RC Chalamila ataka wananchi kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya majanga ya moto
RNa Mwandishi Wetu, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Octoba 1, 2023 amefika eneo la ajali ya moto Kariakoo jijini Dar es Salaam ambapo moto umetokea majira ya asubuhi na kusababisha kuteketea jengo moja pamoja na baadhi ya bidhaa zilizokuwemo katika jengo hilo. RC Chalamila akitoa taarifa ya Serikali kufuatia janga…