Category: Michezo
Maandalizi usiku wa tuzo za BMT kwa wanamichezo bora msimu wa 4 2025 yafikia asilimia 90
Maandalizi ya utoaji tuzo za wanamichezo bora waliofanya vizuri mwaka 2025 zinazotolewa na Baraza la Michezo la Taifa (BMT) yamefikia 90% ambapo shughuli hiyo itafanyika katika ukumbi wa The Super Dome Masaki, tarehe 9 Mei, 2026 kuanzia saa 12 jioni….
Rais Samia akutana na Didier Drogba Ikulu Chamwino
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mshambuliaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Ivory Coast na Timu ya Chelsea ya Uingereza Didier Drogba mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino…
Kuelekea AFCON 2027 Wizara ya habari yaweka vipaumbele kuimarisha sekta
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imeweka wazi vipaumbele vyake kwa mwaka wa fedha 2026/27, vikilenga kuimarisha miundombinu ya sekta, kukamilisha maandalizi ya mashindano ya AFCON 2027 pamoja na kukuza Kiswahili kimataifa. Akiwasilisha bungeni makadirio…
Polisi tayari kuwavaa Songea United
Kikosi cha Polisi Tanzania kimeendelea na Maandalizi kabambe kuwakabili Songea United katika mchezo wa Ligi ya Championship utakaochezwa Jumamosi Mei 2, 2026 katika uwanja wa Ushirika – Moshi mkoani Kilimanjaro. Afisa habari wa kikosi hicho, Inspekta Frank Lukwaro amesema maandalizi…
TCDC Sports Club yaonyesha ubora katika ushindi wa 4-2 dhidi ya mashtaka
Timu ya Mpira wa Miguu ya Mashtaka imeshindwa kuonesha ubabe wake baada ya kukubali kichapo cha mabao 4-2 kutoka kwa TCDC Sports Club katika mechi ya kirafiki iliyochezwa kwenye Uwanja wa Venite, Mji Mwema mkoani Njombe. Katika mchezo huo uliokuwa…
CP Awadhi akagua miundombinu ya uwanja wa AFCON Arusha
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi (CP) Awadh Juma amefika Jijini Arusha kwa ajili ya kufanya ukaguzi wa miundombinu pamoja na mifumo ya kiusalama katika uwanja unaojengwa kwa ajili ya mashindano ya Mataifa ya Afrika (AFCON). Katika…





