JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Why Tanga makes more strategic sense than Mombasa for East Africa’s planned mega oil refinery

By Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam The sudden narrative suggesting that Nigerian billionaire Aliko Dangote has shifted interest from Tanzania’s Tanga to Kenya’s Mombasa deserves careful scrutiny. A closer look at infrastructure realities, regional logistics, electricity capacity, land availability,…

Serikali yadhamiria kuibadili sura ya Sinza

Na Pendo Nguka, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012 sinza ilikuwa na wakazi 40,546 lakini idadi hiyo ilipungua hadi kufikia 31,396 mwaka 2022. Licha ya kupungua kwa idadi ya wakazi bado…

CCM na changamoto ya vyama vingi

Chama cha Mapinduzi (CCM) kiliasisiwa mwaka 1977 ikiwa ni munganiko wa falsafa na misingi ya ASP na TANU. Msingi mkuu wa CCM ni ujamaa nakujitegemea nakama ulivyo wekewa msisitizo katika AZIMIO LA ARUSHA 1967. Na utu,udugu na usawa Dhumuni na…

Watu 85 wakamatwa kwa uzushi wa kuibiwa nyeti, watatu waenda jela miezi sita

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linatoa wito kwa baadhi ya watu wanaozua taharuki na kutoa taarifa za uzushi zinazosababisha vitendo vya uvunjifu wa amani kuhusiana na kuibiwa kwa nyeti zao mara baada ya kushikwa…

Doris Mollel umestahili tuzo ya WHO, umeokoa maisha ya wengi

Na Dk. Reubeni Lumbagala, JamhuriMedia, Dar es Salaam Nakumbuka mwalimu wangu wa somo la Uraia (Civics) alipokuwa akitufundisha mada (topic) ya “Haki za “Binadamu” (Human Rights) tulipokuwa Kidato cha Kwanza, alituambia mengi kuhusu haki za binadamu.  Miongoni mwa mikazo yake,…

TB yatibiwa ndani ya miezi sita

*Dar es Salaam yaongoza kitaifa kwa maambukizi,*Ujazo abiria kwenye daladala, msongamano wa makazi wachangia Na Kulwa Karedia, JahuriMedia, Dar es Salaam KWA miaka kadhaa iliyopita, ugonjwa wa kifua kikuu (TB), ulikuwa unatibika kwa mwaka mzima, sasa mambo yamebadilika ambapo mgonjwa…