Latest Posts
Waziri Mkuu azungumza na wajasiriamali wadogo ufukwe wa Coco Beach
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza na wajasiriamali wadogo wanaofanya shughuli zao katika eneo la fukwe ya Coco “Coco Beach” jijini Dar es Salaam Machi 29, 2026 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
‘Camp’ ya macho CCBRT Mbagala yavuta mamia ya wakazi wenye matatizo
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MAELFU ya wakazi wa Mbagala na vitongoji vyake katika Manispaa ya Temeke, Jijini Dar es Salaam wamejitokeza kwa wingi kupima macho,kupata ushauri nasaha sambamba na kupata matibabu stahiki yalitolewa bure Hospitali ya CCBRT jana….
DMDP II yaleta mapinduzi ya miundombinu Manispaa Temeke
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es SalaamMradi wa Uendelezaji Jiji la Dar es Salaam Awamu ya Pili (DMDP II) unatekeleza ujenzi wa barabara zenye urefu wa Kilomita 51.2 kwa kiwango cha lami na zege katika Kata zaidi ya nane (8)…
SOAT yazinduliwa, yaahidi kuongeza mapato ya Utalii kufikia bilioni 790
Na Mussa Juma, JamhuriMedia, Arusha Jumuiya ya Wawekezaji Mahiri katika maeneo ya Wanyamapori(SOAT) imezinduliwa rasmi jijini Arusha, huku wawekezaji hao wakiahidi kushirikiana na serikali kuendeleza Utalii na kuhakikisha ndani ya miaka 20 wanaingizia taifa kiasi cha sh 790 bilioni kutokana…





