JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Hamas yakaribisha mazungumzo ya kusitisha vita

Shirika la ulinzi wa raia la Gaza limetangaza kuwa operesheni za kijeshi za Israel zimesababisha vifo vya watu 32 katika Ukanda wa Gaza. Kwa mujibu wa msemaji wa shirika hilo jana, Mahmud Bassal, watu wanane wameuawa kwenye mashambulizi mawili yaliyolenga…

Rais Ruto kujenga kanisa kubwa Ikulu

Rais wa Kenya William Ruto amesema anajenga kanisa katika Ikulu jijini Nairobi ambalo atagharamia mwenyewe – na kuongeza kuwa hana sababu yoyote ya kuomba msamaha. “Sitamwomba mtu yeyote msamaha kwa kujenga kanisa. Shetani anaweza kuwa na hasira na anaweza kufanya…

Trump :Ukraine itahitaji makombora ya Patriot kujilinda

Rais wa Marekani Donald Trump alisema Ukraine itahitaji makombora ya Patriot kwa ajili ya ulinzi wake, baada ya kuzungumza na Rais Volodymyr Zelensky siku ya Ijumaa, na kueleza kukatishwa tamaa na Rais wa Urusi Vladimir Putin kushindwa kusitisha mapigano. Trump…

Trump kukutana na viongozi wa mataifa matano ya Afrika

Rais Donald Trump wa Marekani atakutana na viongozi kutoka mataifa matano ya Afrika mjini Washington wiki ijayo, kujadiliana ‘fursa za kibiashara’ kwa mujibu wa Ikulu ya White House. Trump atakutana na viongozi wa Gabon, Guinea-Bissau, Liberia, Mauritania na Senegal kwa…

Joto kali Ulaya laua, shule zafungwa

WIMBI la joto kali limeikumba sehemu kubwa ya bara la Ulaya, likisababisha shule nyingi kufungwa na vifo vya watu kuripotiwa katika nchi za Uhispania, Ufaransa na Ureno. Katika baadhi ya maeneo ya Uhispania na Ureno, viwango vya joto vimeripotiwa kuvuka…

UN: Mamilioni ya wakimbizi Sudan wanakabiliwa na njaa

Mamilioni ya watu wanaokimbia vita nchini Sudan wanakabiliwa na kitisho kikubwa zaidi cha njaa, wakati wakisaka hifadhi kwenye nchi ambazo tayari zina uhaba wa chakula. Shirika la Mpango wa Chakula Duniani, WFP lilisema siku ya Jumatatu kwamba wakimbizi zaidi ya…