JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

FCC yasisitiza ushiriki wa wananchi kukabiliana na bidhaa bandia

Na. Mwandishi Wetu TUME ya Ushindani (FCC) imeendelea kutumia Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) kutoa elimu kwa wajasiriamali kutoka Chama cha Wanawake Wafanyabiashara Tanzania (TWCC) kuhusu namna ya kutambua bidhaa bandia, kulinda haki…

Waziri Nanauka akabidhi milioni 349/- kwa vijana Mbarali kupitia programu ya bilioni 200

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbarali Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Mhe. Joel Nanauka, amekabidhi mkopo wa Shilingi Milioni 349 kwa kikundi cha vijana cha Ukwavila kinachojishughulisha na shughuli za kilimo katika Halmashauri ya Wilaya ya…

IMF yaipatia Tanzania dola za Marekani milioni 444 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya kimkakati

Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), limeidhinisha kutolewa mara moja kwa takriban dola za Marekani milioni 443.9 kwa Tanzania baada ya kukamilisha tathmini za mwisho chini ya programu za Extended Credit Facility (ECF) inayohusisha…

Wananchi waridhishwa na huduma za Wizara ya Fedha Sabasaba

Na Eva Ngowi na Chedaiwe Msuya, WF Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA Prof. Siasa Mzenzi, ametembelea Banda la Wizara ya Fedha katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya…

DC Magoti aipongeza TET kwa maboresho ya mitaala

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mhe. Petro Magoti ameipongeza Taasisi ya Elimu Tanzania kwa namna ilivyofanya maboresho ya mitaala ya Elimu nchini yenye lengo la kumfanya muhitimu kuweza kujiajiri au kuajiriwa mara anapomaliza masomo yake. Mhe. Magoti ameyasema hayo leo…

Mawaziri wa EAPP waazimia kuharakisha soko la pamoja la umeme

Mawaziri wa Nishati kutoka nchi wanachama wa Soko la Pamoja la Nishati Mashariki mwa Afrika (Eastern Africa Power Pool – EAPP) wameazimia kuharakisha utekelezaji wa soko la pamoja la umeme ili kuimarisha upatikanaji wa nishati, kuongeza biashara ya umeme kati…