JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Gazeti Letu

Wazawa wapokwa zabuni

*Ni ya kulinda Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki*Kampuni ya kigeni iliyopata kazi ya kulinda haipo eneo la mradi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kampuni ya Ulinzi ya Garda World Tanzania Limited inayomilikiwa na raia wa Canada…

Rais Samia amefungua milango kwa wahisani, wadau kutoa huduma – Mzava

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameendelea kufungua milango kwa wahisani na wadau wa maendeleo kupitia Sekta binafsi ili kumuunga mkono jitihada za Serikali kutoa huduma kwa watanzania. Kiongozi wa Mbio…

Miradi 15 yenye thamani ya bilioni 3.1 kupitiwa na mwenge wa uhuru, 2024 Kibaha Mji

Na Byarugaba Innocent, JamhuriMedia, Kibaha Jumla ya Miradi 15 yenye thamani ya bilioni 3,120,194,399.98 inatarajiwa kupitiwa na Mwenge wa Uhuru kwenye Halmashauri ya Mji Kibaha utakapokimbizwa siku ya Alhamisi tarehe 2 Mei,2024 Mwenyekiti wa Sherehe za Mwenge Wilaya ya Kibaha…