Category: MCHANGANYIKO
Rais wa Sierra Leone kutua Dar leo
Rais wa Sierra Leone Julius Maada Bio anatarajiwa kuwasili leo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere ili kushiriki Mkutano wa Nchi za Afrika unaohusu Nishati. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud…
Wakuu wa nchi 25 kushiriki mkutano wa nishati Afrika
Marais 25 wa nchi za Afrika wanatarajiwa kushiriki katika mkutano wa nchi za Afrika kuhusu Nishati utakaofanyika Januari 27 na 28 mwaka huu. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo amebainisha hayo leo…
JK aipa PPAA changamoto kuokoa fedha za Serikaki katika miradi
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Kikwete ameipa Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) changamoto ya kuangalia jinsi ununuzi wa umma unavyoweza kuokoa fedha za umma na kuhakikisha kuwa Serekali…
Baraza la wafanyakazi Ofisi ya Mwanasheria Mkuu lakutana
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani BARAZA la Wafanyakazi la Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali limekutana na kufanya kikao kwa ajili ya kujadili masuala mbalimbali yatakayosaidia kurahisisha utendaji kazi na kutoa huduma bora zaidi za kisheria kwa wananchi. Kikao hicho…
Kampeni ya ‘Ubungo usiku kama mchana’ yazinduliwa
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKUU wa Wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko (ambae ameteuliwa kuwa mkuu wa wilaya ya Hai) Mkuu wa Wilaya amezindua kampeni ya “Ubungo Usiku kama Mchana” ambapo katika wilaya hiyo kazi za uzalishaji na…
JKCI yazidi kutanua wigo wa huduma za matibabu nchini
Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kituo cha matibabu ya magonjwa ya moyo cha Jakaya Kikwete (JKCI) kimezidi kutanua wigo wa matawi yake nchini. Kituo hicho ambacho kiliasisiwa nchini mwaka 2015 mpaka kufikia mwaka huu 2025 kinakwenda kutimiza miaka…