Latest Posts
Kikwete steps in: AU envoy pushes for lasting peace in South Sudan
In a significant diplomatic push to revive momentum in South Sudan’s peace process, former Tanzanian President Jakaya Mrisho Kikwete has wrapped up a two-day high-level mission to Juba, engaging key political and international actors in efforts to stabilize the country….
Tanzania yaingiza vipengele 41 tuzo za utalii Duniani
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es SAalaam TANZANIA imeendelea kung’ara katika anga la kimataifa baada ya kuingiza vipengele 41 katika Tuzo za Utalii na Usafirishaji Duniani (World Travel Awards), hatua inayoimarisha nafasi yake kama moja ya vinara wa utalii barani…
Tanzania yaongeza kasi mageuzi makazi holela
Na Munir Shemweta, WANMM Nairobi Serikali ya Tanzania imeendelea kusisitiza dhamira yake ya kuboresha makazi holela na kuyageuza kuwa maeneo rasmi, salama na yenye huduma bora, ikiwa ni sehemu ya kukabiliana na kasi kubwa ya ukuaji wa miji nchini. Hayo…
Wananchi 1,300 wanufaika na huduma za RITA kupitia ziara ya mwenyekiti CCM Kibaha Mjini
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Jumla ya wananchi 1,300 kutoka kata za Mbwawa na Visiga wamejitokeza na kunufaika na huduma zinazotolewa na Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), hususan upatikanaji wa vyeti vya kuzaliwa, ndani ya siku tatu za…
Tanzania, Mauritius kuendelea kuimarisha ushirikiano wa kimkakati
Tanzania na Mauritius zimekubaliana kuendelea kuimarisha ushirikiano wa kimkakati kwa lengo la kukuza biashara, uchumi wa buluu na maendeleo ya pamoja. Hayo yamejitokeza wakati wa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania, Balozi Mahmoud Thabit…





