Latest Posts
Rais Mwinyi aagiza kuendeleza amani kwa maendeleo ya nchi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewahimiza wananchi kuendeleza utaratibu wa kuiombea nchi amani ili kuhakikisha utekelezaji wa mipango ya maendeleo unafanikiwa kwa ufanisi. Akizungumza na waumini wa dini ya Kiislamu katika…
Serikali yatoa milioni 403/- kurejesha mawasiliano Mbinga
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ruvuma Katika mwaka wa fedha 2024/2025, Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Wilaya ya Mbinga imepokea jumla ya shilingi milioni 403,772,750.00 kutoka serikali kuu kwa ajili ya kurejesha mawasiliano ya barabara zilizoharibiwa na mvua…
Ujenzi soko la majengo kukamilika Desemba mwaka huu – RC Senyamule
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule, amewataka wakandarasi wanaotekeleza miradi ya maendeleo Jijini Dodoma kupitia Mradi wa Uendelezaji Miji Tanzania (TACTIC) kuhakikisha wanakamilisha kazi kwa wakati, ili kufikia malengo ya Serikali katika kuboresha mazingira ya…
RC Makala asisitiza kulinda amani mpaka wa Namanga
*Ataka biashara zifanyike kwa amani na kulinda ujirani mwema kati ya Tanzania na Kenya Mkuu wa Mkoa wa Arusha CPA Amos Gabriel Makalla amesisitiza umuhimu wa wananchi wanaoishi na kufanya shughuli zao Mpakani mwa Tanzania na Kenya kupitia kwenye Lango…
Mawakili wa Serikali wampongeza Mwanasheria Mkuu Johari
Na Mwandishi wetu Chama cha Mawakili wa Serikali kinatoa pongezi za dhati kwa Hamza Saidi Johari kwa kuteuliwa tena kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Uteuzi huu unaakisi ubobezi na uadilifu wake katika taaluma ya sheria, sambamba na matakwa ya Ibara…




