JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mamia ya wasomi wachangamkia fursa ya Ulega

📍Ulega aongeza zawadi ubunifu wa foleni Mamia ya wanafunzi wa taaluma za uhandisi wamejitokeza kushindana katika andiko la ubunifu wa kuondoa kero za foleni mijini iliyoanzishwa na Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega. Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma leo…

Watanzania 168,657 wafaidika na programu ya kukuza ujuzi

Serikali inaratibu Programu ya Taifa ya Kukuza Ujuzi, kwa lengo la kukuza ujuzi wa nguvukazi ya taifa ili kumudu ushindani katika soko la Ajira ambapo hadi sasa Watanzania 168,657 wamenufaika.   Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu…

‘Watanzania waongoza uwekezaji wa ndani’

WATANZANIA wameendelea kuongoza katika umiliki wa miradi ya uwekezaji nchini, hatua inayoonesha kuongezeka kwa mwamko wa wananchi kushiriki moja kwa moja katika shughuli za kiuchumi na maendeleo ya taifa. Akizungumza leo Aprili 2, 2026 jijini Dar es Salaam wakati akitoa…

Nishati safi yafungua milango ya fursa safi kwa watengeneza maudhui

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Watengeneza maudhui nchini wamehamasishwa kutumia ubunifu wao kujipatia kipato kupitia fursa zitokanazo na nishati safi ya kupikia, kwa kuelimisha jamii kupitia kazi zao zikiwemo video za elimu, vichekesho, hadithi na kampeni mbalimbali zitakazowafikia wananchi kwa…

Polisi Ruvuma yawashikilia watatu kwa tuhuma kuua, kukutwa na sare za JWTZ

Na Cresencia Kapinga, JamhuriMedia, Ruvuma Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma linawashikilia watu watatu katika matukio mawili tofauti, likiwemo la mwendesha bodaboda kuporwa pikipiki na kisha kuuwawa. Akizungumza na waandishi wa habari leo Aprili 2, 2026 Kamanda wa Polisi Mkoa wa…