Latest Posts
TPA yanunua boti za kisasa kuimarisha ulinzi bandarini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika hatua ya kuendelea kuimarisha usalama wa shughuli za kibandari na kulinda shehena za wateja, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imenunua boti mbili za kisasa za doria ziendazo kwa kasi, zenye…
Taasisi 300 kufungiwa mifumo ya nishati safi ya kupikia 2026/2027
📌Fedha za ndani sh.bilioni 15 kutumika Katika juhudi za kuhakikisha kuwa Tanzania inafikia asilimia 80 ya matumizi ya nishati safi ya kupikia ifikapo 2034, Serikali katika mwaka wa fedha 2026/2027 itasambaza mifumo ya nishati safi ya kupikia katika taasisi 300…
Utalii wa Kijiolojia Dodoma; Yoderite na mageuzi ya Kongwa kuwa urithi wa dunia
✅️ Tanzania yaendelea kujijengea nafasi ya kipekee duniani kama kitovu cha tafiti za miamba ya shinikizo la juu na utalii wa kijiolojia. ✅️ Profesa Abdulkarim Mruma Ahusika na Kuendeleza Urithi wa Tafiti za Mautia Hill 📍Kongwa – Dodoma Katika eneo…
Mradi wa njia ya umeme Chalinze – Dodoma wafikia asilimia 89
📌 Njia ya kV 400 yenye urefu wa km 345 kukamilika Agosti 21, 2026; kubeba umeme wa JNHPP na kuongeza uwezo wa Gridi ya Taifa. Mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya msongo wa kilovoti 400 kutoka Chalinze…
Waziri Mkuu: Wakandarasi warejee site
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ameelekeza wakandarasi waliokuwa wamesimamisha kazi katika miradi mbalimbali ya ujenzi wa barabara mkoani Mara kurejea maeneo ya kazi mara moja, huku Serikali ikiendelea kuwalipa ili kuhakikisha miradi hiyo inakamilika kwa wakati. Akizungumza na wananchi katika…
Serikali yaanza enzi mpya ya usafi wa mazingira kupitia mkakati wa huduma jumuishi
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Katika hatua mpya ya kuimarisha uhifadhi wa mazingira na kujenga taifa lenye afya, Serikali imezindua Mkakati wa Huduma Jumuishi za Usafi wa Mazingira, ukilenga kuimarisha usimamizi wa taka, majitaka na huduma za usafi nchini ili…





