Latest Posts
Dk Kijaji aipa tano bodi ya TAWA
Na Sixmund Begashe, JamhuriMedia, Arusha Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), imepongezwa kwa ubunifu wake katika utekelezaji wa majukumu yake yaliyosababisha mafanikio katika uhifadhi na Utalii nchini. Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Ashatu…
EWURA yatoa mafunzo ya kudhibiti malalamiko kwa watendaji wa Njombe
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, leo Januari 8,2026 ilitoa elimu kwa watendaji wa Serikali za Mitaa mkoani Njombe kuhusu utaratibu wa kushughulikia malalamiko na…
Naibu Waziri Millya akutana na Uongozi wa Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki Mhe. James Kinyasi Millya (Mb), amekutana na Amiri na Mbashiri Mkuu wa Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania, Shekh Khawaja Muzaffar Ahmad, aliyetembelea Ofisi…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Watu wa China Kuzuru Tanzania
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Watu wa China, ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati ya Kisiasa ya Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China, Mhe. Wang Yi, anatarajiwa kufanya ziara rasmi nchini Tanzania tarehe 9 na…




