JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TBS yajivunia mafanikio makubwa yaliyopatikana ndani ya Serikali Awamu ya Sita

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limesema linajivunia mafanikio makubwa yaliyopatikana katika kipindi cha Serikali ya Awamu ya Sita, likitaja mafanikio hayo kuwa ni pamoja na usogezeaji wa huduma kwa wananchi, uboreshaji wa maabara,…

Ubia Serikali, sekta binafsi nguzo kuu ya Dira 2050

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Wadau wa maendeleo, wasomi na wataalamu kutoka sekta binafsi na uma wamesema Tanzania imepiga hatua kupitia Dira 2025 licha ya changamoto za kiuchumi za kimataifa huku wakitaja kuwa kilimo bado ni sekta dhaifu kutokana na…

Zitto awafuata wafanyabiashara na kuomba kura

Mgombea Ubunge jimbo la Kigoma mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Zitto Kabwe akiomba kura kwa wafanyabiashara katika soko la mitumba la Mwanga jimboni hapo, mkoani Kigoma, Septemba 18, 2025. Zitto aliambatana na viongozi na wanachama wa chama hicho walipokuwa…

Samia: Dk Mwinyi ndiye mgombea sahihi nitakayeshirikiana naye

Na Kulwa Karedia,Jamhuri Media-Zanzibar Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amesema mgombea urais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi ndiye mgombea sahihi atakayeshirikiana naye kuleta maendeleo. Amesema ushirikiano huo…

Wasira : Endeleeni kuiamini CCM na kuipa nafasi ya kuongoza na kuleta maendeleo

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema Chama kinafanya kazi kubwa ya kuleta mabadiliko ili kuwaletea maendeleo wananchi. Aidha, amesisitiza wananchi wandelee kukiamini na kukipa nafasi Chama kiendelee kudumisha amani kwa kuwa maendeleo hayatapatikana iwapo…

Sadifa asema Samia, Mwinyi wanastahili kuendelea kuongoza

Na Kulwa Karedia , Jamhuri Media,Unguja Mwenyekiti mstaafu wa Jumuiya ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) na mgombea ubunge Jimbo la Donge, Sadifa Juma Khamis, amesema wagombea urais wa Chama Cha Mapinduzi,(CCM) Samia Suluhu Hassan na Dk Hussein Mwinyi…