JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Serikali yachukua hatua kuongeza upatikanaji wa dhahabu ghafi kwa Geita Gold Refinery (GGR) – Waziri Mavunde

Asema Serikali inajivunia uwepo wa viwanda vya kuongeza thamani madini nchini đź“Ť Dodoma, Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde amesema kuwa, Serikali ya Tanzania inatambua kuwa ili kiwanda cha kusafisha madini ya dhahabu cha Geita Gold Refinery (GGR) kifanye kazi…

‘Bora kuku wa kisasa kuliko kula nyama ya ng’ombe’

Na Aziza Nangwa ,JamhuriMedia, Dar es Salaam Walaji wa nyama ya ng’ombe na wananchi kwa ujumla wameonywa kuhusu kuwapo kwa wafanyabiashara wanaolihujumu soko la nyama hiyo inayotumiwa kwa wingi nchini. Hujuma hizo hufanywa na baadhi ya wafanyabiashara wasio waaminifu wanaonenepesha…

India kuwekeza katika sekta ya nishati nchini

*Ni kupitia mazungumzo kati ya Dkt. Biteko na Waziri wa Petroli na GesiAsilia India *Gesi, Nishati Safi ya Kupikia na Bayofueli zatajwa  India yaipongeza Tanzania usambazaji umeme vijijini Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amekutana…

Kesi ya DRC dhidi ya Rwanda kusikilizwa Mahakama ya Haki za Binadamu Arusha

Kesi iliyofunguliwa na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo dhidi ya Rwanda katika Mahakama ya Afrika ya haki za watu na zile za Binadamu inasikilizwa leo jijini Arusha – huku Kongo ikiishitaki Rwanda kwa kukiuka mipaka ya kimamlaka ya Kongo, kuchochea…

NFRA yajiandaa kukabiliana na upungufu wa sukari nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Taifa wa Uhifadhi wa Chakula (NFRA) umesema umejipanga vizuri kukabiliana na upungufu wa sukari hapa nchini endapo kutajitokeza upungufu wa bidhaa hiyo kwani Serikali imeshatoa kibali kwa wakala kuagiza na kusambaza…

Polisi Pwani yamsaka Abdallah kwa tuhuma ya kumuua mzazi mwenzake

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamsaka Abdallah Mohammed (40), fundi friji na mkazi wa Mataya, Kata ya Kiromo, Wilaya ya Bagamoyo, kwa tuhuma za mauaji ya mzazi mwenzake Naomi Mwakajengele ( Anangisye) miaka 28,…