Sekta ya Madini yachagiza ushiriki wa wanawake katika uvunaji rasilimali madini

đź“ŚWaziri Mavunde asisitiza wanawake washiriki zaidi katika uchumi wa madini đź“ŚSTAMICO yapongezwa uwezeshwaji wanawake đź“ŚMhandisi Mbenyange wa STAMICO apokea tuzo Mwanamke wa pekee Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Imeelezwa kuwa, Wizara ya Madini imevutia ushiriki wa wanawake katika uvunaji wa rasilimali hiyo muhimu katika uchumi wa Madini nchini. Hayo yamebainishwa Machi 1, 2023…

Read More

Wanawake Pwani waaswa kuvunja ukimya na kupinga vitendo vya ukatili

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Kibaha WANAWAKE mkoani Pwani wameaswa kuvunja ukimya na kuungana kupinga vitendo vya ukatili kwa watoto na kuwaasa kuwakemea watoto wao kujiepusha kwenda vibanda umiza ambavyo vingine huwa vikionyesha video zisizo na maadili. Akizungumza katika hafla ya Generation Queen’s (Mwanamke Sahihi) kukabidhi baiskeli 15 zenye thamani ya milioni sita kwa watoto wenye ulemavu Kibaha…

Read More

RC Ruvuma awapongeza TARURA kwa ufanisi wa kazi

Na Cresensia Kapinga,JamhuriMedia,Songea MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Rabani Thomas amewataka Makandarasi wazawa kuonyesha uzalendo wa ufanisi wa kazi pindi wanapopewa kazi za ujenzi wa miradi mbalimbali ikiwemo za barabara ili waendelee kuaminiwa kupewa kazi zingine. Wito huo ameutoa wakati akiongoza zoezi la utiaji saini mikataba ya awamu ya pili ya ujenzi wa miundombinu…

Read More