Category: Michezo
CRDB Foundation yatoa zaidi ya milioni 400 kuibua vipaji Ndondo Cup 2026, bingwa kuvuna milioni 30 na safari ya AFCON
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam CRDB Foundation imezindua rasmi msimu wa 13 wa mashindano ya mpira wa miguu ya iMbeju Ndondo Cup 2026 kwa kutenga zaidi ya shilingi milioni 400 kwa ajili ya uendeshaji wa mashindano hayo na zawadi…
Zawadi Ligi ya Muungano kuboreshwa
Na Mwandishi Wetu, Unguja Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amesema msimu ujao wa Ligi ya Muungano utaboreshwa zaidi ikiwa pamoja na zawadi kwa bingwa ili kuipa hadhi ya kipekee ligi hiyo. Amesema…
Wanamichezo wa kimataifa kushawishi uwekezaji nchini
Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bw. Gerson Msigwa amesema kuwa ujio wa wanamichezo wa kimataifa nchini Tanzania akiwemo Mchezaji na Nahodha wa zamani wa Klabu ya Manchester United na timu…
Chalamila awahidi Dar City milioni 50/- wakiitoa Petro de Luanda
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ameahidi kutoa kitita cha shilingi milioni 50 kwa timu ya Basketball ya Dar City Club iwapo itaibuka na ushindi katika hatua ya robo fainali…
Maandalizi usiku wa tuzo za BMT kwa wanamichezo bora msimu wa 4 2025 yafikia asilimia 90
Maandalizi ya utoaji tuzo za wanamichezo bora waliofanya vizuri mwaka 2025 zinazotolewa na Baraza la Michezo la Taifa (BMT) yamefikia 90% ambapo shughuli hiyo itafanyika katika ukumbi wa The Super Dome Masaki, tarehe 9 Mei, 2026 kuanzia saa 12 jioni….
Rais Samia akutana na Didier Drogba Ikulu Chamwino
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mshambuliaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Ivory Coast na Timu ya Chelsea ya Uingereza Didier Drogba mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino…





