JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Adam Malima Ataka Mkuranga wasirudie Makosa

*Ni kwenye dua aliyowaalika Dk Chakou Tindwa na Abdalla Ulega. *Asema jimbo linataka mtu muungwana kwa wananchi *Asisitiza wachague mtu asiyewafunga funga *Wananchi waunga Mkono,wazungumza Na Mwandishi Wetu JamhuriMedia, Mkuranga Mbunge wa zamani wa jImbo la Mkuranga, Adam Kigoma Malima,amewataka…

NEMC yavunja rekodi utoaji wa elimu sabasaba

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limewapa tuzo washindi watatu wa mazingira challenge shindano lililoandaliwa maalum na baraza kwaajili ya kuhamasisha uhifadhi na utunzaji wa mazingira. Washindi hao walikadhiwa…

TSB yatangaza fursa mpya za uwekezaji katika kilimo na biashara ya mkonge

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam BODI ya Mkonge Tanzania (TSB) imewahimiza Watanzania kuchangamkia kilimo na biashara ya mkonge, ikitaja zao hilo kama chanzo muhimu cha ajira, kipato na fursa za uwekezaji kwa ajili ya soko la ndani na…

Ado Shaibu amvaa wakili Mwambukusi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kisarawe Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo amesema kauli ya Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Wakili Boniphace Mwabukusi kupinga jitihada za ACT Wazalendo kuhamasisha wananchi kulinda kura ina udhaifu wa kimantiki. Ndugu Ado Shaibu ametoa…

TASAC yasisitiza usalama wa usafiri majini kama msingi wa kukuza uchumi

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limeeleza kuwa usalama wa usafiri wa majini ni kichocheo muhimu cha maendeleo ya kiuchumi, huku likiahidi kuendelea kutoa elimu kwa jamii kuhusu umuhimu wa kulinda na…