Latest Posts
Tanga kufungua milango ya fursa kupitia elimu, ujuzi na ubunifu
Wananchi wa Mkoa wa Tanga na mikoa jirani wanahamasishwa kushiriki katika Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ubunifu na Ujuzi, itakayofanyika kuanzia tarehe 15 – 24 Agosti 2026 katika viwanja vya Shule ya Sekondari Usagara, jijini Tanga, ili kujifunza, kubadilishana maarifa…
Jaji Mshibe asisitiza maandalizi ya kisekta katika kukabiliana na athari za El Nino
Dodoma, 14 Agosti 2026: Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Mheshimiwa Jaji Mshibe Ali Bakari, amezitaka sekta zote nchini kutumia ipasavyo taarifa za hali ya hewa katika kufanya maandalizi ya kisekta ya kukabiliana na athari…
Wizara ya Maji yawasilisha Mpango wa Gridi ya Taifa ya Maji kwa Kamati ya Bunge
Wizara ya Maji imewasilisha taarifa ya utekelezaji wa mpango wa ujenzi wa Gridi ya Taifa ya Maji kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira. Naibu Waziri wa Maji Mhe. Mhandisi Kundo Mathew (Mb) akiwasilisha taarifa hiyo kwa…
Watumishi wa Wizara Watembelea Ofisi za Ubalozi India
Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wanaohudhuria mafunzo maalum ya diplomasia nchini India wametembelea Ofisi za Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini New Delhi. Katika ziara hiyo, watumishi hao walikutana na wafanyakazi…
Dc Ndemanga: Mazoezi Silaha dhidi ya Magonjwa
Mwamvua Mwinyi, BagamoyoAgosti 14, 2026 MKUU wa Wilaya ya Bagamoyo, Shaibu Ndemanga, amewasihi wananchi kujenga utamaduni wa kufanya mazoezi mara kwa mara, akisema michezo ni muhimu katika kujenga afya na kujikinga na magonjwa yasiyo ya kuambukiza. Ndemanga alitoa kauli hiyo…
Salome apongeza utoaji elimu kwa wananchi maonesho ya Kizimkazi
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba (Mb.), ametembelea mabanda ya Wizara ya Nishati na taasisi zake katika Maonesho ya Tamasha la Kizimkazi yanayoendelea Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar. Akiwa katika mabanda hayo, Mhe. Salome amezungumza na wataalam pamoja…





