Latest Posts
Tanzania yakabidhi msaada wa chakula kwa nchi ya Msumbiji
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekabidhi msaada wa tani 500 za mahindi kwa Serikali ya Jamhuri ya Msumbiji kufuatia mafuriko yaliyoikumba nchi hiyo kutokana na mvua kubwa zilizonyesha Msaada huo umekabidhiwa Machi 24, 2026 na Waziri wa Mambo…
Sayansi na teknolojia kupewa kipaumbele ushirikiano UDSM na Chuo kikuu cha Vienna
Na Mwandishi Wetu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesisitiza kuimarishwa kwa ushirikiano kati ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Chuo Kikuu cha Vienna katika nyanja za sayansi na teknolojia, ikiwemo nishati ya jua, ili kuzalisha wataalamu wenye…
Mgodi wa kihistoria wa Niobium kujengwa Mbeya
Na Mwandishi wa OMH, Mbeya Tanzania imepiga hatua muhimu katika kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na Marekani baada ya Serikali na Panda Hill Tanzania Limited kusaini makubaliano ya kuendeleza Mradi wa Niobium wa Panda Hill—hatua inayolenga kuifanya Mbeya kuwa kitovu cha…
Kongole NECTA kwa mpango kupanda miti 150,000 kutunza mazingira
Na Dk. Reubeni Lumbagala, JamhiriMedia, Dodoma Utunzaji wa mazingira ni jukumu letu sote. Uwe mtoto, kijana, mtu mzima au mzee. Uwe mwanamke au mwanamme, uwe msomi au usiwe msomi, suala la utunzaji mazingira linakuhusu. Faida za utunzaji mazingira zinatunufaisha sote….
Mrajis aagiza matumizi ya mizani za kidigitali kulinda wakulima
Mrajis wa Vyama vya Ushirika, Dkt. Benson Ndiege amevitaka Vyama vya Ushirika vya Mazao nchini kutumia mizani za kidigitali katika kupima mazao ya wakulima ili kuondoa udanganyifu na kumlinda mkulima. Mrajis ametoa maelekezo hayo kupitia barua ya tarehe 13 Machi,…





