
MCHANGANYIKO

MAIPAC kusaidia kompyuta shule ya Arusha Alliance
Mwandishi wetu, Arusha Taasisi ya Wanahabari ya kusaidia Jamii za pembezoni (MAIPAC) imeahidi kutoa msaada wa kompyuta kwa shule ya msingi ya Arusha Alliance ambayo inamilikiwa na Walimu ili kuwezesha wanafunzi kusoma masomo ya TEHAMA. Mkurugenzi Mtendaji wa MAIPAC,Mussa Juma alitoa ahadi hiyo katika mahafali ya darasa la Saba ya 14 ya shule hiyo ambapo…

Miongo miwili ilivyoipaisha TMDA
Na Mwandishi Wetu Jamhuri Media, Dar es salaam Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imeeleza mafanikio makubwa iliyoyapata kwa kipindi cha miaka 20 tangu kuazishwa kwake. Tangu ianzishwa 2003 kama taasisi hadi 2023 TMDA imepiga hatua mbalimbali za mafanikio na kuifanya kuwa kinara barani Afrika katika umahiri na utoaji huduma na kuwa kituo cha…

Chalamila ataka kasi ya usambazaji majisafi Dar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Septemba 22, 2023 katika muendelezo wa ziara yake Wilaya ya Kigamboni kukagua ufanisi wa uzalishaji wa maji Safi katika Mkoa huo, jukumu linalotekelezwa na Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) Ameridhishwa na kiwango cha…

DC Rufiji : TEMESA ifanyekazi kwa uaminifu na ufanisi kuondoa malalamiko
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Serikali Mkoani Pwani ,imeutaka Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA ) kufanya majukumu yake kwa uaminifu na kufuata maelekezo yanayotolewa na Serikali ili kuondoa malalamiko kwa wateja . Akimwakilisha mkuu wa Mkoa wa Pwani, katika kikao cha Pwani na wadau, kwenye Kibaha Kwa Matias ,Mkuu wa Wilaya ya Rufiji…

Kapinga: Desemba 2023 vijiji vyote 758 Mtwara vitakuwa na umeme
Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Serikali imesema hadi kufikia Desemba 2023 vijiji vyote 758 mkoani Mtwara vitakuwa vimepata umeme. Akizungumza mkoani Mtwara, tarehe 21 Septemba, 2023, Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga amesema katika vijiji hivyo vingi vilikuwa havina umeme, hivyo watapeleka umeme katika maeneo hayo yote. Amesema lengo la ziara yake hiyo mkoani humo ni kujionea…

TANESCO watakiwa kukamilisha kwa wakati ujenzi wa miundombinu ya umeme mji wa Serikali Mtumba Dodoma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Shirika la Umeme Nchini TANESCO limetakiwa kukamilisha kwa wakati mradi wa ujenzi wa Miundombinu ya umeme wa chini unaoendelea katika mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma. Hayo yamesemwa leo Tarehe 21 Septemba 2023, na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi…