
Madini Vision 2030 kutangazwa Indonesia
Ushirikiano Tanzania, Indonesia waimarishwa Madini ya Kimkakati kupewa kipaumbele Balozi wa Indonesia nchini Tanzania Mhe. Tri Yogo Jatmiko amesisitiza kushirikiana na Tanzania katika kutangaza Mwelekeo Mpya wa Wizara wa VISION 2030: Madini ni Maisha na Utajiri ili kutangaza fursa mbalimbali za uwekezaji zilizopo katika Sekta ya Madini Nchini. Balozi Jatmiko amesema hayo leo Septemba 20,…