
Tuzo za ZIFF 2023 kutolewa leo
Na Andrew Chale, JamburiMedia, Zanzibar WAZIRI wa Nchi Ofisi wa Makamu wa pili wa Rais, Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi Hamza Hassan Juma anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika usiku wa tuzo za Tamasha la Filamu la Kimataifa la Nchi za Jahazi [ZIFF] kwa mwaka 2023. Kwa mujibu wa Mtendaji Mkuu wa Tamasha hilo la…