JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Marekani yamwekea vikwazo Kabila

Marekani imemwekea vikwazo vikubwa Rais wa zamani wa Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Joseph Kabila, ikimtuhumu kuyaunga mkono makundi ya waasi ya M23 na AFC. Washington inadai Kabila alitoa msaada wa kifedha kwa AFC, alihamasisha wanajeshi kuasi kutoka jeshi la…

Iran yatuma onyo kali Washington kuhusu vita

Iran imeonya jana kuwa itajibu kwa mashambulizi makali na ya muda mrefu dhidi ya majeshi ya Marekani iwapo Washington itaanzisha tena mashambulizi. Tehran pia imesisitiza kuwa inaendelea kudhibiti Mlango-Bahari wa Hormuz, hali inayotia doa mipango ya Marekani ya kuunda muungano…

Tanzania, Japan kufungua milango mipya ya uwekezaji sekta ya nishati

Ushirikiano kati ya Tanzania na Japan katika sekta ya nishati unaingia hatua mpya, huku juhudi zikielekezwa zaidi katika kuvutia uwekezaji wa sekta binafsi na teknolojia za kisasa za uzalishaji umeme. Hatua hiyo imebainishwa jijini Dar es Salaam leo tarehe 30…

Vijana kujengewa uwezo mabadiliko ya tabianchi

Na Mwandishi Wetu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Mashirikiano wa Shirikisho la Umoja wa Vijana wa Afrika (Pan African Youth Union) Bi. Kaoutar Moudar. Mazungunzo hayo yamefanyika leo…

Rais mstaafu Dk Kikwete ampongeza Mtanzania Ngasuma Eva Kanyeka aliyeng’ara Chuo Kikuu cha Harvard Marekani

Na Mwandishi Maalumu, Havard Akiwa katika Chuo Kikuu cha Harvard, jijini Cambridge, jimbo la Massachusetts, nchini Marekani, Rais Mstaafu, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amempongeza mwanafunzi wa Kitanzania wa Shahada ya Uzamivu (PhD), Bi. Ngasuma Eva Kanyeka, kwa kushinda tuzo…

Serikali yachukua hatua dhidi ya utapeli mtandaoni, laini 62,879 zafunguwa – Kairuki

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angellah Kairuki, amesema Serikali imeendelea kuchukua hatua thabiti za kukomesha uhalifu wa kimtandao, ikiwemo utapeli unaotumia laini za simu na mifumo ya kidijitali, wakati akihitimisha hoja ya makadirio ya mapato na matumizi ya…