Mzize aipeleka Yanga SC makundi CAFC

KLABU ya Yanga SC imefanikiwa kutinga hatua ya makundi michuano ya Klabu Bingwa Afrika baada ya kuichapa Al Merreik ya Sudan bao 1-0 mchezo ambao umepigwa kwenye dimba la Chamazi. Kwa mara ya mwisho Yanga SC kufuzu hatua ya makundfi ilikuwa mwaka 1998 takribani miaka 25. Akichukua nafasi ya Kennedy Musonda,Mshambuliaji Clement Mzize aliwanyanyua wananchi…

Read More

Serikali kufungua shamba la miwa Muhukuru, Ruvuma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ruvuma Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulika na Sera, Bunge na Uratibu Jenista Mhagama (MB) wa Peramiho amesema Serikali kupitia Halmashauri ya Wilaya ya Songea imedhamiria kufungua shamba kubwa la miwa na kiwanda cha kuzalisha sukari katika kijiji cha Muhukuru. Kauli hiyo imetolewa mkoani Ruvuma katika Kijiji cha Lupokela…

Read More