JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Miwili ya watu watatu yapatikana ikielea majini Salenda, Zimamoto yawaopoa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Miili miwili ya watu, mwanaume na mwanamke, imeokolewa katika matukio mawili tofauti jijini Dar es Salaam baada ya kupatikana ikiwa inaelea juu ya maji katika maeneo ya Salenda. Akizungumza na waandishi wa habari leo…

Halmashauri ya Jiji la Dodoma kukaa meza moja Soko la Rehema Nchimbi

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Halmashauri ya Jiji la Dodoma imewaomba Viongozi wa wafanyabiashara wa lililokuwa Soko la Rehema Nchimbi kukaa pamoja na uongozi wa jiji hilo ili kujadili rasimu ya mkataba wa upangaji wa eneo la Umonga. Hatua hiyo inayolenga kumaliza…

Kuelekea AFCON 2027 Wizara ya habari yaweka vipaumbele kuimarisha sekta

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imeweka wazi vipaumbele vyake kwa mwaka wa fedha 2026/27, vikilenga kuimarisha miundombinu ya sekta, kukamilisha maandalizi ya mashindano ya AFCON 2027 pamoja na kukuza Kiswahili kimataifa. Akiwasilisha bungeni makadirio…

Waziri Mkuu asisitiza ushirikiano wa kikanda kukabiliana na uhalifu wa kimataifa

▪︎ Asema mapambano dhidi ya uhalifu yanahitaji mshikamano wa kimataifa ▪︎ Aeleza teknolojia ni nyenzo muhimu katika kukabiliana na uhalifu wa kisasa WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema ushirikiano wa kikanda na kimataifa ni sharti la mafanikio katika mapambano dhidi…

Waandishi wa Habari 3,357 watambuliwq na JAB

SERIKALI imeanza kuvuna matokeo ya mageuzi ya kidijitali katika sekta ya habari baada ya Waandishi wa Habari 3,357 kuthibitishwa na kupatiwa ithibati ndani ya kipindi cha chini ya mwaka mmoja kupitia mfumo wa kisasa wa TAI HABARI. Mafanikio hayo ni…

RC Tabora apiga marufuku ombaomba

Na Allan Ntana, JamhuriMedia, Tabora SERIKALI Mkoani Tabora imesema kuwa omba omba walio wengi wakiwemo wale wanaosukumwa kwenye vibaiskeli wana uwezo wa kufanya kazi zinazoweza kuwaingizia kipato na sio kukaa au kujipitisha mitaani wakiomba. Akihutubia Watumishi wa Umma na wa…