katika kuimarisha ulinzi huo, TPDC inaendelea kutekeleza programu…

Tanzania kuandaa mpango wa hatua za mapema za kujiandaa kukabiliana na ukame -Dk Yonazi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMwdia, Msumbiji TANZANIA inaandaa Mpango wa Kitaifa wa Hatua za Mapema za kujiandaa, kukabiliana na ukame kwa maeneo yanayokabiliwa na janga hilo kwa kushirikiana na Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), ikiwa ni jitihada za kupunguza…

Picha ya mfungwa aliyevaa hereni yazua mjadala ,Serikali yaonya matumizi mabaya ya mitandao

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imetolea ufafanuzi kuhusu picha iliyosambazwa kwenye mitandao ya kijamii ikimuonesha mfungwa akiwa amevaa hereni gerezani, ikielezwa kuwa picha hiyo ilitumiwa kwa namna ya kupotosha umma na kuibua tafsiri…

Kunenge ateta na watendaji kata 134 Pwani, asisitiza kuongeza mapato

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge amewasisitiza watendaji wa kata mkoani humo kuwa chachu ya kuchochea maendeleo kwa kuongeza ukusanyaji wa mapato pamoja na kutatua kero za wananchi . Kunenge alitoa msisitizo na maagizo…

Wizara ya Mambo ya Ndani yaomba bajeti ya Trilioni 2.443 Kwa mwaka 2026/2027

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imeomba Bunge la Tanzania kuidhinisha bajeti ya jumla ya shilingi trilioni 2.443 kwa ajili ya matumizi yake katika mwaka wa fedha 2026/2027. Bajeti hiyo imewasilishwa leo Mei 25, 2026…