JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Majaliwa: Serikali inatambua mchango wa wadau mbalimbali katika elimu ya ufundi stadi

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali inatambua mchango wa wadau mbalimbali katika kutoa elimu ya Ufundi Stadi. Majaliwa ameyasema hayo leo Machi 18, 2025 katika Maadhimisho ya miaka 30 ya Uanzishwaji wa Mamlaka…

Waziri Mkuu mgeni rasmi maadhimisho ya Siku ya Misitu Duniani

Na Happiness Shayo, JamhuriMedia, Dodoma Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa (Mb) anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku ya Misitu Duniani itakayoenda sambamba na Siku ya Upandaji Miti Kitaifa itakayofanyika Machi 21, 2025 Mkoani…

Dodoma,Mwanza kunufaika na ujenzi wa maabara zitakazo ongeza ufanisi wa vipimo vya sampuli

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Katika kutekeleza azma ya Serikali ya kuhakikisha wananchi wanapata huduma kwa ukaribu na kupunguza gharama, Shirika la Viwango Tanzania(TBS)limeanza kusogeza huduma Karibu na Wateja kwa kuanzisha ujenzi wa maabara katika mikoa ya kimkakati ya Dodoma na Mwanza….

Madini ya Bati fursa zipo nyingi njooni – Mkopi

Hutumika kwenye mifumo ya kielektroniki ya simu, ndege, vyuma vya reli · Yaleta ukombozi kwa wananchi Kyerwa Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera MADINI ya Bati (Tin) yameendelea kuwa na mchango kwenye maduhuli ya Serikali kupitia Sekta ya Madini mkoani Kagera…

Kamati ya Bunge yakagua mradi wa nyumba NSSF Mtoni Kijichi, Kikwete asifu ustahimilivu NSSF

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii wametembelea na kukagua Mradi wa Nyumba za Mtoni Kijichi awamu ya Tatu unaomilikiwa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) leo Machi 16, 2025 Jijini Dar es…

Israel yafanya mashambulizi Gaza ikidai kuwalenga Hamas

Jeshi la Israel limesema limefanya hivi leo mashambulizi ya anga katikati na kusini mwa Gaza na kuwalenga wanamgambo waliokuwa wakijaribu kutega mabomu karibu na vikosi vyake vilivyoko katika ukanda huo. Taarifa hiyo imetolewa baada ya mamlaka za Palestina kusema kuwa…