RC mpy Shinyanga ataka elimu itolewe kwa wananchi kuacha kucheza kamali
Na Suzy Butondo, JamhuriMedia, Shinyanga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Annamlingi Macha amewataka viongozi na wataalamu kutoa elimu kwa wananchi wa Mkoa wa Shinyanga kuacha kucheza kamali na kushinda kwenye kahawa, badala yake wathamini muda kwa kufanya kazi kwa bidii, kwani maisha ni muda. Rai hiyo ameitoa leo kwenye hafla ya makabidhiano ya mkuu wa…