Mafuriko yaua 33 Beijing

Watu waliofariki kutokana na mafuriko katika mji mkuu wa China, Beijing imeongezeka na kufikia 33 wakiwemo waokoaji watano huku watu wengine 18 wakiwa hawajulikani walipo. Mafuriko hayo yalianza Agosti 5, 2023 Magharibi mwa Beijing na kusababisha kuporomoka ya nyumba 59,000 na uharibifu wa nyumba 150,000. Barabara nyingi pia ziliharibiwa, pamoja na madaraja zaidi ya 100,…

Read More

Uingereza kuibeba bendera ya Tanzania kutangaza fursa za uwekezaji, biashara zilizopo sekta ya madini

Wizara ya Madini na Serikali ya Uingereza kupitia Ubalozi wake nchini zimekutana leo Agosti 1, 2023 katika ofisi za Wizara Mji wa Serikali Mtumba Jijini Dodoma ili kujadiliana kuhusu fursa mbalimbali za uwekezaji katika Sekta ya Madini nchini na kuzitangaza kwa wawekezaji kutoka nchini humo. Aidha, mkutano huo umejadili uwezekano wa nchi zote mbili kuwa…

Read More

Madaktari Nigeria waanza mgomo usio na kikomo

Madatari katika hospitali za umma nchini Nigeria wameanza “mgomo na usio na kikomo” kutokana na kile walichokieleza kuwa ni kushindwa kwa serikali kushughulikia malalamishi yao. Madaktari wanaogoma ni asilimia kubwa zaidi ya madaktari katika hospitali za Nigeria. Mgomo wa namna hiyo kwa kawaida huvuruga sana huduma za afya katika hospitali za serikali. Miongoni mwa madai…

Read More

Mchungaji aliyeongoza mazishi ya binti aliyeuawa, ashtakiwa kwa mauji yake

Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA Mchungaji mstaafu wa kanisa la Marekani ambaye aliongoza mazishi ya msichana wa miaka minane aliyetekwa nyara takriban nusu karne iliyopita nyara ameshtakiwa kwa mauaji yake. Gretchen Harrington alitoweka katika kitongoji cha Philadelphia cha mji wa Marple asubuhi ya tarehe 15 Agosti 1975 alipokuwa akihudhuria kambi ya mafunzo ya Biblia ya…

Read More