Latest Posts
President Samia set to make more history in the Great Lakes Region
*Ambassador Deo Mwapinga facilitates major conference in Dar es Salaam *Dr Tulia urges women leaders to ensure their presence translates into influence *TCB’s Dr Mihayo says women are trustworthy borrowers who repay their loans By Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es…
Rais Samia kuandika historia nyingine nchi za maziwa makuu
*Balozi Deo Mwapinga afanikisha mkutano mkubwa Dar *Dk. Tulia ashauri wanawake viongozi uwepo wao utambuliwe *Dk. Mihayo wa TCB asema wanawake ni waaminifu, wakikopa wanarejesha Na Deodatu Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tanzania inatarajia kuwa kitovu cha diplomasia ya kibunge…
STAMICO yajipanga kukabiliana na athari za El Niño
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM SHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limeanza kuchukua tahadhari kukabiliana na athari zinazoweza kusababishwa na mvua za El Niño, baada ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kueleza kuwa mvua hizo zinatarajiwa kuimarika…
Tanzania, Uganda zajadili utekelezaji miundombinu ya petroli
Kampala, Uganda Serikali za Tanzania na Uganda zimekutana kujadili utekelezaji wa miradi ya miundombinu ya mafuta na gesi kati ya nchi hizo mbili. Hayo yamebainishwa tarehe 17 Septemba 2026 na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia masuala ya Mafuta…
Serikali yahimiza matumizi ya teknolojia kyongeza tija kwa wachimbaji
Lindi Yatajwa Kuwa na Fursa Kubwa za Uwekezaji wa Madini *Wachimbaji Wahimizwa Kuongeza Thamani ya Madini Nchini Ruangwa, Lindi. Serikali yawahimiza wachimbaji wa Madini kutumia teknolojia za kisasa katika shughuli za uchimbaji ili kuhakikisha wanachimba kwa faida, kuongeza tija katika…





