MSD yakabidhi vifaa vya sh.mil. 114 kwa kituo cha afya Mtae zilizotolewa na Serikali

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Serikali imetoa Sh.Milioni 114 kwa Kituo cha Afya  Mtae kilichopo Wilaya ya Lushoto mkoani Tanga ambazo zimetumika kununulia vifaa tiba kupitia Bohari ya Dawa (MSD) na hivyo kinatarajia kuanza kutoa huduma ya upasuaji mwishoni mwa mwezi Disemba 2023. Hatua ya kituo hicho kuanza  kutoa huduma hiyo inatokana na maboresho makubwa…

Read More

Tanzania yapiga hatua utekelezaji wa ajenda ya Afrika 2063 – Dk Biteko

Gaborone – Botswana Imeelezwa kuwa, Tanzania imepiga hatua kubwa kwenye utekelezaji wa makubaliano ya Ajenda 2063, ya kuifanya Afrika kuwa mahali pa ndoto yetu kuelekea Afrika tuitakayo. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt.Doto Biteko kwenye Mkutano wa kujadili utekelezaji wa makubaliano yaliyofikiwa na Wakuu wa Nchi juu ya Ajenda…

Read More