
MCHANGANYIKO

Silaa: Kuweni tayari kwa mabadiliko
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry Silaa amewataka watumishi wa sekta ya ardhi nchini kuwa tayari kwa mabadiliko yenye lengo la kuiboresha sekta ya ardhi. Silaa amesema hayo leo tarehe 21 Septemba 2023 jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na watumishi wa sekta ya ardhi katika mikoa…

Rais Samia: Serikali imetenga hekta 60,000 kwa kilimo cha umwagiliaji mpunga Rufiji
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji Serikali imetenga eneo la ukubwa wa hekta 60,000 kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji wa zao la mpunga katika wilaya ya Rufiji mkoani Pwani. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan alitoa kauli hiyo, Septemba 20, 2023, akiwasalimia wananchi wa Kata ya Ikwiriri wilaya ya Rufiji…


Mradi wa kutibu maji taka wazinduliwa Nzega
Na Allan Vicent, JamhuriMedia, Tabora KIONGOZI wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Abdallah Shaib Kaim amezindua mradi wa ‘Bwawa la Kutibu Maji taka’ uliotekelezwa na serikali kupitia Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Nzega (NZUWASA) kwa gharama ya zaidi ya sh bil 1.5. Akisalimia wananchi baada ya kukagua mradi huo uliopo Wilayani…

Waziri Kairuki aitaka TAWA kuongeza ukusanyaji mapato
Na Happiness Shayo, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki (Mb) ameitaka menejimenti ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) kuhakikisha inaongeza makusanyo yake ya mapato ya ndani zaidi ya lengo iliyojiwekea la kukusanya shilingi bilioni 78.4 kwa mwaka wa fedha 2023/2024. Waziri Kairuki ameyasema hayo leo tarehe 20 Septemba,…
