Likuyuseka Namtumbo wanufaika na elimu ya usalama barabarani
Na Julius Konala,JamhuriMedia,Namtumbo WANANCHI na wanafunzi wa kijiji cha Mtonya kilichopo katika Kata ya Likuyu Seka wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma, wamenufaika na mafunzo ya elimu ya usalama barabarani kupitia ufadhili wa kampuni ya Mantra Tanzania kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi kwa lengo la kupunguza ajali na vifo kwa watumiaji wa barabara hizo wilayani humo….