JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Hemed: CRDB Marathon yaendelea kuokoa maisha ya Watanzania

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, ameongoza Mbio za Hisani za CRDB Bank International Marathon zilizofanyika katika Viwanja vya Posta Kijitonyama, Dar es Salaam, kwa lengo la kusaidia…

TASWA kuzindua kampeni ya ‘AFCON Kitaa 2027’ kuelekea fainali za Afrika

CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) kimetangaza rasmi kuanzisha kampeni maalum inayojulikana kama ‘AFCON Kitaa 2027’, inayotarajiwa kuzinduliwa rasmi Oktoba 30, 2026 jijini Dar es Salaam. Kampeni hiyo imelenga kuhamasisha wanataaluma ya habari pamoja na wananchi wote…

Chatila afunguka mipango ya kuibadili Ujenzi Sports Club

Na Mtemi Sona, Dodoma Mwenyekiti wa Ujenzi Sports Club, Arch. Ibrahim Chatila, amesema uongozi mpya umejipanga kuijenga timu hiyo kuwa ya kisasa, imara na yenye ushindani mkubwa katika mashindano yote itakayoshiriki. Akizungumza kuhusu mikakati ya kuiboresha klabu hiyo iliyo chini…

Waziri Chongolo asifu uwekezaji uwanja wa AFCON, ahimiza wananchi fursa za AFCON 2027

Waziri wa Kilimo na Mlezi wa Kiserikali wa Mkoa wa Arusha Mhe. Daniel Godfrey Chongolo amesema kazi kubwa inayoendelea kufanyika katika mradi wa ujenzi wa Uwanja wa michezo Jijini Arusha unaotarajiwa kutumika kwenye Michuano ya Soka ya AFCON 2027 ni…

Uhispania yashinda Kombe la Dunia 2026

Uhispania imeshinda Kombe la Dunia 2026 kwa kuwabamiza mabingwa watetezi timu ya soka ya Argentina bao 1-0. Mshambuliaji Ferran Torres ndiye ameifungia Uhispania bao la pekee lililowapa ushindi na kunyakua Kombe la Dunia kwa mara ya pili katika historia. Mchezo…

Tanzania ipo tayari kuelekea AFCON 2027

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Tanzania ipo tayari kwa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) ikiwa mwenyeji kwa kushirikiana na Kenya na Uganda ambapo maandalizi yamefikia hatua nzuri kwa kuzingatia viwango vya Shirikisho la Mpira wa Miguu…