JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Idadi ya waliokufa katika mafuriko Indonesia yafikia 1000

Mafuriko makubwa na maporomoko ya ardhi yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 1,000 nchini Indonesia. Haya yamesemwa leo na maafisa wa uokoaji nchini humo. Shirika la Kitaifa la Kukabiliana na Maafa limesema maafa hayo, ambayo yamekumba kisiwa cha kaskazini-magharibi cha…

Rais Samia: Marehemu Jenista Mhagama alikuwa mlezi wa viongozi wengi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo ameongoza familia, viongozi, wabunge na waombolezaji katika ibada ya kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Mhe. Jenista Joakim Mhagama, iliyofanyika katika Kanisa la Mwenyeheri…

Tanzania, China waimarisha ushirikianio kielimu, ujenzi wa taasisi ya teknolojia

Na Mwandishi Wetu Mkutano wa ujenzi wa Chuo cha Teknolojia ya Uhandisi cha China na Tanzania ulifanyika kwa mafanikio makubwa mnamo Novemba 14 mwaka huu katika Chuo Kikuu cha Ardhi kilichopo Jijini Dar es Salaam. Katika mkutano huo uliudhuriwa na…

Serikali juboresha maendeleo ya raslimali watu kazini

Na Mwandishi Wetu,Jamhuri MediaDar es Salaam Serikali kupitia Wizara , Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora nahakikisha inaboresha Maendeleo ya Raslimali watu Nchini Kwa kuwekeza nguvu kuimarisha Elimu,kutoa Mfumo kazini na Usimamizi kwa Watumishi…

Waziri wa Ardhi awaasa wahitimu Arimo kujiepusha na matendo maovu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo amewaasa wahitimu wa Chuo cha Ardhi Morogoro (ARIMO) kujiepusha na matendo maovu na elimu na maarifa waliyopata yawe tunu na faida kwa Taifa….

Serikali itahakikisha miradi yote ya umwagiliaji inakamilika na kuleta tija kwa wakulima – Chongolo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo, ametembelea mradi wa Umwagiliaji uliopo wilayani Masasi mkoani Mtwara ikiwa moja ya muendelezo wa ziara kwa Taasisi za Wizara ya kilimo ambapo amewahakikishia wananchi kuwa Serikali itakikisha miradi yote ya…