Paccome aitwa timu ya Taifa Ivory Coast
Na Isri Mohamed Shirikisho la Soka la Ivory Coast limetangaza kumuita kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua kwenye kikosi cha timu yao ya Taifa. Paccome ameitwa kuchukua nafasi ya kiungo mkabaji wa Nottingham Forest Ibrahim Sangare ambaye amepata majeraha. Ivory Coast itacheza mechi za kirafiki mbili, dhidi ya Benin Machi 23 na dhidi ya Uruguay…