Latest Posts
Siasa za ulimwengu zinaathiri nchi za SADC
Hali ya sasa ya siasa za ulimwengu na vita zinazoendelea Mashariki ya kati, imesababisha madhara makubwa ulimwenguni ikiwemo kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), na huo ni ujumbe tosha kwa nchi zetu kuchukua hatua Madhubuti za…
Tanzania yajinadi uimarishaji usawa wa kijinsia wa haki kwa wanawake mkutano wa CSW 70
📌 Waziri Gwajima atoa taarifa ya nchi katika mkutano huo Na WMJJWM New York Marekani Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesisitiza mshikamano wake na nchi wanachama wa jumuiya ya kimataifa katika kuendeleza ajenda ya usawa wa kijinsia duniani….
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira kutembelea Mradi wa Urejeshwaji Endelevu wa Mazingira
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Iringa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira ikiongozwa na Mwenyekiti wake Jackson Kiswaga leo Machi 12, 2026 imewasili katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa kwa ajili ya ziara ya kutembelea Mradi…
Wananchi wanayo matumaini makubwa na REA – Mhandisi Saidy
Awataka watumishi kufanya kazi kwa bidii, uadilifu na maarifa Morogoro📍 Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi, Hassan Saidy amesema Wananchi hususan wanaoishi vijijini wana matumaini na Serikali kupitia REA katika kuwaboreshea hali ya maisha na amewataka Watumishi…
Rais Samia kumuasili mtoto aliyetelekezwa kunavyodhihirisha upendo wake kwa jamii
Na Dkt. Reubeni Lumbagala, JamhuriMedia, Tanga Watoto wana haki zao za msingi. Wanapaswa kupendwa, kulindwa, kusikiliza, kupewa malezi na matunzo. Pia, watoto wanapaswa kupewa mahitaji yote ya msingi yaani chakula, mavazi na malazi. Kimsingi, ni wajibu wa msingi kwa wazazi…
Papa Leo ahuzunishwa na mauaji ya watoto Iran
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Leo XIV (14 ) amesikitishwa na vifo vya raia wengi katika vita vya Iran. Vita vya Israel na Marekani dhidi ya Iran vimeingia siku yake ya 12. Papa pia ameelezea kuwa karibu na watu…





