JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Dk Samia mgeni rasmi kilele cha Wiki ya Wazazi Mpanda

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kilele cha maadhimisho ya wiki ya Wazazi kinachotarajiwa kufanyika Julai 13 mwaka huu Wilayani Mpanda Mkoani Rukwa. Hayo yameelezwa leo Julai 24,2024 Jijini…

TANESCO yatangaza kuanza rasmi kwa maboresho ya mfumo wa LUKU mikoa Kanda za Kusini, Nyanda za juu Magharibi

Na Agnes Njaala, JamhuriMedia, Rukwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuanza rasmi kwa zoezi la maboresho ya mfumo wa LUKU ambapo sasa ni zamu ya mikoa ya Kanda ya Kusini na Nyanda za juu Kusini Magharibi. Akitangaza kuanza rasmi…

Dk Biteko akutana na wawekezaji wa Modern Industrial Park

📌 Asisitiza Serikali itaendelea kushirikiana na wawekezaji Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na wawekezaji wa Modern Industrial Park wanaomiliki kongani ya…

Mamia wajitokeza kambi ya madaktari bingwa Arusha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Kambi ya Madaktari bingwa Imeanza kuhudumia wananchi wa Mkoa wa Arusha kwenye Kliniki maalum iliyoanza leo Juni 24, 2024 ikitarajiwa kufanyika kwa siku saba Mfululizo kwenye Viwanja vya michezo vya Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha….

Baba aliyepoteza watoto watatu kwa kuungua moto naye afariki

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Idadi ya waliofariki katika ajali ya moto iliyoua watoto watatu wa familia moja jijini Arusha imeongezeka baada ya baba wa watoto hao askari CRI wa TANAPA, Zuberi Hassan Msemo kufariki. Kaimu Kamanda wa Jeshi la…

Waziri Mkuu : Taasisi za umma zitumie mifumo ya kidijitali

Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezitaka taasisi za umma ziweke mipango madhubuti ya kutumia mifumo ya kidijitali ambayo italeta mageuzi ya kiutendaji na kuifanya Tanzania kuendana na mapinduzi ya nne ya viwanda yanayotumia TEHAMA. Amesema kuwa mifumo hiyo…