JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Simba yapangwa na CS Sfaxien, CS Costantine na Bravos makundi CAFCC

Na Isri Mohamed Droo ya makundi ya Kombe la Shirikisho barani Afrika 2024/25 imefanyika leo na klabu ya Simba imepangwa kwenye Kundi A pamoja na CS Sfaxien ya Tunisia, CS Constantine ya Algeria na Fc Bravos ya Angola. KUNDI A…

JKT Queens yafanya mauaji Ngao ya Jamii

Klabu ya JKT Queens imetinga fainali ya Ngao ya Jamii wanawake 2024 baada ya kuikanda Ceasia Queens mabao 7-0. Mchezo huo wa kwanza wa nusu fainali Ngao ya Jamii wanawake umefanyika wenye uwanja wa KCM, Dar es Salaam. Kwa ushindi…

Tamasha la mitindo nchini Labeba taswira mpya

Na Lookman Miraji Tamasha la mitindo la kitanzania lijulikanalo kama Tanzania Fashion Festivals (TAFF) limechukua taswira taswira mpya mara baada ya kufanyika kwake mwishoni mwa wiki iliyopita. Tamasha hilo lilifanyika jumamosi iliyopita ya septemba 28 mwaka huu katika ukumbi wa…

Mbwana Samatta arejeshwa Taifa Stars

Na Isri Mohamed Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Tanzania, Mbwana Samatta ameitwa tena katika kikosi cha timu ya taifa kitakachoingia kambini Oktoba 4, mwaka huu kwa ajili ya kujiandaa na mchezo dhidi ya DR Congo wa kufuzu AFCON. Akizungumza…

Viongozi vyama vya michezo waaswa kiwasilisha hesabu za fedha kwa msajili BMT

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar esSm Salaam Viongozi wa vyama na mashirikisho ya michezo nchini wameaswa kuwasilisha hesabu za fedha kwa msajili ambapo ni kwa mujibu wa sheria zilizowekwa na baraza la michezo la taifa. Akizungumza Septemba 30,2024 katika ofisi…

Mtoto Mtanzania ashinda tuzo ya Ballon D’or

Na Isri Mohamed Mtoto Mtanzania Barka Seif ameandika rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kushinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka Ballon D’or of the Champions Dream nchini Hispania. Barka anayekipiga kwenye Academy ya vijana ya CF Damm, ameshinda tuzo…