JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TRA Ruvuma yapanda miti Hospitali ya Wilaya Songea kuelekea maadhimisho miaka 30

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia , Songea Kuelekea maadhimisho ya miaka 30 ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), yatakayofanyika tarehe 1 Julai 2026, TRA Mkoa wa Ruvuma imeendelea kuonyesha dhamira yake ya kushiriki katika shughuli za maendeleo ya jamii na utunzaji…

MD Twange afafanua chanzo cha hitilafu Gridi ya Umeme wa Taifa

* Aomba radhi kwa wateja wananchi na kuwahakikishia upatikanaji endelevu wa huduma ya umeme  * Asema uzalishaji wa umeme umefikia megawati 4400 na juhudi za kuimarisha Mfumo wa Gridi zinaendelea Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro…

Waziri Mkuu: Hatupaswi kupuuzia viashiria vya uvunjifu wa amani

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania waendelee kuhimizana kuhusu ulinzi wa Taifa na kamwe wasipuuze viashiria vya uvunjifu wa amani. “Tuendelee kuhimizana kuhusu suala la ulinzi wa Taifa letu. Ulinzi wa Taifa letu ni wa kila Mtanzania na amani…

Ushirikiano wa Tanzania, Urusi kufungua fursa mpya za biashara, elimu

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia Dodoma Ziara ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan nchini Urusi imeanza kuzaa matunda, huku Serikali ikieleza kuwa makubaliano yaliyofikiwa kati ya mataifa hayo mawili yatafungua ukurasa mpya wa ushirikiano katika sekta za nishati, kilimo, usafiri wa…

Msigwa awataka Watanzania kupuuza hofu ya kudaiwa deni la taifa

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imesisitiza kuwa mjadala kuhusu deni la Taifa unapaswa kuongozwa na uhalisia wa kiuchumi badala ya propaganda, ikieleza kuwa mikopo inayochukuliwa si mali ya mtu mmoja mmoja bali ni deni la Serikali linalowekezwa katika miradi…

Daraja la mawe la Kanyunye latoa suluhisho la kudumu

Newala, Mtwara ‎Kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa daraja la mawe la Kanyunye na ufunguaji wa barabara yenye urefu wa kilomita 2.6 katika kijiji cha Kanyunye, wilayani Newala kumeleta suluhisho la kudumu la usafiri na usafirishaji wa mazao hususani zao…