JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Sitanii

Poleni Watanzania, hongera Rais Dk Samia, mwafaka unatuhusu

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Morogororo Leo ni siku 10 tangu Oktoba 29, 2025 siku tuliyofanya Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani. Naandika makala hii baada ya kutoka kanisani. Nimekaa, nimetafakari, nikawaza na kuwazua. Yamenijia maono nikaona kupitia makala hii,…

Kuna maisha baada ya uchaguzi

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Mwanza Ndugu zangu Watanzania, taifa letu linaelekea katika moja ya hatua muhimu za kidemokrasia – Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani utakaofanyika kesho Oktoba 29, 2025. Hii ni siku ambayo wananchi tutatumia kalamu na karatasi…

La elimu, Rais Samia anaunganisha Watanzania

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Kigoma Kampeni zinaelekea ukingoni. Tumeshuhudia mikikimikiki ya vyama vinavyoshiriki. Tumeshuhudia mikutano ya hadhara. Idadi ya watu wanaoshiriki kwenye mikutano inatosha kukwambia kuwa Watanzania wana matumaini na mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan….

Uchaguzi mmeukataa, mnautamani, mkoje?

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ndugu zangu Watanzania, leo nataka kuandika mada ngumu kidogo. Niseme wazi tu kuwa nimefanya kazi hii ya uandishi kwa miaka 32 sasa. Nimeuona, nimeuandika, na nimeuishi uchaguzi. Nimeshuhudia mabadiliko mengi tangu uchaguzi wa…

Kura yako, mustakabali wa taifa

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mchakato wa Uchaguzi Mkuu nchini Tanzania ni safari ndefu iliyohusisha maandalizi ya daftari la wapiga kura, uteuzi wa wagombea, kampeni na hatimaye upigaji kura. Kila hatua inabeba uzito wake, lakini kilele cha safari…

Samia anaikomboa nchi kwa giridi ya maji

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Johannesburg Nipo hapa jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini nikiendelea na mkutano unaojadili uchumi wa vyombo vya habari chini ya taasisi ya CTRL+J. Mkutano huu unaangalia mwenendo wa mapato, teknolojia ya habari na mitandao ya kijamii vinavyoathiri…