Category: MCHANGANYIKO
Aliyekuwa mhasibu kituo cha afya Endagwe Babati afikishwa kizimbani kwa rushwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Babati Aliyekuwa Mhasibu Msaidizi wa Kituo cha Afya Endagwe wilayani Babati, Mohamed Twalib Baya, amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Babati, Mkoa wa Manyara, kujibu mashtaka ya rushwa, uhujumu uchumi na kughushi nyaraka. Shauri hilo la…
Hawa ndio wagombea kiti cha urais ADC Bara na Visiwani
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha Alliance Democratic Change (ADC), kimemtangaza Willison Elias kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mbali ya Willison, chama hicho pia kimemteua mwanasiasa mkongwe Hamad Rashid Mohamed kuwa mgombea urais…
Fomu ya ubunge ya Ulega na mkewe yazua jambo Pwani
Na Mwandishi wetu Wakati Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega na mkewe Mariam Abdallah Ibrahim wakiwa wamechukua fomu ya kuomba kuwania ubunge wa jimbo na viti maalum katika Mkoa wa Pwani, wadau mbalimbali wamehoji hatua hiyo imelenga kutatua kero za wananchi…
Dk Biteko: Nishati itakayozalishwa na nyuklia kujumuishwa kwenye gridi ya Taifa
📌 Asema ni Nishati yenye unafuu wa gharama kulinganisha na vyanzo vingine vya nishati, pia isiyochafuzi kwa mazingira. 📌 Asisitiza nyuklia kwa ajili ya kuzalisha umeme ni salama, awatoa hofu jamii kuhusiana na matumizi yake 📌 Akazia kuhusiana na matumizi…
Pamoja tutashinda Tanzania yashiriki tukio la kusimikwa mtemi ea 24 wa Busiya chifu Majwaia wa III
Na Andrew Chale, JamhuriMedia, Shinyanga TAASISI ya Pamoja Tutashinda Tanzania (PATUTA) imeshiriki katika tukio kubwa la kusimikwa kwa Mtemi mpya wa 24 wa Busiya Austin Makani Makwaia ‘Chief Makwaia wa III’ katika Ikulu ya Busiya Ukenyenge Wilaya ya Kishapu mkoani…