JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kazi/Ajira

Wazawa wapokwa zabuni

*Ni ya kulinda Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki*Kampuni ya kigeni iliyopata kazi ya kulinda haipo eneo la mradi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kampuni ya Ulinzi ya Garda World Tanzania Limited inayomilikiwa na raia wa Canada…

Mwenge wa uhuru kuzindua miradi 10 ya maendelao yenye thamani bil. 2.5/- Namtumbo

Na Cresensia Kapinga, JakhuriMedia, Namtumbo. Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo Ngolo Malenya amesema kuwa Mwenge wa Uhuru unaokimbizwa katika Wilaya hiyo utakagua,utaweka mawe ya msingi na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo 10 yenye thamani ya sh. Bilioni 2.5 Akizungumza wakati…

Rais Samia aagiza huduma za dharura maeneo yaliyoathiriwa na kimbunga Hidaya

RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan ameagiza huduma za dharura zipelekwe kwenye maeneo yaliyopata athari kutokana na kimbunga Hidaya. Hayo yamesemwa leo (Mei 6, 2024) na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwenye kikao cha dharura cha Kamati ya Maafa Kitaifa alichokiitisha kupokea…

Sekta ya Madini yachagiza ushiriki wa wanawake katika uvunaji rasilimali madini

📌Waziri Mavunde asisitiza wanawake washiriki zaidi katika uchumi wa madini 📌STAMICO yapongezwa uwezeshwaji wanawake 📌Mhandisi Mbenyange wa STAMICO apokea tuzo Mwanamke wa pekee Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Imeelezwa kuwa, Wizara ya Madini imevutia ushiriki wa wanawake katika…

Polisi kuulinda mkoa wa Arusha kidijitali, wafunga cctv kamera

Na Abel Paul, Jeshi la Polisi- Arusha Jeshi la Polisi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema katika kuhakikisha linakwenda na mifumo ya kisasa na mabadiliko ya kitekinolojia ikizingatiwa mji huo ni kitovu cha utalii hapa nchini huku mkoa huo ukipokea…