JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ulega apokea taarifa ya washindi shindano la kupunguza foleni mijini

📌 Zaidi ya maandiko 500 kutoka ndani na nje ya nchi yapokelewa  Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amepokea taarifa ya washindi wa shindano la *Ubunifu kwa Wanafunzi Challenge* linalohusu namna ya kupunguza tatizo la msongamano wa magari mijini. Taarifa hiyo…

Salome atembelea ubalozi wa Tanzania nchini Misri

Naibu Waziri wa Nishati,Mhe. Salome Makamba ametembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Misri, ambapo alipokelewa na Balozi wa Tanzania nchini humo, Richard Makanzo. Katika mazungumzo yao, Balozi Makanzo alieleza majukumu mbalimbali yanayotekelezwa na ubalozi huo, pamoja na kuainisha fursa zilizopo katika…

PPP yaongeza thamani ya miradi hadi trilioni 8.5, wito watolewa kufanyia maboresho sheria ya utumishi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP Centre) kimesema mafanikio ya utekelezaji wa ajenda ya ubia nchini yameongeza kwa kiasi kikubwa thamani ya miradi ya maendeleo, huku kikitoa wito…

EACOP yaweka rekodi ya saa milioni 6 bila ajali kazini

Na Mwandishi Wetu, Tanga Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) umeendelea kuonesha dhamira yake ya dhati katika kulinda maisha ya wafanyakazi, baada ya kufikia zaidi ya saa milioni sita za kazi bila kurekodi ajali yoyote kazini….

Dkt Muyungi ashiriki Mkutano Agenda ya Maendeleo Endelevu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inashiriki Mkutano wa 12 wa Kikanda wa Afrika kuhusu ‘Agenda 2030 ya Maendeleo Endelevu’ na ‘Agenda 2063 ya Afrika Tuitakayo’, uliofunguliwa Aprili 28, 2026 jijini Addis Ababa, Ethiopia.  Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais…

Wahitimu Matogoro wahimizwa kuimarisha elimu ya sayansi kwa ajili ya Tanzania ya viwanda

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songea Wahitimu wa Chuo cha Ualimu Songea kilichopo Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma wametakiwa kuongeza juhudi katika kujifunza na kufundisha masomo ya sayansi ili kusaidia azma ya Tanzania ya kuwa nchi ya viwanda. Akizungumza katika mahafali…