Category: Kimataifa
Trump :Ukraine itahitaji makombora ya Patriot kujilinda
Rais wa Marekani Donald Trump alisema Ukraine itahitaji makombora ya Patriot kwa ajili ya ulinzi wake, baada ya kuzungumza na Rais Volodymyr Zelensky siku ya Ijumaa, na kueleza kukatishwa tamaa na Rais wa Urusi Vladimir Putin kushindwa kusitisha mapigano. Trump…
Trump kukutana na viongozi wa mataifa matano ya Afrika
Rais Donald Trump wa Marekani atakutana na viongozi kutoka mataifa matano ya Afrika mjini Washington wiki ijayo, kujadiliana ‘fursa za kibiashara’ kwa mujibu wa Ikulu ya White House. Trump atakutana na viongozi wa Gabon, Guinea-Bissau, Liberia, Mauritania na Senegal kwa…
Joto kali Ulaya laua, shule zafungwa
WIMBI la joto kali limeikumba sehemu kubwa ya bara la Ulaya, likisababisha shule nyingi kufungwa na vifo vya watu kuripotiwa katika nchi za Uhispania, Ufaransa na Ureno. Katika baadhi ya maeneo ya Uhispania na Ureno, viwango vya joto vimeripotiwa kuvuka…
UN: Mamilioni ya wakimbizi Sudan wanakabiliwa na njaa
Mamilioni ya watu wanaokimbia vita nchini Sudan wanakabiliwa na kitisho kikubwa zaidi cha njaa, wakati wakisaka hifadhi kwenye nchi ambazo tayari zina uhaba wa chakula. Shirika la Mpango wa Chakula Duniani, WFP lilisema siku ya Jumatatu kwamba wakimbizi zaidi ya…
Jeshi la Israel latangaza kutanua operesheni za kijeshi Gaza
Jeshi la Israel limesema jana Jumanne kwamba limetanua operesheni zake kwenye Ukanda wa Gaza siku chache kabla ya ziara ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, mjini Washington. Wakazi wameripoti mapigano makali siku chache kabla ya ziara ya Waziri Mkuu…
Wanajeshi DRC wadungua ndege ya misaada ya kibinadamu Kivu ya kusini
Wanajeshi wa DRC wamedungua ndege ya kusafirisha misaada ya kibinadam katika Mkoa wa Kivu ya Kusini Ndege hiyo inaripotiwa kuwa ilikuwa ikielekea eneo la Minembwe kusafirisha dawa na chakula kwawaadhiriwa wa vita vinavyoendelea Mashariki mwa DRC. Vugu vugu la AFC…