JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ndejembi ataka EWURA kukagua maghala ya mafuta kuhakikisha hakuna mafuta yanayofichwa

📌Asema nchi ina usalama mkubwa wa mafuta hivyo wananchi waendelee kupata huduma muda wote 📌Timu maalum kuundwa kufuatilia uingizaji wa mafuta nchini Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi ameitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kuhakikisha…

Wizara Maji na matumizi ya teknolojia katika utatuzi wa changamoto

Na Dk. Reubeni Lumbagala, JamhuriMedia, Tanga Wiki ya Maji Kitaifa nchini Tanzania na Siku ya Maji Duniani imemalizika Machi 22, 2026. Imekuwa ni wiki nzuri kwani mijadala mbalimbali yenye tija kuhusiana na sekta ya maji imefanyika kwa mafanikio makubwa. Kutokana…

Serikali inaboresha miundombinu ili mtoto apate haki yake ya elimu bora – Prof. Shemdoe

Na OWM – TAMISEMI, Lushoto Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI inaendelea kusimamia uboreshwaji wa miundombinu ya elimu nchini, ili kuhakikisha kila mtoto wa Kitanzania…

Tumerejesha mawasiliano daraja la Nguva -Sanga

• Akagua na kuipongeza Serikali kuchukua hatua za haraka • Daraja hilo sasa kukamilika Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigamboni Mbunge wa Jimbo la Kigamboni Mhe. 𝗛𝗮𝗿𝗮𝗻 𝗦𝗮𝗻𝗴𝗮 ameipongeza Serikali kwa hatua za haraka za kurejesha mawasiliano katika Daraja la Nguva…

Miaka 30 kwa kujaribu kumbaka kikongwe

Mahakama ya Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela James Hashimu Chingwaru (20), mkazi wa Kijiji cha Mtina, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kujaribu kumbaka bibi mwenye umri wa miaka 75. Adhabu hiyo imetolewa…

Nimezindua madarasa yatakayoondoa msongamano wa wanafunzi -Prof. Shemdoe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Bumbuli Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM -TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema kuwa amezindua madarasa matatu katika Shule ya Sekondari Kilivicha wilayani Bumbuli ambayo yataondoa changamoto…