JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais wa Finland atembelea makumbusho ya Taifa

Na Happiness Shayo, Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Finland, Mhe. Alexander Stubb, ametembelea Makumbusho ya Taifa la Tanzania jijini Dar es Salaam na kuonesha kufurahishwa na maonesho ya historia ya mwanadamu yaliyopo katika jumba hilo la kihistoria. Akizungumza…

Mauzo ya bidhaa nje ya nchi yaongezeka kwa asilimia 61.2 — Dk Jafo

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Viwanda na biashara imeendelea na jitihada za kukuza mauzo ya bidhaa nje ya nchi ambapo katika kipindi cha miaka minne mauzo katika soko la Jumuiya EAC yaliongezeka kutoka dola za Marekani milioni 1,161.2…

Mchango wa Madini katika Pato la Taifa wazidi kuimarika

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Serikali imesema mchango wa sekta ya madini katika Pato la Taifa umeendelea kuimarika na kukua kutoka asilimia 7.3 mwaka 2021, asilimia 9.1 mwaka 2023 na kufikia asilimia 10.1 mwaka 2024. Waziri wa Madini Anthony Mavunde ameeleza…

Wizara ya Madini yahamia rasmi Mtumba

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, ameongoza watumishi wa wizara hiyo kuhamia na kuanza rasmi kazi katika jengo jipya la kisasa la Wizara hiyo lililopo eneo la Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma. Hatua hiyo inalenga kurahisisha utoaji…

CRB yatakiwa kuchukua hatua kwa wakandarasi wanaoshindwa kufuata masharti

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Bodi ya usajili wa makandarasi nchini (CRB) imetakiwa kuchukua hatua madhubuti dhidi ya makandarasi wote wanaothibitishwa kukiuka wajibu wao. Waziri wa ujenzi Abdala Ulega alizungumza hayo, wakati wa uzinduzi wa mkutano wa mashauriano…

Mpango atoa rai kwa viongozi kushirikana na taasisi za misitu na utafiti

Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango ametoa rai kwa viongozi wa mikoa kwa kushirikiana na taasisi za misitu na utafiti waanzishe bustani za mimea zinakazosaidia vijana kutafiti na kutengeneza dawa. Dk Mpango alitoa rai hiyo wakati wa maadhimisho ya miaka…