Putin ashinda urais Urusi

Rais wa Urusi, Vladimir Putin ameshinda uchaguzi wa rais kwa asilimia 87.97 ya kura, kulingana na matokeo rasmi ya kwanza yaliyooneshwa Jumapili baada ya zoezi la kupiga kura kufungwa. Putin,71, aliyeingia madarakani mwaka 1999, alipata muhula mpya wa miaka sita kama rais, akimpita Josef Stalin kama kiongozi aliyekaa madarakani kwa muda mrefu zaidi nchini Urusi….

Read More

Sonko, msaidizi wake waachiwa huru

Mwanasiasa maarufu wa upinzani nchini Senegal Ousmane Sonko, ameachiliwa huru siku chache kabla ya uchaguzi wa rais nchini humo uliopangwa kufanyika Machi 24. Bwana Sonko na msaidizi wake Bassirou Diomaye Faye, walikuwa katika gereza la Cap Manuel na kulakiwa na maelefu ya watu..Wakili wa Sonko Bamba Cisse, ameliambia shirika la habari la Associated Press kwamba,…

Read More

Waziri Mkuu Palestina ajiuzulu

Waziri Mkuu wa Palestina, Mohammad Shtayyeh ametangaza kujiuzulu. Akitangaza uamuzi huo leo, Shtayyeh amesema uamuzi huo unatokana na serikali yake kutawala sehemu za Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu. “Ninawasilisha kujiuzulu kwa serikali kwa Rais (Mahmud Abbas),” Shtayyeh amesema, na kuongeza kuwa inakuja kutokana na vurugu katika Ukanda wa Gaza na kuongezeka kwa Ukingo wa…

Read More

Jaji Afrika Kusini afunguliwa mashtaka

Bunge la Afrika Kusini limemfungulia mashtaka mmoja wa majaji wakuu wa nchi hiyo kwa utovu wa nidhamu. Uchunguzi uligundua kuwa John Hlophe, jaji mkuu katika jimbo la Western Cape, alijaribu kushawishi majaji katika Mahakama Kuu ya nchi hiyo katika kesi inayomhusu Rais wa zamani Jacob Zuma. Aliwasiliana na majaji wawili mwaka 2008 ili kuona kama…

Read More