Latest Posts
Wasira atahadharisha kikundi cha chokochoko kwenye mitandao
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media- BUNDA MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, ametoa tahadhari kwa wananchi dhidi ya kikundi cha watu wachache wanaoleta chokochoko katika mitandao ya kijamii wanaotaka kuvuruga amani. Amesema kikundi hicho ni miongoni…
Kangi asema Rais Samia si nguvu ya soda
Mgombea ubunge wa Jimbo la Mwibara, Kangi Lugola amesema nguvu ya maendeleo inayofanwa na mgombea urais wa CCM, Rais Samia Suluhu Hassan si nguvu ya soda. Lugola ametoa kauli hiyo wakati akisalimia wananchi wa Jimbo la Bunda mkoani Mara wakati…
Vikosi vya kulinda amani vya Umoja wa Mataifa kupunguzwa
Umoja wa Mataifa utalazimika kupunguza vikosi vyake vya kulinda amani duniani kote kwa karibu asilimia 25. Umoja wa Mataifa utalazimika kupunguza vikosi vyake vya kulinda amani duniani kote kwa karibu asilimia 25 kutokana na ukosefu wa fedha, unaohusishwa zaidi na…
Uwekezaji wa Serikali wafikia Sh92.3 trilioni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Uwekezaji uliofanywa na serikali ndani na nje ya nchi umeongezeka kwa asilimia 7 hadi kufikia Sh92.29 trilioni Juni 30, 2025 kutoka Sh86.3 trilioni katika mwaka wa fedha 2023/24. Uwekezaji huu wa serikali unahusisha…
ACT Wazalendo kukomesha changamoto ya migogoro ya ardhi, yawaomba wananchi wakipe ridhaa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Chama cha ACT Wazalendo kimeahidi kukomesha changamoto ya migogoro ya ardhi endapo wananchi watakipa ridhaa ya kuongoza kwa kuchagua wabunge na madiwani wa chama hicho katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Akifafanua wakati wa…
ACT -Wazalendo Zanzibar yazindua ilani, yataja sera nne zitakazoinusuru Zanzibar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo ,Othman Masoud Othamn amezindua rasmi Ilani ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar kwa mwaka 2025 -2030 huku akihaidi kurejesha imani kwa Wazanzibar kwa kuweka mbele…