Category: Burudani
Uzinduzi vijana platform yapamba moto Kigamboni
– Vijana Usipime-Waziri Nanauka apongezwa kuasisi Vijana platform-Uzalendo watawala kuelekea mapokezi ya Mwenge wa Uhuru Kigamboni MC. Na Byarugaba Innocent, DSM Mamia ya Vijana kutoka pande zote za Manispaa ya Kigamboni Jijini Dar es Salam wameshiriki kwenye kongamano la Vijana…
Waziri Kijaji ampokea Braydon Bent, atimiza ndoto yake ya kutembelea Tanzania
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) amempokea shabiki mashuhuri wa klabu ya Manchester City ya Uingereza Braydon Bent ambaye ametimiza ndoto yake ya siku nyingi ya kuitembelea Tanzania na kujionea vivutio mbalimbali ikiwemo Serengeti na Mlima Kilimanjaro….
Mwakinyo amchapa Mnigeria kwa KO
Bondia wa Kimataifa Mtanzania, Hassan Mwakinyo amefanikiwa kuibuka mshindi wa pambano lake dhidi ya mpinzani wake Mnigeria, Stanley Eribo katika raundi ya pili tu. Katika pambano hilo lililopigwa katika dimba la Warehouse Masaki, Dar es Salaam ambako zimepigwa ngumi haswa,…
Sergio Ramos aachia wimbo wake wa kwanza ‘Cibeles’
Mchezaji wa zamani wa Real Madrid, Sergio Ramos, ameingia rasmi kwenye muziki kwa kuachia wimbo wake wa kwanza wa solo uitwao “Cibeles”, uliozinduliwa Agosti 31, 2025. Wimbo huu unaelezea kumbukumbu zake na upendo kwa Real Madrid, klabu aliyotumikia kwa miaka…
Wataka mbio za Great Ruaha Marathon ziwe za kimataifa
Na Mwandishi Wetu Wadau wa sekta ya utalii, mazingira na maendeleo ya jamii wameitaka Serikali na mashirika ya kimataifa kuweka msukumo maalumu kuhakikisha mbio za Great Ruaha Marathon zinapandishwa hadhi na kuwa tukio la kimataifa. Hatua hiyo imeelezwa itasaidia kuitangaza…
P Diddy aendelea kusota rumande hadi Oktoba 3
MSANII mashuhuri wa muziki wa hip-hop, Sean Diddy Combs maarufu kama P Diddy, ameendelea kusalia rumande baada ya Jaji Arun Subramanian wa Mahakama ya Shirikisho kumkatalia dhamana, licha ya kupunguziwa baadhi ya mashtaka. Combs alikutwa na hatia ya kujihusisha na…





