Latest Posts
Sheikh awasihi Watanzania kudumisha amani
*Awataka vijana kutulia, ataka vyombo vya habari kuwa makini Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Watanzania wameombwa kuendelea kutunza na kulinda amani, umoja na mshikamano kwa nguvu zote kwa sababu ndio msingi mkubwa wa kupata maendeleo na mahitaji mengine. Wito huo…
Chimwejo: Sekta binfasi iongeze nguvu kuzalisha mabaharia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam TANZANIA bado inachangia chini ya asilimia moja ya mabaharia duniani, hali inayofungua fursa kubwa kwa sekta binafsi kuongeza juhudi za kuzalisha mabaharia wengi wenye ujuzi. Imeelezwa hatua hiyo itasaidia kufanikisha malengo ya maendeleo…
TB yatibiwa ndani ya miezi sita
*Dar es Salaam yaongoza kitaifa kwa maambukizi,*Ujazo abiria kwenye daladala, msongamano wa makazi wachangia Na Kulwa Karedia, JahuriMedia, Dar es Salaam KWA miaka kadhaa iliyopita, ugonjwa wa kifua kikuu (TB), ulikuwa unatibika kwa mwaka mzima, sasa mambo yamebadilika ambapo mgonjwa…
Waziri Mkuu azindua Sera ya Taifa ya Usimamizi wa Ugavi
*Awataka waliopewa dhamana ya usimamizi wazingatie misingi ya utawala bora WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ameziagiza Mamlaka, Taasisi na Wadau wote waliopewa dhamana ya kusimamia utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Usimamizi wa Mnyororo wa Ugavi ya Mwaka 2025 wabadilike na…





