Waziri Majaliwa : Serikali inatoa huduma bure waathirika wa maporomoko Hanang

Na Paschal Dotto, JamhuriMedia, MAELEZO- Hanang Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaendelea kutoa huduma muhimu katika maeneo yote yaliyoathiriwa na kuporomoka kwa udongo katika eneo la Katesh Wilayani Hanang mkoani Manyara. Akizungumza katika mkutano wa Wananchi, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali imepeleka vyombo vya ulinzi na usalama ili kuhakikisha maeneo yote yaliyoathiriwa…

Read More