TASWA Media Day bonanza kufanyika Desemba 9,2023

Tamasha maalum kwa ajili ya wadau mbalimbali kutoka vyombo vya habari ‘TASWA Media Day Bonanza’ linatarajiwa kufanyika Desemba 9, 2023. Lengo la bonanza hilo linaloandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) ni kuwaweka pamoja kubadilishana mawazo na kufurahi, waandishi wote wa habari bila kujali ni wa siasa, michezo, uchumi, afya na mambo…

Read More

Waziri Mkuu awahamasisha wananchi kushiriki katika michezo

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka wananchi kwenye maeneo mbalimbali nchini washiriki katika michezo kwa kuwa michezo ni ajira, uchumi na huimarisha afya. “Tunapa faida nyingi kwa kufanya michezo, tushiriki katika michezo pamoja na kukimbia riadha kwa kuongeza vipaji tulivyonavyo kwani tukishindana tunapata na zawadi. Michezo ni uchumi. “ Mheshimiwa Majaliwa ameyasema hayo leo (Jumamosi, Septemba…

Read More