Latest Posts
UN: Mgogoro mashariki mwa DRC unaongezeka
Kaimu Mkuu wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ameliambia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuwa mgogoro katika eneo lenye utajiri wa madini mashariki mwa Kongo, unazidi kuongezeka. Vivian van de Perre amesema…
Trump aongeza muda kusitisha mashambulizi kwa siku 10
Rais Donald Trump wa Marekani amesema Iran ilimwomba asitishe mashambulizi kwa siku saba kwenye biwanda vya nishati, lakini ameipa siku kumi, na Tehran “ikamshukuru sana” kwa hatua hiyo. Awali, Trump alitangaza kwenye mtandao wa Truth Social kwamba ataongeza muda wa…
Serikali yahimiza matumizi ya vyakula vya asili
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Afya imewahimiza Watanzania kurejea katika matumizi ya vyakula vya asili kama sehemu muhimu ya kujenga afya bora, kuzuia magonjwa, na kusaidia matibabu kwa njia salama na endelevu. Akizungumza jijini Dodoma katika…
Wasira : Chama kitaendelea kusimama imara na kuleta maendeleo
Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema Chama kitaendelea kusimama imara kuwaletea maendeleo Watanzania kwa kuwa ndilo jukumu lake la msingi. Aidha, amewataka wana CCM kutambua kuwa uchaguzi una gharama na moja…
Wanafunzi sekondari Mnazi Mmoja washauriwa kuwa mabalozi wa haki za mlaji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam TUME ya Ushindani (FCC) leo Machi 26, 2026 imetoa elimu kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mnazi Mmoja iliyopo jijini Dar es Salaam kuhusu kumlinda mlaji, ikiwemo haki na wajibu wa mlaji pamoja…
PDPC kuchukua hatua kali kwa taasisi zinazokusanya taarifa binafsi zisizosajiliwa
Zimesalia siku chache kabla ya kufikiwa kwa ukomo wa usajili wa hiari kwa taasisi zinazokusanya na kuchakata taarifa binafsi nchini. Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imetangaza kuwa ifikapo tarehe 9 Aprili mwaka huu, itaanza kuchukua hatua kali za…





