Latest Posts
Chalamila : Upotoshaji taarifa unaweza kuligharimu Taifa hasa nyakati zenye taharuki
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila amewataka wahariri na waandishi wa habari kufanya kazi yao bila upotoshaji wa taarifa hususani kwenye masuala yanayoweza kuleta taharuki kwenye jamii na kusisitiza kuwa Serikali Mkoani humo haikubaliani na matukio…
Polisi Songwe :Tumieni umoja wenu kujenga maendeleo, siyo kufanya vurugu
Na Issa Mwadangala Wasafirishaji wa abiria kwa pikipiki (bodaboda) kata ya Mwakakati Tarafa ya Tunduma Wilaya ya Momba Mkoani Songwe, wametakiwa kutumia umoja wao kama chachu ya kuleta maendeleo na ustawi katika jamii zao, badala ya kutumia nguvu vibaya kwa…
TPA kinara tuzo za NBAA kwa mashirika ya umma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeibuka mshindi wa kwanza wa tuzo ya umahiri katika uandaaji bora wa hesabu za fedha kwa kuzingatia viwango vya uandaaji hesabu vya kimataifa (IFRS) katika tuzo…
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma atangaza siku tatu za kuombea amani
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, amewataka wananchi na viongozi wa dini kuyaweka mbele maombi na kutimiza wajibu wao katika kulinda amani, hasa katika kipindi hiki ambacho kumekuwa na taarifa za uwezekano wa machafuko siku ya…
RC Kunenge asitisha matumizi ya maji mto Ruvu kwa kilimo
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mheshimiwa Abubakar Kunenge, ametoa wito kwa wakulima wanaotumia maji ya Mto Ruvu kwa shughuli za kilimo kusitisha matumizi hayo kwa muda hadi mvua zitakapoanza kunyesha kwa wingi. Wito huo umetolewa…
RPC Morcase- Tumekamata jumla ya makosa 74,446 ya usalama barabarani, faini bilioni 2.2
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani JESHI la Polisi mkoani Pwani, kupitia kitengo cha usalama barabarani, limekamata jumla ya makosa 74,446 ya usalama barabarani na kukusanya faini za papo kwa papo zenye thamani ya Sh. bilioni 2.233. Aidha, jeshi hilo, kupitia Kitengo…





