Latest Posts
Kamati ya TAMISEMI yapitisha randama ya bajeti ya OWM – TAMISEMI na kuelekeza kuleta tabasamu kwa wananchi
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI imepitisha Randama ya Mpango na Bajeti ya Matumizi ya Kawaida na Mpango wa Maendeleo kwa Mwaka 2026/27 ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za…
Wanafunzi Shule ya Msingi Bunge wapatiwa elimu ya haki na wajibu wa mlaji
TUME ya Ushindani (FCC) leo Machi 19,2026 imetoa elimu kwa wanafunzi wa Shule ya Msingi Bunge kuhusu masuala ya kumlinda mlaji, ikiwemo haki na wajibu wa mlaji pamoja na madhara ya matumizi ya bidhaa bandia katika jamii. Elimu hiyo imelenga…
Kongole Wizara ya Maji kwa mafanikio ya programu ya WSDP
Na Dk. Reubeni Lumbagala Wizara ya Maji inatekeleza programu mbalimbali za kimaendeleo zenye lengo la kuboresha usambazaji wa maji kwa wananchi wake na kufanikisha miradi mingine ya umwagiliaji ambayo ni kichochea muhimu kwa ustawi wa shughuli za kiuchumi kama kilimo,…
Tanzania yatangaza fursa mpya za uwekezaji sekta ya afya kimataifa
Tanzania yatangaza fursa mpya za uwekezaji sekta ya afya kimataifa Na Mwandishi Wetu, London Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa, ametangaza kuwa Tanzania iko tayari kushirikiana na wawekezaji wa kimataifa katika kukuza Sekta ya Afya na Sayansi , akisisitiza kuwa…
NSSF yawanoa waajiri, yasisitiza uwasilishaji wa michango kwa wakati kidijitali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umewapa mafunzo waajiri 129 wa sekta binafsi, yakilenga kuwaongezea uelewa wa kina kuhusu utekelezaji sahihi wa sheria za hifadhi ya jamii na matumizi ya mifumo…
Manaibu Waziri Fedha, Viwanda na Biashara wakutana na wanachama wa CTI Dar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Arusha SERIKALI imeahidi kuwa katika bajeti ya mwaka huu itazifanyia kazi changamoto za kikodi zinazolalamikiwa na wafanyabiashara na wenye viwanda kama mkakati wa kuendelea kuvutia uwekezaji wa ndani na kutoka nje ya nchi. Ahadi hiyo ilitolewa…





