JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

China yajitolea kupatanisha Mashariki ya Kati

China imejitolea kuwa mpatanishi kwenye mzozo wa sasa wa Mashariki ya Kati baada ya uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran kusababisha vita kusambaa kote kwenye eneo hilo. Wizara ya Mambo ya Kigeni ya China imesema kwenye taarifa yake…

ECOWAS yaunda kikosi kupambana na ugaidi

Mataifa ya Afrika Magharibi yameamua kuunda kikosi cha wanajeshi 2,000 kukabiliana na makundi ya itikadi kali yanayozidi kuwa kitisho katika eneo hilo. Afisa mmoja mkuu wa jeshi wa Nigeria aliliambia shirika la habari la AFP kwamba maamuzi kuhusu kikosi hicho…

Israel na Iran zaendelea kushambuliana

Israel imeendelea kuyashambulia maeneo kadhaa ndani ya Iran usiku wa kuamkia leo na Iran nayo imejibu kwa kuvurumisha makombora ya masafa kuelekea Israel na kwenye nchi kadhaa za ghuba ya Uajemi. Mitikisiko mikubwa ilisikika kwenye mji mkuu wa Iran, Tehran,…

Ufaransa yapeleka ndege za kivita chapa Rafale UAE

Ufaransa imetuma ndege za kivita aina ya Rafale juu ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ili kulinda vituo vyake vya kijeshi vya majini na vya anga dhidi ya mashambulizi ya Iran, huku kituo kimoja tayari kikilengwa na droni, Waziri wa…

Israel yafanya mashambulizi mapya Beirut, Tehran

Israel imesema imeanzisha mashambulizi mapya ya anga dhidi ya Beirut na Tehran, na milipuko iliripotiwa katika ubalozi wa Marekani mjini Riyadh, Saudi Arabia, baada ya shambulio la droni la Iran.

Marekani yaiwekea vikwazo Rwanda

Marekani imeweka vikwazo vikali kwa jeshi la Rwanda na makamanda wake wanne wakuu, ikiwashutumu kwa kuchochea migogoro katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Wizara ya Hazina inasema Jeshi la Ulinzi la Rwanda limekuwa likitoa mafunzo, kuandaa, na kupigana pamoja na…