Category: Michezo
CP Awadhi akagua miundombinu ya uwanja wa AFCON Arusha
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi (CP) Awadh Juma amefika Jijini Arusha kwa ajili ya kufanya ukaguzi wa miundombinu pamoja na mifumo ya kiusalama katika uwanja unaojengwa kwa ajili ya mashindano ya Mataifa ya Afrika (AFCON). Katika…
Tuzo za BMT wanamichezo bora 2025 kutolewa Mei 9, tuzo ya mwanahabari nguli ipo
Na Mwandisho Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Baraza la Michezo la Taifa (National Sports Council Sports Awards 2025) ambazo hutolewa ili kutambua mchango wanamichezo bora nchini mwaka huu zitatolewa Mei 9, 2026 katika ukumbi wa ‘The Super Dome Masaki’ uliopo…
Serikali yasisitiza michezo ni nguzo ya afya na ufanisi kazini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Serikali imesisitiza umuhimu wa michezo kwa wafanyakazi kama sehemu muhimu ya kuimarisha afya na kuongeza ufanisi mahali pa kazi. Wito huo umetolewa na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe.Rahma…
Ofisi ya Makamu wa Rais kufungua pazia Mei Mosi na Wizara ya Maji
Timu ya Mpira wa Pete (Netball) ya Ofisi ya Makamu wa Rais inatarajia kufungua pazia la Michezo ya Mei Mosi, 2026 kwa kuumana na Timu ya Wizara ya Maji tarehe Aprili 16 mwaka huu. Ratiba iliyotolewa Aprili 15, 2026 na…





