JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dk Kijaji awasili Zimbabwe kushiriki mkutano wa kikanda wa utalii

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb), leo Aprili 28, 2026 amewasili nchini Zimbabwe kushiriki Mkutano wa Pili wa Kikanda wa Shirika la Utalii Duniani, Mara baada ya kuwasili, Dkt. Kijaji amepokelewa na Balozi wa Tanzania nchini…

Tanzania, Belarus waazimia kupanua wigo wa ushirikiano wa kimaendeleo

Tanzania na Belarus zimekubaliana kupanua wigo wa ushirikiano wa kidiplomasia, kiuchumi na kiteknolojia katika sekta mbalimbali za maendeleo zenye maslahi ya pamoja. Makubaliano hayo yamefikiwa wakati wa mkutano kati ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,…

Bodi ya REA yaridhishwa na kasi ya miradi ya umeme mwambao wa ziwa Nyasa

📌 Yapongeza REA na SUMA JKT kwa utekelezaji thabiti 📌 Bilioni 3.2 kukamilisha miradi Ludewa Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ludewa Bodi ya Nishati Vijijini (REB) imeeleza kuridhishwa na kasi na ubora wa utekelezaji wa miradi ya usambazaji umeme katika maeneo…

Zao la choroko laleta neema kwa wakulima Tabora

   Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora CHAMA Kikuu cha Ushirika wa Wakulima (IGEMBEMBENSABO) kimeeleza kufurahishwa na mafanikio makubwa waliyopata wakulima wa zao la choroko na mazao mengine katika msimu uliopita na matarajio yao makubwa msimu huu. Meneja Mkuu wa Chama hicho…

Mtanzania Lilian Kafiti ang’ara Afrika Mashariki, ateuliwa kuongoza mapambano ya Rushwa Kikanda

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kampala Katika hatua inayoashiria kuimarika kwa nafasi ya Tanzania katika vita dhidi ya rushwa barani Afrika, Mtanzania Bi.Lilian William Kafiti amechaguliwa kuwa Katibu Mtendaji wa Umoja wa Mamlaka za Kupambana Rushwa za Afrika Mashariki,(EAAACA) taasisi ambacho…

Nyamka : Viongozi ngazi ya chini watakiwa kuwafikia na kuwahudumia wananchi

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kibaha Mjini, Mwalimu Mwajuma Nyamka, ametoa wito kwa viongozi wa Serikali za Mitaa na chama ngazi ya chini kuwafikia wananchi, kuwahudumia pamoja na kuwapa taarifa kuhusu mipango ya serikali…