Category: Kimataifa
Wanasayansi wagundua pango la makazi mwezini
Kwa mara ya kwanza wanasayansi wamegundua pango la makazi mwezini. Pango hilo lenye kina cha mita 100, linaweza kuwa mahali pazuri kwa wanadamu kujenga makazi ya kudumu. “Ni moja tu kati ya mamia ya mapango yaliyofichwa katika ulimwengu wa chini…
Auawa katika maandamano ya kumtaka rais wa Kenya kuondoka madarakani
Waandamanaji wanaoipinga Serikali nchini Kenya walirejea barabarani wakiongeza madai ya kumtaka Rais William Ruto ajiuzulu licha ya mabadiliko yake ya hivi majuzi. Mwanamume mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi wakati wa makabiliano kati ya waandamanaji na vikosi vya usalama viungani mwa…
Trump amchagua JD Vance kama mgombea mwenza wake
Donald Trump amemteua Seneta wa Ohio JD Vance kuwa makamu wake wa rais. Wajumbe wa Kongamano la Kitaifa la chama cha Republican walimchagua rasmi Bw Vance, 39, Jumatatu baada ya Trump kutangaza kwenye mtandao wake wa kijamii kuwa amemchagua baada…
Maandamano yarejea tena kudai uwajibikaji Kenya
Maandamano ya amani yamerejea kote nchini Kenya kudai uwajibikaji na kuwakumbuka waliouawa katika wiki tatu za kupinga Mswada wa fedha wa 2024 uliotupiliwa mbali. Hali ni ya wasiwasi katikati ya jiji la Nairobi ambako maduka yamefungwa na idadi ya watu…
Rais Kagame ashinda kwa kishindo matokeo ya awali uchaguzi Rwanda
Rais wa Rwanda Paul Kagame yuko mbioni kuongeza utawala wake wa miaka 24 kwa miaka mingine mitano katika ushindi wa kishindo, huku kura nyingi zikihesabiwa kutoka katika uchaguzi wa Jumatatu. Ana 99.15% ya kura kufikia sasa, na takribani asilimia 79…
Rais wa Shirikisho la Soka Colombia, mtoto wake wakamatwa
RAIS wa Shrikisho la Mpira wa Miguu Colombia(FCF), Ramón Jesurún, na mtoto wake wamekamatwa baada ya kutokea ugomvi wakati wa fainali ya Kombe la Mataifa ya Amerika Kusini’Copa América‘ Julai 14 katika jiji la Miami, Marekani. Ramón, 71, na Ramón…