JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Sitanii

Rais Samia ana maamuzi magumu

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Usiku wa kuamkia leo tumeshuhudia kishindo kikubwa katika siasa za Tanzania. Kishindo hiki kimetokana na kalamu ya Rais Samia Suluhu Hassan, juu ya ‘maamuzi magumu’ aliyoyafanya kwa mawaziri wanne. Ametengua uteuzi wa mawaziri…

Tujenge matajiri, kodi zitakuja zenyewe

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wiki iliyopita nimeandika kuhusu mfumo wa utozaji kodi. Nimeeleza utitiri wa kodi na utaratibu unaotumika kuzitoza, ambapo wengi wa wanaotoza kodi hawajawahi kufanya hata biashara ya kuuza kuku, hivyo kufahamu ugumu wa kulipa huo…

Rais Samia unda Kikosi Kazi cha Kuchunguza Kodi

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kodi, kodi, kodi…Nimetaja neno kodi mara tatu mwanzoni mwa makala hii. Nimetaja kodi kutokana na matukio makuu matatu ndani ya wiki iliyopita. Tukio la kwanza ni mgomo wa wafanyabiashara ulioanzia Kariakoo, Dar es Salaam…

Bashe, Mpina, nani anatetea wanyonge?

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kitambo sijaandika makala ya Sitanii kwa mtiririko wake wa kawaida. Nafahamu msomaji umesikia na unalifahamu sakata linaloendelea kati ya Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, ambapo Mpina anasema Bashe…

Prof. Kabudi: Sh trilioni
360 haikuwa kodi halali

*Asema zilikuwa mbinu za majadiliano, ataja tishio la Acacia*Afafanua suala hilo limekwisha,atamtafuta Mwigulu amweleze Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mpatanishi Mkuu wa Serikali (Chief Government Negotiator), Profesa Palamagamba Kabudi, amesema Dola bilioni 190 za Marekani sawa na Sh trilioni 360 walizotakiwa kulipa…

Tuheshimu sekta binafsi, fedha zao

Na Deodatus Balile Wiki iliyopita miongoni mwa mambo aliyofanya Rais Samia Suluhu Hassan ni pamoja na kushajihisha serikali kuipa nafasi sekta binafsi. Amesema anatamani kuona sekta binafsi inakua kama ilivyokuwa enzi za Rais Bejamin Mkapa. Sitanii, saa chache baada ya…