Category: Sitanii
Bila EWURA mafuta yangekuwa bei gani?
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ukijenga nyumba nzuri, inakupasa usisherehekee sana kabla mvua haijanyesha. Kuna msemo kuwa tusubiri mvua inyeshe tuone panapovuja. Msemo huu haulengi nyumba peke yake, bali unahusu jamii tunayoishi, taasisi mbalimbali tunazojenga na uhalisia katika…
Tumfukuze mbwa mwitu kwanza, kisha tumzuie mwanambuzi kuchezea vichakani
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwandishi maarufu wa riwaya Afrika, Mnigeria Chinua Achebe, alipata kuandika sentensi maarufu katika kujenga mshikamano wa kijamii kuwa: “Katika mtanziko wa hatari, tumfukuze mbwa mwitu kwanza, kisha tumzuie mwanambuzi kuchezea vichakani.” Sitanii, kichwa…
Asante Trump, nasikitika Tanzania
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Leo naandika makala hii saa chache kabla ya kwenda kanisani kumwabudu na kumsujudia Bwana wetu Yesu Kristu Mfufuka. Ninao wajibu kwangu, kwa familia, kwa Kanisa, kwa taifa na kwa ndugu, jamaa na marafiki…
Kwaheri Lukuvi, tuombee, mbio za 2030 zimeanza
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Mikumi Naandika makala hii nikiwa safarini kuelekea Ifakara. Jumamosi, Machi 28, 2026 nimepata fursa ya kushiriki mazishi ya kitaifa ya kaka na ndugu yangu, William Vangimembe Lukuvi. Nikiri nilimfahamu Lukuvi mwaka 1993, na hasa kuanzia mwaka…
Kodi zetu ni mzigo kwa wale wale
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi Nchini, chini ya Balozi Ombeni Sefue, imewasilisha ripoti yake kwa Rais Samia Suluhu Hassan wiki iliyopita. Tume imekuja na mapendekezo 284. Si madogo,…
Kardinali Pengo amevunja kuta za uhasama
Na Deodatus Balile, Nairobi Kifo cha Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo kimeacha simanzi nchini, lakini pia kimeacha funzo na ujumbe mzito kwa taifa letu. Tangu kutokea kwa kifo chake tumeshuhudia jambo ambalo kwa muda mrefu halijawahi kutokea – Watanzania kuungana, si…





