Archives for JAMHURI YA WAUNGWANA
Tujipendekeze kwa kiasi
Awali ya yote niwaombe radhi wapendwa wasomaji kwa kuwatupa mkono kwa kipindi kirefu sasa. Kwa siku za karibuni nimekuwa na dhima nyingi, kiasi cha kujikuta nikishindwa kutimiza yote niliyokusudia kwa wakati mmoja. Itoshe tu kuwashukuru mno kwa kuendelea kwenu kuwa…
Miaka minne kazi bado kubwa
Tarehe ya leo miaka minne iliyopita, Dk. John Magufuli, aliapishwa kuwa Rais wa tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kuapishwa kwake kulimpa muda wa kuandaa dira yenye kuonyesha mwelekeo wa aina ya serikali anayokusudia kuiunda kwa ajili ya kutekeleza…
Polisi acheni wapinzani wapumue
Kila mara niwazapo hatima ya umoja na mshikamano wetu huwa ninapekua na kusoma kijitabu kidogo, lakini kilichoshiba maneno ya busara sana kinachoitwa ‘Tujisahihishe’. Kiliandikwa na Mwalimu Julius Nyerere, mwaka 1962. Ni bahati tu kuwa sina mamlaka ya kuamuru, vinginevyo ningeamuru…
Siku nilipoitwa ofisini kwa Mwalimu…
Mwalimu anaumwa? Ni swali linalotuumiza. Hatuamini. Walio karibu wanazo taarifa, lakini wanatakiwa wawe watulivu maana kusambaza taarifa za ugonjwa wa Mwalimu kungeweza kuibua taharuki kwa maelfu na kwa mamilioni ya Watanzania waliompenda. Mwalimu ametoka Butiama Septemba 23, 1999. Amewasili Msasani…
Tusiache viwanja vya Jangwani vitoweke
Uwanja wa Jangwani jijini Dar es Salaam umebeba historia muhimu katika taifa letu. Mikutano kadhaa kipindi kile cha harakati za kudai Uhuru ilifanyika hapo. Jangwani imeendelea kujizoea umaarufu hata baada ya Uhuru. Mikutano mingi mikubwa imeendeshwa Jangwani. Mikutano ya kisiasa…
Kwa mfumo huu Rais ataendelea ‘kulia’
Baada ya panguapangua mkoani Morogoro iliyogusa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mkuu wa Wilaya ya Malinyi na Mkurugenzi wa Maendeleo (DED) wa Wilaya ya Malinyi, nikakumbuka makala niliyoiandika takriban miaka miwili iliyopita. Kwenye makala hiyo nilisema Charles Keenja aliongoza vizuri…