JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Wema Sepetu: Ipo haja ya wasanii kurudi shule, wampa tano Rais Samia

Mwigizaji na Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu amesema kuna haja ya wasanii kurudi shuleni, ili kuongeza ujuzi na maarifa yatakayowasaidia kuboresha kazi zao za filamu. Pia amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kufikiria kufanya mabadiliko makubwa katika sekta hiyo na…

Mashindano ya Gofu ya kumuenzi Lina Nkya kuendelea leo Arusha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Baada ya Morogoro mwezi Aprili mwaka huu sasa ni zamu ya Arusha katika viwanja vya Gymkana ambapo mashindano ya Gofu kwa ajili ya kumuenzi mchezaji wa zamanı wa timu ya taifa ya wanawake…

Mchezaji wa zamani wa Klabu ya Simba John Bocco kuichezea JKT

Na Magrethy Katengu–Jamuhuri media Dar es salaam JKT Tanzania Wamesajili wachezaji akiwemo aliyechezea zamani wa klabu ya Simba John Raphael Bocco kwani alikuwa huru na wanaimani kupitia kiwango chake timu itafika mahali pazuri kwa kupata kombe au kuwa katika nafasi…

Aziz Ki bado yupo sana kwa wananchi

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam BAADA ya gumzo la muda mrefu kila mmoja kiazungumza lake, hatimaye Klabu ya Yanga leo Julai 10, 2024 imethibitisha rasmi kuwa mchezaji wao Aziz Ki bado ataendelea kusalia klabuni kwako. Baada tu ya…

John Bocco atambulishwa JKT Tanzania

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Aliyekuwa mshambuliaji wa Simba, John Bocco ametambulishwa kuwa mshambuliaji wa Klabu ya JKT Tanzania. Bocco ambaye ndiye kinara wa mabao katika Ligi Kuu ya Tanzania tayari ameshaanza mazoezi na klabu yake mpya tayari…