JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dk Biteko alitaka Shirika la Maendeleo ya Petroli kuongeza kasi ya uendelezaji vitalu vya mafuta na gesi asilia

📌 Azindua Mkakati wa Kwanza wa Muda mrefu wa Shirika (2025-2050) 📌 Asisitiza Jamii zinazozunguka miradi ya Mafuta na Gesi Asilia kutopuuzwa 📌 Apongeza Bodi na Menejimenti ya TPDC kwa kuipambanua Tanzania kama kitovu cha Mafuta na Gesi Asilia 📌…

Tume ya TEHAMA, Soft-Tech zasaini ushirikiano kuinua sekta ya TEHAMA

Dk. Mwasaga apongeza mchango wa sekta binafsi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam TUME ya TEHAMA nchini (ICTC) imesaini makubaliano ya kuanzishwa rasmi kwa ushirikiano na kampuni ya Soft-Tech Consultant Ltd kwa lengo la kuimarisha sekta ya TEHAMA na…

Halmashauri zisizo na stendi za kisasa zapewa maelekezo

Wakurugenzi wote nchini ambao halmashauri zao zinahitaji kujenga stendi za kisasa wanatakiwa kutenga na kuainisha maeneo ya kujenga stendi hizo na kuanza kutenga fedha za mapato ya ndani kwa ajili ya kuanza ujenzi wa stendi hizo. Naibu Waziri-Ofisi ya Rais-Tamisemi,…

Ushiriki wanamichezo kutoa TRA unalenga kusambaza ujumbe wa kulipa kodi

Mkurugenzi wa Elimu kwa Mlipakodi na Mawasiliano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Richard Kayombo amesema kuwa ushiriki wa wanamichezo kutoka TRA katika michezo ya aina mbalimbali katika michezo ya Mei Mosi unalenga kusambaza ujumbe wa ulipaji kodi pamoja…

NMB yatambuliwa kwa ubora kwenye tuzo za OSHA 2025

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Benki ya NMB imetunukiwa tuzo tano muhimu kutoka Wakala wa Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA) katika Maadhimisho ya Kimataifa ya Usalama na Afya Mahala pa Kazi kwa mwaka 2025, hatua inayodhihirisha juhudi za…

Wakili Mwanaisha Mndeme ajitosa kuwania ubunge Kigamboni

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakili na Waziri Kivuli wa Viwanda na Biashara wa Chama cha ACT -Wazalendo, Mwanaisha Mndeme, amejitosa kugombea Ubunge katika Jimbo la Kigamboni. Akizungumza na Waandishi wa Habari mara baada ya kuchukua fomu ya…