Latest Posts
Vijana 3,967 waomba uwezeshaji kupitia Go Green na IMBEJU ya CRDB Bank Foundation
Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam JUMLA ya vijana 3,967 kutoka maeneo mbalimbali nchini wamewasilisha maombi ya kupata uwezeshaji kupitia programu ya Go Green na IMBEJU inayotekelezwa na CRDB Bank Foundation, ikiwa ni ndani ya siku 30 tangu kufunguliwa…
Kamati ya TAMISEMI yaipongeza OWM – TAMISEMI utekelezaji mzuri miradi ya TACTIC Arusha
Na OWM – TAMISEMI, Arusha Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI, Mhe. Florent Kyombo ameipongeza Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mkoa na Serikali za Mitaa (OWM- TAMISEMI), kwa usimamizi mzuri wa utekelezaji wa miradi ya TACTIC…
Tanzania yaimarisha upatikanaji haki kwa wanawake, wasichana
Na WMJJWM – New York, Marekani Tanzania imeimarisha upatikanaji wa haki kwa wanawake na wasichana ili kufanikisha usawa wa kijinsia na maendeleo endelevu. Hayo yamesemwa na Jaji wa Mahakama ya Rufani Tanzania, Mhe. Barke Sehel wakati akifungua mjadala maalum ulioandaliwa…
EWURA, WRBWB na TFS wapanda miti 5,000 kuadhimisha Wiki ya Maji Duniani Morogoro
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Morogoro Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) leo imeongoza kampeni ya kupanda miti mkoani Morogoro ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Maji Duniani, inayofikia kilele chake kila mwaka tarehe 22…
Wananchi watahadharishwa kutumia vyombo vilivyoidhinishwa kubeba abiria
Na Mwishi Wetu, JamhiluriMedia, Dar es Salaam Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limewataarifu wananchi wanaotumia usafiri kwa njia ya maji kutumia vyombo vya usafiri majini vilivyoidhinishwa kubeba abiria na kuepuka kupanda vyombo vya mizigo ambavyo haviruhusiwi kubeba abiria….
Serikali Kuifanya Tanzania kitovu cha biashara – Dk Yonazi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge,Uratibu na Wenye Ulemavu Dkt. Jim Yonazi amesema Serikali imefanya juhudi mbalimbali za Kisera, Sheria na Kimkakati ili kuhakikisha Tanzania inakuwa kitovu cha biashara Afrika Mashariki…





