Latest Posts
Serikali kuanzisha jukwaa la kidigitali kwa vijana
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wizara ya Maendeleo ya Vijana imeazimia kuanzisha jukwaa la kidijitali la huduma jumuishi (youth digital one stop platform) ili kuwezesha upatikanaji wa taarifa za ajira, mafunzo, fursa za mikopo, masoko, na huduma nyingine…
Serikali yasisitiza usalama ,mapato mpakani Mutukula
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,George Simbachawene amehimiza ushirikiano kati ya watumishi wa serikali waliopo katika Kituo cha Forodha cha Pamoja cha Mutukula kilichopo wilayani Misenyi mkoani Kagera ambapo ni mpaka kati ya nchi…
Uongozi wa APRM wakutana na viongozi wa vyuo vikuu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Dar es Salaam Katibu Mtendaji wa Mpango wa Hiari wa Nchi za Umoja wa Afrika wa Kujitathmini kwa Vigezo vya Utawala Bora (APRM) Tanzania, Lamau Mpolo, amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa wanafunzi kutoka vyuo…
𝗠𝗸𝘂𝘁𝗮𝗻𝗼 𝘄𝗮 𝗱𝗵𝗮𝗿𝘂𝗿𝗮 𝘄𝗮 𝗠𝗮𝘄𝗮𝘇𝗶𝗿𝗶 𝗜𝗖𝗚𝗟𝗥 – 𝗣𝗦𝗖 𝗙𝗿𝗮𝗺𝗲𝘄𝗼𝗿𝗸 𝘄𝗮𝗵𝗶𝗺𝗶𝘇𝗮 𝗷𝗶𝘁𝗶𝗵𝗮𝗱𝗮 𝘇𝗮 𝗽𝗮𝗺𝗼𝗷𝗮 𝘇𝗮 𝗻𝗰𝗵𝗶 𝘇𝗮 𝗔𝗳𝗿𝗶𝗸𝗮
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Maghembe ameiwakilisha Tanzania katika Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi Jumuiya za Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR) na Nchi Wanachama wa…
Katambi aagiza kulindwa ushindani wa haki, akemea ukiritimba wa bei
Na MwandishibWetu, JajhuriMedia, Darc3s Salaam Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Patrobas Katambi (Mb), ameliagiza Baraza la Ushindani (FCT) kuendelea kusimamia na kulinda ushindani wa haki ili kuondoa vitendo vya ukiritimba, hususan katika suala la kupandisha bei za bidhaa na…
Kids Holiday Festival yawavuta mamia ya watoto, CRDB yatumia jukwaa kujenga uelewa wa fedha
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BURUDANI na michezo mbalimbali vilitawala Tamasha la Kids Holiday Festival lililowakusanya mamia ya watoto wakati wa likizo, huku likiwa jukwaa muhimu la kuwajengea watoto uelewa wa masuala ya fedha, uchumi na ujasiriamali tangu…





