Biteko aagiza mradi wa Kabanga Nickel kuanza ulipaji fidia

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kagera Waziri wa Madini, Dkt. Doto Biteko ameiagiza Kampuni ya Tembo Nickel inayomiliki mradi wa uchimbaji Madini ya Nikeli kulipa fidia wananchi watakaopisha eneo la mradi ambao uthaminishaji wa maeneo yao umekamilika. Dkt.Biteko ametoa agizo hilo alipotembelea mradi wa Kabanga Nikeli katika ziara iliyolenga kukagua hatua iliyofikiwa katika uendelezaji wa mradi husika katika…

Read More

Wahandisi watakiwa kubuni teknolojia mpya zitakazofika vijijini

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imewataka wahandisi nchini kubuni teknolojia rahisi zitakazoweza kutatua changamoto za maisha ya wananchi vijijini na kuongeza kasi ya maendeleo nchini. Hayo yamesemwa Naibu Waziri wa Ujenzi Mhandisi, Godfrey Kasekenya ,wakati akifunga maadhimisho ya 19 ya siku ya Wahandisi yaliyomalizika jijini Dodoma. Mhandisi, Kasekenya amesema maendeleo ya kimkakati nchini yatafikiwa endapo ubunifu…

Read More

Mfuko wa Maendeleo Jamii waanza kutoa mkopo kwa kijana mmoja mmoja

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri- Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi amesema kuwa serikali imeendelea kufanya jitihada za kuweka mazingira wezeshi kwa vijana kuweza kujikwamua kiuchumi kwa kutoa mikopo kwa kijana mmoja mmoja na si kwa makundi kama ilivyokuwa awali. Amebainisha hayo wakati wa ufunguzi wa…

Read More