Category: MCHANGANYIKO
NSSF yaongeza thamani ya mfuko kwa asilimia 92
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Katika juhudi za kutambua mchango wa sekta binafsi katika kukuza uchumi, Serikali imewezesha ukuaji mkubwa wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), ambapo thamani ya mfuko imeongezeka kwa asilimia 92, kutoka TZS bilioni…
Kamati ya Bunge yapongeza miradi ya TEHAMA, yataka wabunifu walindwe
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Mhe. Selemani Moshi Kakoso, imefanya ziara katika ofisi za Tume ya TEHAMA (ICTC) kwa kukagua shughuli za taasisi hiyo, ikiwemo mradi wa…
Wachimbaji wadogo waishukuru Serikali
MBOGWE WACHIMBAJI wadogo wa madini wilayani Nyang’wale wameishukuru Serikali kwa kutengeneza mazingira mazuri kwa wawekezaji ambao wanatoa msaada wa kiufundi ambapo elimu ya uchimbaji na vifaa vimetolewa kwa wachimbaji hao. Lengo ni kuwatoa kwenye uchimbaji mdogo na kuwa uchimbaji wa…
Dkt. Ndumbaro azitaka Bodi za Wadhamini zising’ang’anie madaraka
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Katiba na Sheria Dk Damas Ndumbaro ameziagiza Bodi mbalimbali za Wadhamini wa taasisi ambazo zimemaliza muda wake wa uongozi kufanya uchaguzi mara moja ndani ya kipindi cha miezi miwili.Akizungumza kwenye ufunguzi…
Prof. Janabi miongoni mwa wagombea watano kumrithi Ndugulile WHO
Mmoja wa wataalamu wakubwa wa afya nchini Tanzania, Profesa Mohamed Janabi, ametangazwa rasmi kuwania nafasi ya Mkurugenzi wa Kanda wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa Kanda ya Afrika. Prof. Janabi, ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili…
Waziri Kikwete aitaka Bodi ya Wadhamini NSSF kuzingatia miongozo
Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa nchi, ofisi ya Waziri Mkuu ,Kazi, vijana, ajira na watu wenye ulemavu, Mhe: Ridhiwani Kikwete ameitaka bodi ya wadhamini ya mfuko wa taifa wa uhifadhi jamii nchini NSSF kusimamia mpango mkakati…