Latest Posts
Kikao cha wadau wa kodi na TRA Dodoma chafana, wakubaliana kushirikiana kuleta mageuzi ya uchumi wa mkoa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Mkoa wa Dodoma imeendelea kujenga mazingira rafiki ya ushirikiano na wafanyabiashara baada ya kufanya mkutano muhimu na wadau wa kodi mnamo tarehe 26 Novemba 2025 katika Ofisi za TRA Mkoa…
Bashiru aagiza sekta ya mifugo kuongeza ubunifu, tafiti na thamani ya mazao
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa, ameiagiza sekta ya mifugo kuongeza ubunifu, kufanya tafiti zenye matokeo na kuimarisha mnyororo wa thamani wa mazao ya mifugo ili kuongeza ushindani kimataifa na tija…
Waziri Mavunde abainisha mikakati ya kuimarisha biashara ya Tanzanite nchini
Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, amesema Serikali imejipanga upya kuitangaza na kuiinua Tanzanite kimataifa kupitia mkakati wa kurejesha hadhi ya jiwe hilo adimu duniani. Akizungumza katika mkutano na wachimbaji wadogo na wafanyabiashara wa madini ya vito katika eneo tengefu…
Papa Leo XIV aonya kuhusu mizozo duniani
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Leo wa 14 amelalalamikia mizozo iliyotawaliwa na umwagaji damu inayoendelea duniani na kusema kuwa inahatarisha mustakabali wa ubinadamu. Papa Leo ameeleza kuwa dunia inayumba kutokana na tamaa na kuchagua mambo yanayodidimiza haki na amani. Ameyasema hayo…
Watu 90 wafariki kwa mafuriko Indonesia
Mafuriko makubwa na maporomoko ya ardhi yamesababisha vifo vya takriban watu 90 nchini Indonesia wiki hii huku mvua kubwa isiyo ya kawaida ikinyesha katika kisiwa cha Sumatra. Kanda za video zinaonyesha mafuriko yakivunja kingo za mito, wakaazi wakiingia kwenye maji…
Daraja la Nzali Chamwino kukamilika Desemba 30, 2025
Naibu Waziri wa Ujenzi Mhandisi Godfrey Kasekenya amemtaka mkandarasi CHICO anayejenga daraja la Nzali lenye urefu wa mita 60 na barabara unganishi km 1.5 wilayani Chamwino kukamilisha ujenzi huo mwishoni mwa mwezi ujao. Akizungumza wakati akikagua miradi ya barabara mkoani…





