Serikali, mashirika yasiyo ya kiserikali mambo mazuri

Na WMJJWM, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imesema inaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali ‘NGOs’ ili kutekeleza majukumu yake na mchango wake kwa jamii. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima wakati akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dodoma Septemba 27, 2023 kuelekea Jukwaa la…

Read More

Waitaka Serikali kurejea makubaliano ya hatimiliki ya somo la dini ya kiislamu

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia Jumuiya na Taasisi za Kislaam Tanzania Islamic Education Panel, imetaka Serikali kuepuka hujuma na uvunjifu wa katiba unaofanywa na baadhi ya watendaji wake wachache katika suala la mitaala. Akizungumza na wanahabari Amir Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania alhajj Musa Kundecha, amesma Serikali ina nia nzuri kabisa lakini watendaji wake wachache…

Read More

Chalamila akutana na wadau wa mazingira na kuweka mikakati ya kukabiliana na mvua za El Nino

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Septemba 26,2023 amekutana na wakandarasi wanaosafisha mito katika maeneo mbalimbali ya Mkoa huo, Wenyeviti wa mitaa, wasafishaji wadogo wa mito na wachimbaji wa madini mchanga, wataalam wa bonde na Kikosi kazi kinachoratibu usafi wa mito na utunzaji wa mazingira ndani ya…

Read More

Zaidi ya mbwa, paka 4000 kuchanjwa Kibaha

Na Byarugaba Innocent, JamhuriMedia, Kibaha Mbwa na Paka 4400 wanatarajiwa kuchanjwa dhidi ya ugonjwa wa kichaa cha Mbwa kwenye Halmashauri ya Mji Kibaha kuanzia Septemba 28,2023 ambapo hafla ya uzinduzi wa maadhimisho itafanyikia kwenye Ofisi ya Serikali ya Mtaa wa Kongowe kuanzia Majira ya saa mbili asubuhi. Aidha,zoezi la uchanjaji litazinduliwa rasmi na Mkuu Mkuu…

Read More