Latest Posts
Kikwete, Mutharika wakutana Lilongwe kujadili amani na usuluhishi wa migogoro SADC
Rais Mstaafu Mhe. Dkt. Jakaya Kikwete, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jopo la Wazee la Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) (Panel of Elders, POE) akiwa katika picha ya pamoja na Profesa Arthur Peter Mutharika, Rais wa Malawi, ambaye…
Makamu wa Rais ashiriki mkutano wa Jumuiya ya Afrika, Karibian na Pasifiki – Malambo Guinea
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa 11 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Nchi za…
Mume amchinja mwanaye, amjeruhi mke naye ajinyonga
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Igunga MWANAUME mmoja mkazi wa Kijiji cha Imalanguzu, Kata ya Mwamakona, Tarafa ya Igurubi, Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora amemchinja mtoto wake mchanga aliyekuwa na umri wa miezi miwili na kumjeruhi mke wake. Akitoa taarifa kwa…
Iran: Uaminifu ni muhimu kumaliza mzozo na Marekani, Israel
Rais wa Iran Masoud Pezeshkian amezipongeza juhudi za Pakistan za usuluhishi kati ya nchi yake, Marekani na Israel. Licha ya pongezi hizo, amesema uaminifu unahitajika ili kuutatua mzozo huo. Ameyasema hayo katika mazungumzo yaliyofanyika kwa njia ya simu Jumamosi na…
Papa Leo atoa wito kwa watu wa Monaco kutenda mema
Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani Papa Leo XIV amewataka wakaazi wa taifa tajiri la Monaco kutumia utajiri wao, ushawishi na imani yao ya Kikatoliki kutenda yaliyo mema. Ameyasema hayo akiwa katika ziara ya siku moja nchini humo. Akizungumza baada…





