Latest Posts
Mwenge waangaza miradi ya bilioni 30/-
Na Ruja Masewa, JamhuriMedia, Mbeya Mwenge wa Uhuru unepokelewa kwa shamrashamra kubwa mkoani hapa, huku ukiiangalia miradi ya shilingi Bilioni 30 za Kitanzania. Mwenge huo ulipokelewa leo Oktoba 13, 2025 katika Viwanja vya Hasanga, Uyole Mbeya, ukitokea Wilaya ya Rungwe,…
Tanzania yashiriki Kongamano la Afya Duniani jijini Berlin
Ujumbe wa Tanzania ukiongozwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Bw. Ismail Rumatila unashiriki Kongamano la Afya la Dunia linalofanyika kwa siku tatu jijini Berlin, Ujerumani kuanzia Oktoba 12 hadi 14, 2025. Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani. Mhe….
Shirima : Jamii ichukue tahadhari kabla ya majanga
Na Mwamvua Mwinyi, JakhuriMedia, Pwani Kwa lengo la kuielimisha jamii juu ya tahadhari dhidi ya majanga na namna ya kuyapunguza, Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoa wa Pwani limeungana na Shirika la Msalaba Mwekundu kuadhimisha Siku ya Kupunguza Majanga Duniani,…
DC Temeke Sixtus Mapunda afungua kongamano la miaka 25 ya Pass Trust
Na Mwandishi Wetu,Jamhuri lMedia,Dar es Salaam Mkuu wa Wilaya ya Temeke Sixtus Mapunda ameipongeza Serikali kwa Miaka minne ameongeza bajeti ya kilimo kwa viwango kikubwa hadi kufikia Tsh 1.2 Trilion licha ya Kuwepo kwa Changamoto kubwaa ya uzalishaji pamoja na…
Othman Masoud aahidi kupitiwa upya fidia za wananchi ujenzi uwanja wa ndege Pemba
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, ameahidi kuboresha na kuhakikisha haki za wananchi zinaheshimiwa katika utolewaji wa fidia kwa wale waliopoteza ardhi zao kwa ajili ya ujenzi wa uwanja wa ndege Pemba. Alizungumza hayo…