Latest Posts
Serikali yaendelea kudhibiti kipindupindu, mafunzo yatolewa kwa wataalam
Na Atley Kuni, WAF-Morogoro Serikali imeendelea na jitihada za kuimarisha afya ya jamii na kukabiliana na milipuko ya ugonjwa wa kuambukiza wa kipindupindu kwa kuendesha mafunzo maalum yanayolenga kuongeza utayari na uwezo wa kukabiliana na ugonjwa huo kwa ngazi ya…
Bunge lapitisha bil. 174.9/- kwa Wizara ya Madini
●Yalenga kuchangia trilioni 1.4/- za maduhuli ●Makusanyo yafikia Trilioni 1 na Milioni 156 ●Jumla ya tani 23.8 za dhahabu zakusaywa ndani ya miezi 18 ●Ni Juhudi za Rais.Dkt.Samia Suluhu Hassan Dodoma Bunge la Jamhuru ya Muungano wa Tanzania, limeridhia na…
NSSF yafikia trilioni 11.2, Waziri Sangu abainisha Hifadhi Skimu inavyoenda kubadili maisha ya Watanzania
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dodoma Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeendelea kuimarika kwa kasi, ukifikia thamani ya shilingi trilioni 11.2 hadi Machi 2026 kutoka trilioni 4.3 mwaka 2020, hatua inayoakisi ukuaji wa uwekezaji, uimara wa usimamizi na kuongezeka…
Murilo : Hali ya usalama ni shwari
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam Jumanne Murilo amesema kwa sasa hali ya kiusalama ni shwali kutokana na jitihada za jeshi hilo Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake leo Aprili…





