JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Burudani

Wataka mbio za Great Ruaha Marathon ziwe za kimataifa

Na Mwandishi Wetu Wadau wa sekta ya utalii, mazingira na maendeleo ya jamii wameitaka Serikali na mashirika ya kimataifa kuweka msukumo maalumu kuhakikisha mbio za Great Ruaha Marathon zinapandishwa hadhi na kuwa tukio la kimataifa. Hatua hiyo imeelezwa itasaidia kuitangaza…

P Diddy aendelea kusota rumande hadi Oktoba 3

MSANII mashuhuri wa muziki wa hip-hop, Sean Diddy Combs maarufu kama P Diddy, ameendelea kusalia rumande baada ya Jaji Arun Subramanian wa Mahakama ya Shirikisho kumkatalia dhamana, licha ya kupunguziwa baadhi ya mashtaka. Combs alikutwa na hatia ya kujihusisha na…

Harmonize: Inahuzunisha sana, nimemuachia Mungu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tangu kuibuka kwa sakata la msanii Ibraah kutaka kujiondoa katika lebo ya Konde Gang, kwa mara ya kwanza Mkurugenzi na Mwanzilishi wa Lebo hiyo, Rajab Abdul ‘Harmonize’ amerekodi video fupi akieleza vitu vingi…

Mwanamuziki wa injili Rehema Simfukwe atoboa siri sababu kutunga wimbo wa Chanzo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MWANAMUZIKI maarufu katika Muziki wa Injili nchini Rehema Simfukwe amevunja ukimya kwa mara ya kwanza kwa kuamua kutoa sababu za kutunga wimbo wa Chanzo ambao umekuwa ukipendwa na kuvuta hisia za watu wengi…

Bondia Mandonga atoa shukrani za dhati kwa Rais Samia kuuona mchezo wa ngumi

Na Magrethy Katengu,JamuhuriMediaDar es Salaam BONDIA wa ngumi maarufu nchini Karim Mandonga amemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa moyo wake wa upendo kuunga mkono mchezo wa ngumi na kuanza akitoa zawadi kwa washindi wa mapambano mbalimbali ili kuwapatia hamasa….

Mshindi wa mashindano ya Gofu ya Lina PG Tour kujulikana kesho kutwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAPENZI wa mchezo wa Gofu nchini watakusanyika Jumapili Desemba 22, 2024 viwanja vya Dar Gymkhana ili kumjua mshindi wa mashindano ya gofu ya Lina PG Tour ambayo yana lengo la kumuenzi mchezaji wa…