Category: Kimataifa
Mahakama Korea Kusini yamrejesha madarakani Han Duck-soo
Mahakama ya Katiba nchini Korea Kusini Jumatatu imetupilia mbali uamuzi wa Bunge wa kumuondoa Waziri Mkuu Han Duck-soo, na kumrudisha rasmi katika wadhifa wake kama kaimu rais. Han alishika nafasi hiyo baada ya Rais Yoon Suk Yeol kuondolewa madarakani kutokana…
Urusi na Ukraine zashambuliana kwa makombora usiku kucha
Wizara ya ulinzi ya Urusi imesema leo kwamba mifumo yake ya ulinzi wa anga imezidungua droni 47 zilizorushwa na Ukraine katika mashambulizi yaliyolenga miji mitano na ambayo yamewajeruhi watu sita. Wizara ya ulinzi ya Urusi imesema leo kwamba mifumo yake…
Israel yaishambulia vikali Lebanon
Israel inasema inawashambulia kwa kuwalenga Hezbollah kusini mwa Lebanon baada ya roketi kurushwa kutoka huko kuelekea Israel kwa mara ya kwanza tangu makubaliano ya kusitisha mapigano kuanza kutekelezwa mnamo Novemba. Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, alisema alikuwa ameagiza Jeshi…
Kongo iko tayari kwa mkataba na Marekani : Tshisekedi
Rais Felix Tshisekedi amesema nchi yake iko tayari kuingia mkataba wa madini na Marekani kwa mabadilishano ya kupatiwa uwezo wa kujilinda dhidi ya makundi ya wapiganaji mashariki mwa taifa hilo. Akizungumza na kituo cha televisheni cha Fox News, Tshisekedi amesema…
Mashambulizi ya Israel yaua watu 70 Gaza
Wapalestina wanaokaribia 70 wameuawa leo na wengine kadhaa wamejeruhiwa katika mashambulizi makali ya anga ya vikosi vya Israel kwenye Ukanda wa Gaza. Mashambulizi hayo yanatajwa kuwa makali tangu utawala mjini Tel Aviv ulipotangaza kurejea kwa operesheni ya kijeshi kwenye eneo…
Umoja wa Ulaya waamua kuongeza matumizi ya ulinzi
Viongozi wa Umoja wa Ulaya walikutana mjini Brussels Alhamisi na kukubaliana kuongeza matumizi ya ulinzi kufikia mwaka 2030, huku wakiafikiana pia kuendelea kutoa msaada zaidi kwa Ukraine. Katika mkutano huo wa kilele mjini Brussels Alhamisi jioni (20.03.2025), viongozi hao wa…