Jeshi lapindua madaraka Gabon

Maafisa wa jeshi wameonekana kwenye televisheni ya taifa nchini Gabon wakisema wamechukua mamlaka. Walisema wanafuta matokeo ya uchaguzi wa Jumamosi, ambapo Rais Ali Bongo alitangazwa mshindi. Tume ya uchaguzi ilisema Bongo alishinda chini ya thuluthi mbili tu ya kura katika uchaguzi ambao upinzani ulidai kuwa ulikuwa wa udanganyifu. Kupinduliwa kwake kutakomesha familia yake iliyodumu kwa…

Read More

Benki ya Dunia yasitisha mikopo Uganda

Benki ya dunia imetangaza inasitisha mikopo mipya kwa Uganda kutokana na nchi hiyo kupitisha sheria kali dhidi ya watu wa jinsia moja walio katika mahusiano ya kimapenzi. Benki hiyo ilisema sheria hiyo inayoharamisha LGBTQ iliyopitishwa miezi michache iliyopita inakwenda kinyume na misingi na maadili ya benki ya dunia ambayo haibagui yeyote kwa misingi ya jinsia,…

Read More

Mkurugenzi Safaricom ajiuzulu

Aliyewahi kuwa Afisa Mtendaji Mkuu mwanzilishi na baadaye Mkurugenzi wa Bodi ya Kampuni ya Mawasiliano ya Safaricom PLC, Michael Joseph amejiuzulu wadhifa wake, taarifa ya Safaricom imesema uamuzi huo umefanyika Agosti 1. Joseph, ameshiriki kuongoza kampuni hiyo katika nafasi mbalimbali tangu 2000, ikiwa ni pamoja na kuwa Afisa Mtendaji Mkuu mwanzilishi. Pia amehudumu katika nyadhifa…

Read More