JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wahandisi watatu Bodi la ziwa Tanganyika Kigoma kizimbani kwa uhujumu uchumi

Kesi hiyo imefunguliwa katika Mahakama ya Wilaya Kigoma mbele ya Mhe. Anna Kuhungu Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Kigoma. Awali wakisoma Mashtaka ya kesi hiyo Na. ECC.9258/2026 dhidi ya washitakiwa Kulwa Ryoba James, Gaudens John Ndolo na…

Rais Samia akiteta na jambo la Waziri Mkuu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Waziri Mkuu Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi 2026), ambayo Kitaifa yamefanyika Mkoani Njombe, tarehe 01 Mei, 2026.

Kabigi awaasa watumishi Tume ya Madini kung’ara kwa weledi

▪️ Watakiwa kuongeza bidii na kudumisha mshikamano 📍 Dodoma Watumishi wa Tume ya Madini wameaswa kuzingatia weledi, uwajibikaji na mshikamano katika utekelezaji wa majukumu yao ili kuendeleza mafanikio ya Tume pamoja na kuongeza mchango wa sekta ya madini katika ukuaji…

Marekani yamwekea vikwazo Kabila

Marekani imemwekea vikwazo vikubwa Rais wa zamani wa Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Joseph Kabila, ikimtuhumu kuyaunga mkono makundi ya waasi ya M23 na AFC. Washington inadai Kabila alitoa msaada wa kifedha kwa AFC, alihamasisha wanajeshi kuasi kutoka jeshi la…

Iran yatuma onyo kali Washington kuhusu vita

Iran imeonya jana kuwa itajibu kwa mashambulizi makali na ya muda mrefu dhidi ya majeshi ya Marekani iwapo Washington itaanzisha tena mashambulizi. Tehran pia imesisitiza kuwa inaendelea kudhibiti Mlango-Bahari wa Hormuz, hali inayotia doa mipango ya Marekani ya kuunda muungano…

Tanzania, Japan kufungua milango mipya ya uwekezaji sekta ya nishati

Ushirikiano kati ya Tanzania na Japan katika sekta ya nishati unaingia hatua mpya, huku juhudi zikielekezwa zaidi katika kuvutia uwekezaji wa sekta binafsi na teknolojia za kisasa za uzalishaji umeme. Hatua hiyo imebainishwa jijini Dar es Salaam leo tarehe 30…