Latest Posts
AZAM FC imemtambulisha Florent Ibenge kuwa Kocha Mkuu
Na Mwandishi Wetu AZAM FC imemtambulisha Florent Ibenge (63) kuwa Kocha Mkuu kwa mkataba wa miaka miwili wenye kipengele cha kuongeza kulingana na mafanikio. Ibenge, raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) alikuwa Kocha Mkuu wa Al Hilal ya…
Wataka mbio za Great Ruaha Marathon ziwe za kimataifa
Na Mwandishi Wetu Wadau wa sekta ya utalii, mazingira na maendeleo ya jamii wameitaka Serikali na mashirika ya kimataifa kuweka msukumo maalumu kuhakikisha mbio za Great Ruaha Marathon zinapandishwa hadhi na kuwa tukio la kimataifa. Hatua hiyo imeelezwa itasaidia kuitangaza…
DCEA: Wanaotangaza au kusifia matumizi ya Dawa za Kulevya kukiona
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imetoa onyo dhidi ya watu wote wanaotangaza, kuhamasisha au kusifia matumizi ya dawa za kulevya kupitia nyimbo, mavazi na njia nyingine yoyote ya…