Mkutano Mkuu wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani kuanza Februari 12, nchi 140 kuhudhuria nchini
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Francis Mbindi ameeleza kuwa Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa 79 wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM),litakalo husisha nchi wanachama 140 kutoka mabara yote duniani. Aidha katika mkutano huo ujio…