JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Gazeti Letu

TAKUKURU yawahoji 11 kwa kuficha msaada wa chakula Rufiji, Kibiti

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji TAASISI ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) inawahoji Mtendaji wa kata, kijiji pamoja na vijana Tisa ambao ni wabeba mizigo (makuli) kwa madai ya kuficha chakula cha waathirika wa mafuriko Wilayani Rufiji na Kibiti…

Nchi za SADC zajipanga kumaliza changamoto za kiusalama Mashariki mwa DRC na Jimbo la Cabo Delgado

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Samwel Shelukindo anaongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa ngazi ya Makatibu Wakuu wa Utatu wa Asasi mbili za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC)…