Category: Kimataifa
Urusi imeshambulia Ukraine usiku kucha
Takriban watu wanane wameuawa katika mfululizo wa mashambulizi ya usiku yaliyofanywa na Urusi kote nchini Ukraine. Haya ndio tunayojua kufikia sasa:
Ufaransa kuipatia Ukraine silaha za nyuklia?
RAIS wa Ufaransa Emmanuel Macron amesema atajadiliana na viongozi wenzake wa Umoja wa Ulaya juu ya kuruhusu kutumiwa silaha zake za Nyuklia kuisadia Ukraine. Katika hotuba yake jana kwa taifa kiongozi Macron pia alizungumzia uwezekano wa kupelekwa wanajeshi wa mataifa…
Urusi yaipongeza Ukraine utayari kumaliza vita
Serikali ya Urusi imeipongeza taarifa ya Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky kuhusu utayari wake wa kuzungumza na Urusi ili kumaliza vita kati ya mataifa hayo mawili. Hata hivyo, Urusi imesema haijajua bado itazungumza na nani kuhusu mchakato huo. Kauli ya…
Canada yaiwekea vikwazo Rwanda
Serikali ya Canada imetangaza vikwazo vya kiuchumi na kisiasa dhidi ya Rwanda, ikisema vikosi vyake vinasaidia kundi la M23 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Canada ilikosoa mauaji na mashambulizi dhidi ya raia, wakimbizi, na vikosi vya Umoja wa…
Papa Francis akumbwa na tatizo la kushindwa kupumua mara mbili
PAPA Francis yuko macho baada ya kukumbwa na matukio mawili ya ‘kushindwa kupumua’ siku ya Jumatatu alasiri, imesema Vatican. Madaktari walilazimika kuingilia kati ili kuondoa kamasi kwenye mapafu ya Papa, imesema taarifa kutoka serikali kuu ya Vatican ya Holy See,…
Trump asitisha misaada yote ya kijeshi ya Marekani kwa Ukraine
Rais wa Marekani Donald Trump amesitisha misaada yote ya kijeshi kwa Ukraine kufuatia mzozo wake na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy wiki iliyopita, amesema afisa wa Ikulu ya White House. “Rais Trump amekuwa wazi kuwa anataka amani. Tunataka pia washirika…