Category: Kimataifa
Netanyahu: Tutabadili sura ya Mashariki ya Kati
WAZIRI Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesisitiza kwamba kampeni yake dhidi ya Iran “itabadili sura ya Mashariki ya Kati”, wakati nchi hizo mbili zikiendelea kushambuliana vikali kwa siku ya tano. Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesisitiza kwamba kampeni yake…
Israel, Iran zatishiana kufanya uharibifu, mzozo wafukuta zaidi
Israel imefanya wimbi jipya la mashambulizi dhidi ya Iran siku ya Jumapili wakati Tehran nayo ikijibu kwa makombora mapya. Pande zote mbili zimetishia kufanya uharibifu zaidi katika mzozo ambao unaonekana kufukuta zaidi. Mamlaka za Israel zimewaelekeza raia kuelekea kwenye maeneo…
Mameya wa Los Angeles wamtaka Trump kuondowa wanajeshi
Mameya kadhaa wa eneo la Los Angeles wameungana pamoja kuutaka utawala wa Trump kusimamisha uvamizi dhidi ya wahamiaji ambao umeleta wasiwasi na kuchochea maandamano kote nchini Marekani. Mameya hao wakiwa na wajumbe wa mabaraza ya miji walimtaka Trump siku ya…
Marekani yaitaka Rwanda kuondoa majeshi yake Congo kabla ya makubaliano
Marekani inataka makubaliano kati ya Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo kujumuisha Rwanda kuyaondoa majeshi yake kutoka Mashariki mwa Congo kabla pande hizo mbili kutia saini makubaliano ya amani. Duru zinaarifu kuwa rasimu ya makubaliano ya amani inaanisha kuwa…
Iran yatishia kushambulia kambi za Marekani
Waziri wa Ulinzi wa Iran Aziz Nasirzadeh, amesema nchi hiyo itajibu mgogoro wowote utakaotokea iwapo majadiliano ya nyuklia kati ya Jamhuri hiyo ya kiislamu na Marekani yatafeli. Nasirzadeh amesema taifa lake litakuwa tayari kushambulia kambi za kijeshi za Marekani zilizopo…
Ruto alaani kuuwawa mwanablogu mikononi mwa polisi Kenya
Rais wa Kenya William Ruto Jumatano amelaani mauaji ya mwanablogu mmoja nchini humo yaliyotokea katika seli ya Polisi alimokuwa akishikiliwa, tukio lililozusha hasira miongoni mwa Wakenya. Awali polisi ya Kenya ilikuwa imesema kuwa Albert Ojwang, aliyekamatwa kwa chapisho aliloliweka kwenye…