Latest Posts
Wananchi Kwimba wameishukuru Taasisi ya Doris Mollel kwa ufadhili wa jengo la kisasa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kwimb Wananchi Wilayani Kwimba na maeneo jirani, wameishukuru Taasisi ya Doris Mollel (Doris Mollel Foundation) kwa kuleta mabadiliko makubwa katika wilaya hiyo, baada ya kufadhili na kusimamia ujenzi wa jengo la kisasa la Kimataifa la kuwahudumia…
JKCI, ABC Group kushirikiana kufikisha huduma za matibabu ya moyo kwa wananchi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na kampuni ya ABC Group inayojuhusisha na usambazaji wa vifaa vya ujenzi kufikisha huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa yasiyoambukiza yakiwemo magonjwa ya moyo…
Naibu Waziri Dk Dugange awasili Kagera kwa ziara ya kikazi
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange amewasili leo Februari 25, 2025 katika Uwanja wa Ndege wa Bukoba mkoani Kagera kwa ziara ya kikazi. Katika uwanja wa ndege huo, Dkt. Dugange amepokelewa na…
Dk Nchimbi kuwasili kesho Ruvuma, mgeni rasmi maadhimisho ya Mashujaa wa Vita ya Majimaji
Na Mwandishi Maalum,Ruvuma MAKAMU wa Rais Dkt Emanuel Nchimbi anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwa kilele cha kumbukizi ya miaka 120 ya mashujaa wa vita ya Majimaji itakayofanyika tarehe 27 Februari mwaka huu katika Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma. Akizungumza na…
Ulega aridhishwa na matengenezo ya barabara ya Dodoma – Iringa
Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega, amekagua na kuridhishwa na Maendeleo ya matengenezo ya barabara ya Dodoma – Iringa eneo la Fufu ambalo lilikuwa likijaa maji kipindi cha mvua na kusababisha adha kwa wananchi wa eneo hilo. Waziri Ulega amekagua eneo…
Serikali yaongeza kasi kuimarisha usalama barabarani kupitia mafunzo ya kitaalamu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Dkt. Charles Msonde, amesema Serikali inaendelea kuchukua hatua za haraka katika kuimarisha usalama barabarani kwa kuboresha usanifu wa miundombinu, kuimarisha utekelezaji wa sheria, pamoja na kuwajengea uwezo wataalamu…





