JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wanafunzi Shule ya Msingi Bunge wapatiwa elimu ya haki na wajibu wa mlaji

TUME ya Ushindani (FCC) leo Machi 19,2026 imetoa elimu kwa wanafunzi wa Shule ya Msingi Bunge kuhusu masuala ya kumlinda mlaji, ikiwemo haki na wajibu wa mlaji pamoja na madhara ya matumizi ya bidhaa bandia katika jamii. Elimu hiyo imelenga…

Kongole Wizara ya Maji kwa mafanikio ya programu ya WSDP

Na Dk. Reubeni Lumbagala Wizara ya Maji inatekeleza programu mbalimbali za kimaendeleo zenye lengo la kuboresha usambazaji wa maji kwa wananchi wake na kufanikisha miradi mingine ya umwagiliaji ambayo ni kichochea muhimu kwa ustawi wa shughuli za kiuchumi kama kilimo,…

Tanzania yatangaza fursa mpya za uwekezaji sekta ya afya kimataifa

Tanzania yatangaza fursa mpya za uwekezaji sekta ya afya kimataifa Na Mwandishi Wetu, London Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa, ametangaza kuwa Tanzania iko tayari kushirikiana na wawekezaji wa kimataifa katika kukuza Sekta ya Afya na Sayansi , akisisitiza kuwa…

NSSF yawanoa waajiri, yasisitiza uwasilishaji wa michango kwa wakati kidijitali

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umewapa mafunzo waajiri 129 wa sekta binafsi, yakilenga kuwaongezea uelewa wa kina kuhusu utekelezaji sahihi wa sheria za hifadhi ya jamii na matumizi ya mifumo…

Manaibu Waziri Fedha, Viwanda na Biashara wakutana na wanachama wa CTI Dar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Arusha SERIKALI imeahidi kuwa katika bajeti ya mwaka huu itazifanyia kazi changamoto za kikodi zinazolalamikiwa na wafanyabiashara na wenye viwanda kama mkakati wa kuendelea kuvutia uwekezaji wa ndani na kutoka nje ya nchi. Ahadi hiyo ilitolewa…

Wamiliki wa leseni za madini wafundwa, Tume yasisitiza utekelezaji wa sheria

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Tume ya Madini imeendelea kusisitiza utekelezaji wa sheria na kanuni katika sekta ya madini, ikiwataka wamiliki wa leseni kuhakikisha shughuli za uchimbaji zinawanufaisha watanzania na kulinda maslahi ya taifa. Akizungumza jijini Dodoma kwenye…