JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tanzania yashika nafasi ya nne kwa uwekezaji sekta ya madini Afrika

▪️Ni ya 4 barani Afrika, nyuma ya Botswana, Morocco na Zambia ▪️Alama ya Tanzania yapanda hadi 68.04 mwaka 2025 kutoka 62.75 (2024) na 46.38 (2023) ▪️Tanzania yaorodheshwa nafasi ya 15 duniani kwenye Best Practices Mineral Potential Index kwa alama 75.00…

NIDA yaongeza mashine, siku za usajili Mbeya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), James Kaji, ameongeza mashine na siku za usajili wa Vitambulisho vya Taifa katika Mkoa wa Mbeya kufuatia mwitikio mkubwa wa wananchi wanaojitokeza kujiandikisha kupata Namba ya…

Migogoro ya mahusiano bado ni changamoto- CRC

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kituo cha Sheria na Usuluhishi cha CRC kimesema migogoro ya mahusiano na elimu ya afya ya uzazi ni changamoto kwa wanandoa na vijana nchini. Akizungumza na Jamhuri mara baada ya kikao cha mkutano…

Rais Samia kuifugua Rukwa kimiundombinu

Naibu Waziri wa Ujenzi Eng. Godfrey Kasekenya amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amedhamiria kuifungua nchi kimiundombinu ili kuchochea uzalishaji na biashara mipakani.‎ Akizungumza na wakazi wa Namanyere Wilayani Nkasi katika ziara ya Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba inayoendelea mkoani…

Dk. Gwajima awahimiza wananchi kuupokea na kuulinda mradi wa pamoja kwa ustawi wa jamii

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Geita Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, amewataka wananchi waliopo katika Halmashauri 40 zilizopo katika Mikoa 10 ya Arusha, Mwanza, Kagera, Mara, Singida, Shinyanga, Geita, Rukwa,Tabora na Simiyu…