JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Iran yamesema haina imani na usitishwaji vita wa Israel

IRAN imesema siku ya Jumapili kwamba haina haina imani hata kidogo na hatua ya Israel ya kujitolea kusitisha mapigano na kuhitimisha makabiliano makali yaliyosababisha uharibifu kati ya maadui hao wawili. Mkuu wa majeshi ya Iran Abdolrahim Mousavi alinukuliwa na televisheni…

16 wafariki katika maandamano ya kupinga Serikali yafikia Kenya

Watu kumi na sita walifariki dunia wakati wa maandamano ya kupinga serikali nchini Kenya Amnesty International imesema. Maandamano hayo yalikuwa kumbukumbu ya mwaka mmoja kwa waliofariki wakati wa maandamano ya kupinga mswada wa fedha 2024 ambapo baadaye walivamia bunge. Ikiwa…

Nchi za NATO kuongeza bajeti kwa ajili ya ulinzi

VIONGOZI wa nchi wanachama wa Jumuiya ya kijeshi ya NATO wameidhinisha rasmi ongezeko la asilimia tano ya Pato la Taifa kwa ajili ya matumizi ya ulinzi kwenye mkutano wao wa kilele uliofanyika mjini The Hague, Uholanzi. Nchi wanachama wa jumuiya…

Gen-Z Kenya waandamana kuwakumbuka wenzao 60 waliouawa 2024

Maelfu ya waandamanaji wamejitokeza katika miji mikuu nchini Kenya kukumbuka tukio la Juni 25 mwaka uliopita ambapo wenzao 60 waliuawa na Polisi wakati wa maandamano ya kuupinga Mswada wa Fedha mwaka 2024. Hata hivyo Polisi walilazimika kutumia mabomu ya kutoa…

Zimamoto 444 washiriki kuzima moto wa nyika nchini Ugiriki

Mamia ya maafisa wa zimamoto wanaendelea kupambana kwa siku ya tatu mfululizo na moto mkubwa wa nyika uliosambaa katika maeneo mbalimbali ya kisiwa cha Chios, nchini Ugiriki, baada ya kutangazwa hali ya dharura. Juhudi za kuudhibiti moto huo zimehusisha jumla…

Bei ya mafuta yashuka baada ya Israel, Iran kusitisha mapigano

Bei ya mafuta imeshuka kwa karibu 5% Jumanne baada ya Israel kukubali kusitisha mapigano kati yake na Iran yaliyoendelea kwa karibu wiki mbili. Bei ya kimataifa ya mafuta ghafi ya Brent ilishuka hadi $68 kwa pipa ilakini ikaimarika baada ya…