Category: Michezo
Gwiji wa zamani wa ngumi George Foreman afariki dunia
Bondia maarufu wa zamani wa ngumi za uzito wa juu George Foreman amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 76, kwa mujibu wa taarifa ya familia yake. Familia yake iliandika kwenye Instagram Ijumaa usiku: “Mioyo yetu imevunjika.”Mhubiri mwenye imani kubwa,…
Mabingwa Lina PG Tour 2024 kushuka dimbani kesho, michuano ya gofu Dubai
Na Mwandishi Wetu WACHEZAJI watatu bora wa mashindano ya gofu ya Lina PG Tour 2024 wapo katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) jijini Dubai kwa ajili ya kushiriki mashindano ya kimataifa ya Clutch Tour Tier 1 yanayoanza kutimua vumbi…
Simba yaifanyia umafia Dodoma Jiji, yainyuka 6 -0
Timu ya Klabu ya Simba imeibuka na ushindi wa mabao 6-0 dhidi ya Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo a Uwanja wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, KMC Complex, Mwenge, Dar…
Mchezaji wa gofu wa klabu ya Gymkhana aibuka bingwa michuano ya Lina PG Tour
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MCHEZAJI wa gofu wa kulipwa kutoka klabu ya Gymkhana Dar es Salaam, Fadhili Nkya ameibuka bingwa katika michuano ya Lina PG Tour yaliyofanyika katika viwanja vya gofu vya Gymkhana, Morogoro jana. Michuano hiyo…
RT yafanya marekebisho ya usimamizi wa mchezo wa riadha nchini
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Mwanza Mkutano maalumu wa marekebisho ya katiba ya Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) umefanyika jijini Mwanza kwa kuhusisha wadau mbalimbali wa michezo na viongozi wa Riadha kutoka mikoa zaidi ya 20 ya Tanzania Bara. Lengo kuu…
Lina PG Tour msimu wa pili yaanza kulindima leo, wachezaji 122 wajitokeza kushiriki
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WACHEZAJI takribani 122 wamejiandikisha kushiriki mashindano ya Lina PG Tour msimu wa pili yanayoanza kutimua vumbi leo katika Viwanja vya gofu vya Gymkhana mkoani Morogoro. Mashindano hayo ambayo kwa mara ya kwanza yalifanyika…