MAIPAC,CANADA kusaidia jamii za pembezoni,wanahabari

Mwandishi wetu,JamhuriMedia,Arusha Taasisi ya Wanahabari wa Kusaidia Jamii za Pembezoni (MAIPAC) inatarajiwa kuwa na mashirikiano na taasisi zisizo za kiserikali za nchini CANADA ili kuwajengea uwezo wanahabari na kusaidia jamii ya Pembezoni. Mkurugenzi wa shirika la MAIPAC, Mussa Juma ametoa taarifa jana katika hafla ya kumuaga mshauri elekezi wa MAIPAC kutoka nchini Canada, Lori Legault…

Read More

Biteko aagiza mradi wa Kabanga Nickel kuanza ulipaji fidia

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kagera Waziri wa Madini, Dkt. Doto Biteko ameiagiza Kampuni ya Tembo Nickel inayomiliki mradi wa uchimbaji Madini ya Nikeli kulipa fidia wananchi watakaopisha eneo la mradi ambao uthaminishaji wa maeneo yao umekamilika. Dkt.Biteko ametoa agizo hilo alipotembelea mradi wa Kabanga Nikeli katika ziara iliyolenga kukagua hatua iliyofikiwa katika uendelezaji wa mradi husika katika…

Read More

Wahandisi watakiwa kubuni teknolojia mpya zitakazofika vijijini

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imewataka wahandisi nchini kubuni teknolojia rahisi zitakazoweza kutatua changamoto za maisha ya wananchi vijijini na kuongeza kasi ya maendeleo nchini. Hayo yamesemwa Naibu Waziri wa Ujenzi Mhandisi, Godfrey Kasekenya ,wakati akifunga maadhimisho ya 19 ya siku ya Wahandisi yaliyomalizika jijini Dodoma. Mhandisi, Kasekenya amesema maendeleo ya kimkakati nchini yatafikiwa endapo ubunifu…

Read More