JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Marekeni yaendelea kuchunguza nyaraka za kijasusi zenye usiri mkubwa

Wachunguzi wa Marekani wanaendelea kuchunguza uvujaji wa nyaraka mbili za kijasusi zenye usiri mkubwa mtandaoni. Nyaraka hizo zilionekana kwenye Telegram na zinadaiwa kuwa na tathmini ya mipango ya Israel kuishambulia Iran. Uvujaji huu umeleta taharuki kwa maafisa wa Marekani. Nyaraka…

Gachagua – Mimi na familia yangu tupo hatarini

Aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya amedai kuwa, Ruto hakuwa na nia ya kufanya kazi nami na alitaka tu kunitumia kupata watu kushinda uchaguzi”, ameambia wanahabari. Gachagua amezungumza hayo akiwa anatoka katika Hospitali ya Karen alipokuwa anatibiwa. Rigathi Gachagua ameendelea kudai…

Marekani yachunguza uvujaji wa nyaraka siri

Marekani inachunguza uvujaji wa nyaraka za siri zinazoelezea tathmini ya Marekani kuhusu mipango ya Israel kushambulia Iran Spika wa Baraza la Wawakilishi Mike Johnson amethibitisha. Nyaraka hizo ziliripotiwa kuchapishwa mtandaoni wiki iliyopita na zinasemekana kuelezea picha za satelaiti zinazoonyesha Israel…

Hamas waanza mchakato wa kumchagua kiongozi mpya

Kundi la Hamas laanza mchakato wa kumchagua kiongozi mpya baada ya Yahya Sinwar kufariki kwenye shambulio la Israel Maafisa wawili wa Hamas wamesema kwamba majadiliano ya kumchagua mrithi wa kiongozi wa kundi hilo Yahya Sinwar, ambaye mauaji yake yalithibitishwa siku…

Aina mpya ya malaria yatishia Afrika

Maisha ya mamilioni ya watu barani Afrika yamo hatarini iwapo aina mpya ya vimelea vya malaria vinavyopatikana barani Asia vitaenea na kufika barani Afrika. Watafiti wameonya kuwa vimelea hivyo havisikii dawa aina ya Artemisinin inayotumika kote barani Afrika kutibu Malaria….

Nyumba ya Netanyahu yapigwa katika jaribio la kumua

Katika tukio la kutisha na la kuthubutu, kundi la Hezbollah limefanya shambulizi la ndege isiyo na rubani (drone) likilenga nyumba ya Waziri Mkuu wa Israeli, Benjamin Netanyahu, iliyoko mji wa kaskazini wa Caesarea leo, Oktoba 19, 2024. Shambulizi hilo lilikuja…