JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Msafara wa wachezaji wawasili Paris kushiriki Olympic

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kundi la kwanza la Timu ya Tanzania itayoshiriki Michezo ya Olimpiki nchini Ufaransa limewasili salama jijini Paris asubuhi ya jana. Kundi hilo la kwanza lina waogeleaji wawili, Sophia Anisa Latiff na Collins Phillip…

Aisha Masaka atua Ligi Kuu wanawake England

Mchezaji wa mpira wa miguu wa wanawake wa Tanzania Aisha Masaka amejiunga na klabu ya Brighton & Hove Albion ya Ligi Kuu England. Brigton @ Hove Albion imemtambulisha Aisha kupitia mitandao yake na kijamii. “Tunafurahia kutangaza usajili wa mshambuliaji Aisha…

Mahakama yaamuru Hersi na wenzake wang’oke Yanga

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam, imeamuru Uongozi wa klabu ya Yanga ukiongozwa na Rais wake, Injinia Hersi Saidi na wenzake, kuachia ngazi na kuondoka kwenye klabu hiyo kwakuwa Katiba…

Matembezi ya utulivu rasmi kufanyika Julai 20

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taasisi isiyo ya kiserikali ya ”Utulivu” kwa kushirikiana na Wizara ya Utamaduni, Sanaa na michezo inatarajia kuendesha matembezi maalum ya Utulivu mwishoni mwa wiki hii. Akizungumza katika mkutano na wanahabari mapema leo hii…

Arusha yaibuka Kinara katika raundi ya tatu ya mashindano ya Gofu ya Lina PG Tour

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkoa wa Arusha umeibuka kinara wa jumla wa raundi ya tatu ya mashindano ya gofu ya Lina PG Tour baada ya wawakilishi wake Nuru Mollel kushika nafasi ya kwanza na Elisante Lemeris kushika…

‘Wasiotimiza vigezo vya uwanja bora, wawekeni pembeni’

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameiagiza Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) kutoa masharti kwa klabu zinazomiliki viwanja vya michezo kufikia vigezo vya ubora vitakavyoainishwa na shirikisho hilo ili kufanikiwa zaidi katika sekta ya michezo na kuagiza wasiotimiza kuwekwa pembeni….