Latest Posts
Uzalishaji taka za plastiki wapungua kwa asilimia 95
Na Mwandishi Wetu, JamahuriMedia, Dodoma Serikali imesema uzalishaji na uingizaji wa mifuko ya plastiki iliyopigwa marufuku umepungua kwa asilimia 95 hatua iliyochangia kupungua kwa uzalishaji wa taka za plastiki katika maeneo mbalimbali nchini. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri Ofisi ya…
Mkaguzi Kata Iragua atoa mwongozo kwa watumiaji wa barabara kuepusha madhara
Mkaguzi Kata Iragua, Mkaguzi wa Polisi (INSP) Ramadhan Abdalla, akitoa msaada na maelekezo kwa watumiaji wa barabara katika eneo la Nyanya, Wilaya ya Ulanga, Mkoa wa Morogoro, kufuatia changamoto ya upitikaji wa barabara ili kutokuleta madhara kwa vyombo vta usafiri…
Ulega apokea taarifa ya washindi shindano la kupunguza foleni mijini
📌 Zaidi ya maandiko 500 kutoka ndani na nje ya nchi yapokelewa Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amepokea taarifa ya washindi wa shindano la *Ubunifu kwa Wanafunzi Challenge* linalohusu namna ya kupunguza tatizo la msongamano wa magari mijini. Taarifa hiyo…
Salome atembelea ubalozi wa Tanzania nchini Misri
Naibu Waziri wa Nishati,Mhe. Salome Makamba ametembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Misri, ambapo alipokelewa na Balozi wa Tanzania nchini humo, Richard Makanzo. Katika mazungumzo yao, Balozi Makanzo alieleza majukumu mbalimbali yanayotekelezwa na ubalozi huo, pamoja na kuainisha fursa zilizopo katika…
PPP yaongeza thamani ya miradi hadi trilioni 8.5, wito watolewa kufanyia maboresho sheria ya utumishi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP Centre) kimesema mafanikio ya utekelezaji wa ajenda ya ubia nchini yameongeza kwa kiasi kikubwa thamani ya miradi ya maendeleo, huku kikitoa wito…
EACOP yaweka rekodi ya saa milioni 6 bila ajali kazini
Na Mwandishi Wetu, Tanga Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) umeendelea kuonesha dhamira yake ya dhati katika kulinda maisha ya wafanyakazi, baada ya kufikia zaidi ya saa milioni sita za kazi bila kurekodi ajali yoyote kazini….





