JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dk Nchimbi azindua mpango wa ushirikiano kati ya taasisi za elimu na viwanda

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ametoa wito kwa sekta binafsi kushirikiana na Vyuo, kuwekeza katika tafiti hususan za sayansi na teknolojia ili kuinua viwango vya tafiti na ubora wa elimu nchini. Makamu…

Kikwete awataka waajiri nchini kuzingatia sheria na kanuni katika usimamizi wa rasilimaliwatu

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete ameziagiza Mamlaka zote za nidhamu nchini ikiwa ni pamoja na Mamlaka za Maji kusimamia na kuzingatia ipasavyo Sheria, Kanuni na Taratibu katika…

Serikali yazindua Sera ya Taifa ya Kinga ya Jamii na ‘Hifadhi Scheme’ kwa waliojiajiri

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano imezindua Sera ya Taifa ya Kinga ya Jamii pamoja na Mpango wa Hifadhi ya Jamii kwa Wananchi Waliojiajiri ‘Hifadhi Scheme’ hatua inayolenga kupanua wigo wa…

Naibu Waziri wa Afya aitaka jamii kuacha unyanyapaa dhidi wenye kifafa

Wananchi wametakiwa kuwajali na kuachana na vitendo vya unyanyapaa dhidi ya wagonjwa wa kifafa, kwani asilimia kubwa ya wagonjwa hao hushindwa kupata ushirikiano kutoka kwa familia na jamii zinazowazunguka, jambo linalosababisha kuchelewa kupata matibabu na kufika hospitalini wakiwa katika hali…

Ubalozi wa Japan kujenga bweni la wasichana sekondari ya Pangani

Na Mwavua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Ubalozi wa Japan nchini unatarajia kujenga bweni la wasichana katika Shule ya Sekondari Pangani, Kibaha mkoani Pwani, kwa lengo la kupunguza changamoto ya wanafunzi wa kike kutembea umbali mrefu na kuishi nje ya shule. Hayo…

Serikali yalipa asilimia 95 ya deni la kihistoria mifuko ya hifadhi

Na OWM-KAM,Arusha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano, Mheshimiwa Deus Clement Sangu, ametoa shukrani za dhati kwa Serikali ya Awamu ya Sita kwa utaratibu wake wa kishujaa wa kulipa deni la kihistoria la shilingi trilioni…