Asante Rais Samia, Waziri Nape

Na Deodatus Balile, Zanzibar Wiki iliyopita imekuwa wiki ya furaha kwa tasnia ya habari. Ni wiki ya furaha baada ya Alhamisi iliyopita Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, kutangaza kuyafungulia na kuyapa leseni magazeti manne; Mwanahalisi, Tanzania Daima, Mawio na Mseto. Magazeti haya yamefungiwa kati ya mwaka 2016 na 2018. Tanzania…

Read More

Ndugai, Kabudi ni somo jipya Tanzania

Na Deodatus Balile Leo napata tabu kuandika makala hii. Tabu ninayoipata, kumetokea mtikisiko wa ghafla ndani ya saa 72, sura ya siasa za nchi ya Tanzania zimebadilika mno. Ninaye rafiki yangu nimekumbuka maneno yake. Alipata kuniambia: “Usichezee njiti ya kiberiti, ikiwashwa inaweza kuchoma kijiji au taifa.” Nimeshuhudia njiti ya kiberiti ilivyolichoma taifa. Sitanii, miezi michache…

Read More

Tusiusahau 2021, tujiandae 2022

Na Deodatus Balile Mwaka 2021 unaomalizika umekuwa na matukio makubwa yasiyosahaulika katika historia ya taifa la Tanzania, jumuiya mbalimbali na familia kwa ujumla.  Sitatenda haki nisipowataja watu wanne ambao wamefariki dunia bila kutarajiwa. Katika ngazi ya kitaifa, ni Rais John Magufuli. Hakuna aliyetarajia kuwa mwangwi wa sauti yake ungezimika ghafla kivile. Mungu amlaze mahala pema…

Read More