JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ujifadhi ndio moyo katika sekta ya utalii – Kamishna Badru

Na Mwandishi wa NCAA, Karatu Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) Bw. Abdul-Razaq Badru ameeleza kuwa kusimamia na kuendeleza uhifadhi ni jukumu la msingi kwa mamlaka hiyo kwani uhifadhi ndiyo moyo katika ustawi wa…

Dk Tulia kujitoa kinyang’anyiro cha uspika kwazua mjadala

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia Dodoma Dr. Tulia Ackson Mwansasu, aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ametangaza kujiondoa rasmi kwenye kinyang’anyiro cha Uspika wa Bunge leo, hatua iliyotangazwa kupitia taarifa yake binafsi kwa umma. Uamuzi huo umekuja ghafla…

Dk Tulia ajiondoa kugombea uspika

Dkt. Tulia Ackson, aliyekuwa mgombea wa Uspika wa Bunge kupitia CCM, ametangaza kujiondoa rasmi leo, tarehe 7 Novemba 2025. Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Deodatus Balile, amethibitisha kuwa Dkt. Tulia hakuwa ametoa sababu ya kujiondoa kwake, lakini alimwaagiza kuwaarifu wahariri…

ELAF yahimiza maridhiano na amani baada ya uchaguzi mkuu

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam TAASISI ya Everlasting Legal Aid Foundation (ELAF) imewataka Watanzania kuendeleza misingi ya amani, uvumilivu na maridhiano baada ya kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. Akizungumza na waandishi wa habari leo Novemba 7, 2025…

Rais Mwinyi aagiza kuendeleza amani kwa maendeleo ya nchi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewahimiza wananchi kuendeleza utaratibu wa kuiombea nchi amani ili kuhakikisha utekelezaji wa mipango ya maendeleo unafanikiwa kwa ufanisi. Akizungumza na waumini wa dini ya Kiislamu katika…

Serikali yatoa milioni 403/- kurejesha mawasiliano Mbinga

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ruvuma Katika mwaka wa fedha 2024/2025, Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Wilaya ya Mbinga imepokea jumla ya shilingi milioni 403,772,750.00 kutoka serikali kuu kwa ajili ya kurejesha mawasiliano ya barabara zilizoharibiwa na mvua…