JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wasira : Nyerere alikuwa mtetezi wa wanawake, aliandika kitabu hakijachapishwa

Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira amesema mawazo ya Hayati Mwalimu Julius Nyerere akiwa Chuo Kikuu cha Makerere nchini Uganda aliandika kitabu cha kutetea wanawake ingawa kitabu hicho hakijachapishwa hadi amefariki. Wasira…

Serikali yakutana na Mjumbe Malaam wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola

NaMwandishi Wetu Ujumbe wa Serikali ya Tanzania ukingozwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Mhe. Profesa Palamagamba Kabudi, imekutana na Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola na Rais wa…