Latest Posts
Waziri Mkuu akutana na Balozi wa Japan nchini
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Balozi wa Japan nchini Tanzania Mhe. Yoichi Mikami na kujadiliana naye masuala ya uchumi, miradi ya maendeleo na uwekezaji. Akizungumza na Balozi huyo leo (Jumatano, Januari 14, 2026) ofisini kwake Mlimwa jijini Dodoma,…
Tanzania, Indonesia kuimarisha ushirikiano wa maendeleo katika kilimo na nishati
Na Joseph Mahumi na Saidina Msangi, WF, Dodoma Tanzania na Indonesia zimekubaliana kuendeleza zaidi ushirikiano wa kimaendeleo katika sekta mbalimbali za kiuchumi na kijamii ikiwemo kilimo na nishati kwa faida ya nchi hizo mbili. Hayo yamebainishwa jijini Dodoma, baada ya…
Dk Mwigulu : Kazi zinazoweza kufanywa na wazawa zisifanywe na wageni
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amezitaka wizara zinazohusika na masuala ya ajira zisimamie kikamilifu utekelezaji wa sheria zinazotaka kazi zinazoweza kufanywa na Watanzania zisifanywe na wageni isipokuwa zile zinazohitaji utaalamu ambao nchi inaupungufu. Vilevile, Waziri Mkuu amekemea tabia ya baadhi…
Waziri Kombo afanya mazungumzo na Balozi wa Burundi
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amefanya mazungumzo na Balozi wa Burundi, Mhe. Leontine Nzeyimana jijini Dodoma Januari 14, 2026. Viongozi hao walisisitiza umuhimu wa kufanya kazi kwa karibu kati ya Tanzania…
Serikali : Matumizi ya teknolojia za kidijitali katika elimu ni muhimu
Na Mwandishi Wetu, Dodoma SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia imesema matumizi ya teknolojia za kidijitali katika elimu ni muhimu kwa maendeleo ya Taifa na maandalizi ya rasilimali watu wenye ujuzi unaoendana na mabadiliko ya teknolojia na soko la…
Dk Nchimbi ateta na Balozi wa Japan nchini Tanzania
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Japan nchini Tanzania Mhe. Mikami Yoichi, mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma, leo tarehe 14 Januari 2025. Mazungumzo hayo yamelenga…





