Latest Posts
Tanzania miongoni mwa nchi zinazofanya vizuri katika matumizi ya TEHAMA
Na Francisco Peter, Dar es Salaam Tanzania ni miongoni nchi zinazofanya vema katika utekelezaji mifumo ya matumizi TEHAMA kwenye sekta ya afya. Tayari ipo mifumo kuanzia ngazi kata ambapo imeweza kukusanya taarifa ngazi za chini kwenda hadi kitaifa ambayo usaidia…
Watoto watatu wa familia moja wafariki kwa ajali ya moto Kibaha
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Watoto watatu wa familia moja, wamefariki dunia baada ya moto mkubwa kuteketeza sehemu ya juu ya nyumba ya ghorofa iliyopo mtaa wa Kitende kwa Mfipa, Kibaha, mkoani Pwani. Tukio hilo limetokea Oktoba 1, 2025 majira…
BOT, wadau kimataifa waipongeza Benki ya CRDB mageuzi ya mfumo nkuu
BOT, Wadau Kimataifa waipongeza Benki ya CRDB Mageuzi ya Mfumo Mkuu Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Emmanuel Tutuba, amepongeza mageuzi ya kihistoria yaliyofanywa na Benki ya CRDB katika mfumo wake mkuu…
Makonda: Samia amefanya makubwa
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Arusha Mgombea ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Paul Makonda (CCM),amesema kazi kubwa iliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan imeacha matokeo chanya. Makonda ametoa kauli hiyo alipopewa nafasi ya kusamilia wananchi wa mkoa wa Arusha…
Mgombea urais ACT-Wazalendo Othman Masoud aahidi neema kwa wavuvi Zanzibar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Mgombea Urais wa ACT Wazalendo, Othman Masoud, ameahidi kuimarisha sekta ya uvuvi Zanzibar endapo atachaguliwa kuwa Rais katika uchaguzi mkuu ujao. Akizungumza na wavuvi wa Shumba, Micheweni Pemba, Othman alisema Zanzibar imezungukwa na bahari yenye…
Dk Nchibi aingia Mtwara Vijijini kusaka kura za Samia
Mgombea Mwenza wa nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi leo Oktoba 02, 2025 anaendelea kusaka kura za Ushindi wa Kishindo za Dkt Samia Suluhu Hassan, Wabunge kwa kufanya mikutano ya hadhara ya Kampeni…