JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Polisi Kata ya Nawenge awapa wanafunzi mbinu za kuepuka ukatili

Polisi Kata Kata ya Nawenge, iliyopo Wilaya ya Ulanga Mkoani Morogoro, ametoa elimu kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nawenge na kuwapa mbinu kuhusu namna ya kuepukana ukatili na kuripoti vitendo vya ukatili. Akizungumza na wanafunzi hao, Staff Sajenti wa…

Watendaji wa uchaguzi watakiwa kusimamia uchaguzi kwa weledi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imetoa wito kwa watendaji wa uchaguzi kuhakikisha wanatumia muda wao kusoma Katiba, sheria za uchaguzi, kanuni na maelekezo ya Tume ili waweze kusimamia uchaguzi kwa weledi. Wito huo umetolewa…

Nkasi yapokea boti ya chanjo kuimarisha huduma mwambao ziwa Tanganyika

‎Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi, Afraha Hassan, kwa niaba ya wananchi wa wilaya hiyo, amepokea boti ya huduma za chanjo katika hafla iliyofanyika katika Halmashauri ya Kibiti, Mkoa wa Pwani.‎‎Akizungumza mara baada ya kupokea boti hiyo, Mkurugenzi…

Mtoto afariki kwa kusombwa na maji akivuka mto Rukwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Nkasi‎‎Mtoto mmoja aliyefahamika kwa jina la Jenifa Mafuru (8) mkazi wa Kijiji Cha Ipanda kata ya Nkomolo amefariki Dunia baada ya kusomwa na maji alipokuwa akivuka.‎‎Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na kamanda wa Polisi mkoa Rukwa…

Acheni Kutangaza Watu, Tangazeni Nchi – Makonda

Na Immaculate Makilika – MAELEZO Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Makonda amewataka wadau wa sekta ya habari kubadili ajenda ya kutangaza watu badala yake watangaze fursa za uchumi zilizopo nchini. Ametoa rai hiyo leo Aprili 30,…

Serikali kuimarisha upatikanaji haki kupitia Kampeni ya Msaada wa kisheria Dodoma

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Serikali imepanga kuanza awamu ya pili ya kampeni ya Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia itakayofanyika kuanzia Mei 1 hadi 15, 2026 katika Mkoa wa Dodoma, kwa lengo la kuwafikia wananchi wengi zaidi na…