Latest Posts
Rais Alhaj Dk Mwinyi ahimiza huruma na mshikamano
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewahimiza waumini wa dini ya Kiislamu wenye uwezo kuwasaidia wasio na uwezo ili nao waweze kutimiza ibada ya funga ipasavyo katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Ameyasema…
Serikaki yadhamiria kumaliza changamoto ya usafiri Dar es Salaam
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIBU Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Dkt. Jim Yonazi ambaye pia ni mwenyekiti wa Kamati ya Usimamizi wa Mradi wa DART amesema Serikali imejipanga kikamilifu kuhakikisha inamaliza…
HESLB inavyoshirikiana na wadau kuwawezesha wanafunzi kujitegemea kiuchumi
Na Dk. Reubeni Lumbagala, JamhuriMedia, Tanga Elimu ni haki muhimu ya binadamu. Elimu ni nyenzo muhimu ya kumsaidia binadamu kumudu maisha yake. Kwa kutambua hilo, ndiyo maana wazazi na walezi wanapambana sana kusomesha watoto na vijana wao ili kuwawezesha kupata…
Serikali yawashauri wananchi kuchukua tahadhari na kujikinga dhidi ya magonjwa mbalimbali
Na Mwandishi wetu– WAF, Dar es Salaam. Wizara ya Afya imewataka wananchi kuendelea kuchukua tahadhari na kufuatilia ushauri wa kitaalam ili kujikinga dhidi ya magonjwa mbalimbali kama ilivyoelezwa katika taarifa kwa umma ya Mganga Mkuu wa Serikali hivi karibuni Hayo…
Fedha za miradi kimkakati ni kichocheo cha ajira na uchumi jumuishi
Serikali imejipanga kupeleka fedha kwenye miradi mbalimbali ya kimkakati ili wananchi waendelee kufaidika, ikiwemo kupata ajira katika sekta binafsi na serikalini.Akizungumza Februari 26, 2026 wakati alipotembelea mradi wa ujenzi wa barabara ya Ntendo – Kizungu wenye urefu wa kilomita 25…





