Latest Posts
Juhudi za kuvimaliza vita vya Ukraine zaendelea
Mgogoro wa Ukraine unaendelea kuingia katika hatua ngumu, huku mashambulizi ya kijeshi yakiendelea kuathiri maisha ya raia. Wakati juhudi za kidiplomasia, misaada ya kimataifa, na msukumo wa vikwazo dhidi ya Urusi vikiendelea kuongezeka, mataifa mbalimbali yanaonesha dhamira ya kuisaidia Ukraine…
Maafisa maendeleo ya Jamii furukuteni kutoa elimu ya ununuzi wa umma wa asilimia 30 – Mdemu
Na WMJJWM – Iringa ‎Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Felister Mdemu amewataka Maafisa Maendeleo ya Jamii nchini kuboresha utendaji wao wa kazi kwa kwa kuwa sekta hiyo ni mtambuka na inagusa…
NMB, DSE wazindua manunuzi, mauzo ya hisa kidijitali mkononi
BENKI ya NMB kwa kushirikiana na Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE), wamezindua mashirikiano ya kimkakati na ya Kidijitali ya Ununuzi na Uuzaji wa Hisa za Kampuni mbalimbali zilizoorodheshwa DSE ambapo kupitia aplikesheni ya NMB mkononi unaeza kuipata…
Waziri Mambo ya Nje wa Cyprus akamilisha ziara yake nchini
Waziri wa Mambo ya Nje wa Cyprus Dkt. Constantinos Kombos amekamilisha ziara yake ya kikazi ya siku tatu nchini na kuagwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Said Shaib Mussa…
Waziri Aweso: Tuna uhakika wa maji ya kutosha Dar na Pwani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso amewatoa hofu wakazi wa mikoa ya Dar es Salaam na Pwani kuhusu upatikanaji wa huduma ya majisafi mara baada ya kutembelea na kukagua maboresho yaliyofanyika katika mtambo wa…