Category: Michezo
Simba mmeipa heshima nchi yetu – Rais Samia
Repost from @samia_suluhu_hassan•Pongezi za dhati kwa Klabu ya Simba kwa ushindi katika mchezo wa Mashindano ya Kombe la Shirikisho la Soka Afrika (CAF Confederation Cup), na kuandika historia ya kufika fainali ya mashindano haya. Mmeipa nchi yetu heshima kubwa. Nawatakia…
Makamu wa Rais aweka jiwe la msingi ujenzi wa viwanja vya michezo va Priz Zanzibar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Serikali zote mbili chini ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi zimedhamiria kufanya mageuzi makubwa katika Sekta ya Michezo kwa kujenga…
Rais Samia ampongeza Alphonce kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania
Repost from @samia_suluhu_hassan•Pongezi za dhati kwa Alphonce Simbu kwa kushika nafasi ya pili katika Mashindano ya Kimataifa ya Mbio ya Boston (Boston Marathon). Umefanya kazi nzuri. Ushindi wako ni matokeo ya kujituma kwa bidii, maandalizi mazuri, nidhamu yako kuanzia jeshini,…
NMB yakabidhi vifaa vya michezo vya milioni 19 kwa timu za JWTZ
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam JESHI la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limeishukuru Benki ya NMB kwa namna inavyojitoa kuunga mkono Sekta ya Michezo ndani ya jeshi hilo, kwa kufadhili na kuwezesha ushiriki wa Timu za Majeshi katika michuano…
Yanga yaichapa Stand United 8-1, yatinga nusu fainali Kombe la Shirikisho
Mabingwa Watetezi, Yanga SC imefanikiwa kuingia hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya CRDB baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 8 -1 dhidi ya Stand United katika…