Latest Posts
Tanzania, Kenya kuharakisha utekelezaji miradi ya kuunganisha njia za umeme
Tanzania na Kenya zimekubaliana kuharakisha utekelezaji wa miradi mbalimbali ya njia za umeme zinazounganisha gridi za nchi hizo mbili pamoja na kuboresha mifumo ya usafirishaji wa umeme ili kuimarisha usalama wa nishati, kuongeza uhakika wa upatikanaji wa umeme na kukuza…
MSD, wadau sekta ya afya wajadili namna bora ya kuondoa na kudhibiti madeni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Bohari ya Dawa (MSD) imeanza hatua mpya ya kimkakati ya kuimarisha usalama wa kifedha wa mnyororo wa ugavi wa bidhaa za afya nchini, kufuatia kikao kazi kilichowakutanisha…
Kamati ya Bunge : Sekta ya viwanda na biashara ni mhimili wa uchumi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeipongeza Wizara ya Viwanda na Biashara pamoja na taasisi zake kwa utekelezaji mzuri wa majukumu yake, huku ikizitaka kuongeza kasi ya utekelezaji wa mikakati…
Mikakati kukabiliana ongezeko la shehena bandarini yatajwa
WAZIRI wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesema Serikali imeendelea kuchukua hatua madhubuti za kukabiliana na ongezeko la shehena katika Bandari ya Dar es Salaam kwa kuboresha miundombinu ya bandari, reli na maeneo ya kuhifadhi mizigo ili kuongeza ufanisi wa huduma…
Mahakama yaendelea kuimarisha utoaji haki
Na Halima Mnete- Mahakama, Dodoma Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Prof. Elisante Ole Gabriel, amesema kuwa Mahakama inaendelea kuimarisha utoaji wa huduma za haki nchini kupitia maboresho mbalimbali ya kiutumishi, matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) pamoja…
Jaji Mkuu ataka changamoto za watumishi kutatuliwa bila vikwazo
· Ataka mashauri yasikilizwe mapema ipasavyo ili kuchangia ustawi na maendeleo ya Taifa · Asisitiza ushirikiano, amani na kuthaminiana kwa Watumishi Na MARY GWERA-Mahakama, Dodoma Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. George Masaju na Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi…





