JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Ruto ateua vigogo wa upinzani kuwa mawaziri

Rais wa Kenya William Ruto amewateua vigogo wanne wa upinzani katika baraza lake la mawaziri, ikiwa ni zaidi ya mwezi mmoja wa maandamano ya kupinga serikali. Rais wa Kenya William Ruto amewateua vigogo wanne wa upinzani katika baraza lake la…

Kadi za NEC kutumika chaguzi zijazo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imesema kadi za mpiga kura zilizotolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC) mwaka 2015 na 2020 zitaendelea kutumika kwenye chaguzi kuu zijazo. Mkurugenzi wa Uchaguzi wa INEC, Ramadhan Kailima…

TAWA yatoa madawati shule ya Msingi Changarawe wilayani Mvomero

Na Mwandishi wetu,JamuhuriMedia, Morogoro MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA imetoa msaada wa madawati 60 yenye thamani ya Shillingi Millioni 5 (5,000,000) kwa Shule ya Msingi Changarawe iliyopo kata ya Mzumbe, Kijiji cha Changarawe wilayani Mvomero Mkoa wa…

Waziri Kairuki aongoza ujumbe wa Tanzania kushiriki mkutano wa pili wa Shirika la Utalii Duniani

Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki (Mb) ameongoza ujumbe wa Tanzania kushiriki Mkutano wa Pili wa Shirika la Utalii Duniani – Kanda ya Afrika (Brand Africa ) Kuhusu Utangazaji Utalii unaoongozwa na mada isemayo: “Kuitangaza Afrika kwa lengo la…

Mitungi ya gesi ya bil.10/- kutolewa na Serikali 2024/25 – Kapinga

📌 Asema ni sehemu ya uhamasishaji wa matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia 📌 Serikali kushirikiana na Wadau upatikanaji Nishati Safi ya Kupikia hadi vijijini 📌 Tanzani yatajwa kinara Nishati Safi ya Kupikia Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema…

Diwani Kimwanga : Awataka wazazi kupuuza taarifa za kutekwa kwa watoto

Na Jumanne Magazi, JamhuriMedia, Dar es Salaam Diwani wa Kata ya Makulumla Wilaya ya Ubungo, Jijiji Dar es Salaam, Bakari Kimwanga, amesema kumekuwa na taarifa nyingi zinazohusiana na kutekwa kwa watoto wakiwa shuleni ambapo amesema taarifa hizo kuwa sio nyingi…