Mradi wa maji vijiji vinavyozunguka Mgodi wa Barrick Tarime ulivyowakomboa wananchi

Na Helena Magabe, Jamuhuri Media Tarime. Kulikuwa mvutano mrefu juu ya mgawayo wa pesa za CSR pale kiongozi mmoja aliyekuwepo Mara alipotaka pesa hizo zigawanywe kwenye wilaya nyingine nje Tarime. Hali ilipelekea mgodi kusimama kwa muda kusubilia mvutano uishe hivyo ili uweze kutoa fedha hizo. Hata hivyo hatimaye mvutano umeisha na mgawayo umekuwa kama ifuatavyo…

Read More

Serikali yafanya juhudi kudhibiti mfumuko wa bei hasa bidhaa za chakula Zanzibar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Serikaki ya Mapinduzi ya Zanzibar imefanya juhudi za makusudi kudhibiti mfumko wa bei hasa kwa bidhaa za chakula nchini. Aidha, imetoa agizo kwa wafanyabiashara wote wa vyakula kupunguza bei ya sukari ambayo ushuru wake kwa Zanzibar ni mdogo zaidi kuliko popote dunuani. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi…

Read More