
Rais Dk Samia kukabidhi dawa na vifaa tiba vya sh.bil. 1.7 Mvomero,
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mvomero Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amefunga kazi Mvomero kwa Serikali kukabidhi dawa na vifaa tiba vya zaidi ya sh. bilioni 1.61. Hayo yamesemwa jana na Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Judithi Nguli wakati Bohari ya Dawa (MSD), ilipokabidhi dawa na vifaa tiba vya zaidi ya sh. bilioni 1.61 kwa vituo vya…