Latest Posts
Mpanda wapongeza Jeshi la Polisi kwa zoezi la usafi wa soko kuu
Wananchi na wafanyabiashara wa Soko Kuu la Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamelipongeza Jeshi la Polisi kwa kuendesha zoezi la usafi lililofanyika sokoni hapo, wakisema limechangia kuboresha mazingira ya biashara, afya ya jamii na kuongeza uelewa kuhusu umuhimu wa kutunza…
Jela miaka 30 kwa kusafirisha kilo 75.15 za mirungi
Mahakama ya Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga imemhukumu Isa Musini Rashidi maarufu kama Hamidu kifungo cha miaka 30 jela baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kusafirisha kilo 75.15 za dawa za kulevya aina ya mirungi (Khat). Hukumu hiyo imetolewa…
JET yashiriki kuwafunda vijana 40 katika uzinduzi wa Mpango wa Utetezi wa Media4Climate
Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET), kimesisitiza umuhimu wa kuwajengea uwezo vijana 40 wanaofanya kazi katika sekta ya habari kote nchini Tanzania, ili waweze kuandika habari za mabadiliko ya tabianchi wakizingatia Maarifa (Dhana, Sifa, Aina za maudhui,…
Wataalam wa ndani wafanikisha upandikizaji mashine za usikivu
Na Abduly Madenge, WAF – Dar es Salaam Tanzania imeandika historia mpya katika sekta ya afya baada ya wataalamu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kufanikisha kwa mara ya kwanza upasuaji wa kupandikiza mashine za usikivu (Cochlear Implant) kwa kutumia…





