Latest Posts
ETDCO yakamilisha miradi ya umeme wa bilioni 16.2 kusini
Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) imekamilisha ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa kilovolti 132 kutoka Mtwara hadi Lindi–Mahumbika, pamoja na njia ya kilovolti 33 kutoka Masasi hadi Newala,…
TARURA yafungua barabara ya Manda – Mafurungu wilayani Chamwino, wananchi wapata nafuu ya usafiri
Chamwino, Dodoma Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) wilaya ya Chamwino imefungua barabara ya Manda–Mafurungu yenye urefu wa kilomita 25 hatua ambayo imebadili hali ya usafiri na usafirishaji kwa wananchi wa kijiji cha Mafurungu baada ya kukabiliwa na…
Tanzania, Ujerumani zajadili fursa za uwekezaji na ushirikiano wa kiuchumi
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, James Millya (Mb.), amekutana na ujumbe wa ujumbe wa Serikali na wafanyabiashara 30 waandamizi kutoka Ujerumani ulioongozwa na Waziri wa Masuala ya Shirikisho, Ulaya na Kimataifa Mhe. Manfred Pentz….
NEMC Yataka Ubunifu wa Mazingira kugeuzwa kuwa fursa
BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetoa wito wa kujenga mifumo itakayowezesha ubunifu na fursa za mazingira kugeuzwa kuwa miradi inayotekelezeka, inayoweza kufadhiliwa na kukua. Wito huo umetolewa na Kaimu Mkurugenzi wa Tafiti za Mazingira wa…
BoT yapata tuzo tano kwa kukuza huduma jumuishi za fedha
BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imepata tuzo na utambuzi tano kutokana na hatua mbalimbali ilizochukua katika kukuza ujumuishi wa huduma za fedha nchini, ikiwamo kupunguza pengo la upatikanaji wa huduma hizo kati ya wanawake na wanaume. Tuzo hizo zilitolewa katika…
NIDA Kuanza kuwasajili watoto chini ya miaka 18- Dkt. Mwigulu
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali kupitia Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) itaanza kuchukua hatua za kuwasajili na kuwatambua watoto walio chini ya umri wa miaka 18, ikiwa ni sehemu ya kuimarisha mfumo wa utambulisho wa Taifa. Dkt….





