JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Burudani

Ibaada ya kumuaga Costa Titch yaahirishwa

Na Mwandishi wetu, JAMHURI MEDIA Ibada ya kumbukumbu ya Mwanamziki Constantinos Tsobanoglou maarufu “Costa Titch” aliyefariki jukwaani, iliyotarajiwa kufanyika Alhamisi Machi 16, 2023 imeahirishwa. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na familia ya mwanamuziki huyo imeelezwa kuwa, kuchelewa huko kumetokana na…

Wiki ya Sanaa ya ‘Tukutanae Dar’ kuanza rasmi Februari Mosi

Na Mussa Augustine,JamhuriMedia Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), kwa kushirikiana na Taasisi ya Nafasi Arts Space linatarajia kufanya toleo la pili la wiki ya sanaa lijulikanalo kama”Tukutane Dar” kuanzia Februari 1 hadi 5 mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa…

Diamond Platnumz atangaza kuhamia Yanga

Nasibu Abdul maarufu Diamond Platnumz ambaye ni msanii wa Bongo Fleva nchini,ametangaza kuhamia timu ya Yanga SC amedai kumfuata msemaji Haji Manara. Awali Diamond alikuwa akishabikia Simba SC kabla ya Manara kuondoka kwa wekundu hao wa Msimbazi. Katika sherehe ya…

Waitara azindua ujenzi wa uwanja wa gofu wa kimataifa Serengeti

Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) Jenerali (Mstaafu) George Mwita Waitara ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa uwanja wa gofu ambao umebea jina la SERENGETI NATIONAL PARK GOLF COURSE wa kipekee duniani…

Rais Samia amwaga mamilioni kwa wasanii

Jumla ya shilingi milioni 170 zimetolewa katika mkupuo wa kwanza ambapo msanii wa chini amepata shilingi milioni 20 na wa juu amekopeshwa kiasi cha shilingi milioni 50. Akikabidhi hundi hizo Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo,Mohamed Mchengerwa amewataka wasanii na…

Dulla Makabila kikaangoni BASATA

Msanii wa Singeli, Dulla Makabila ametakiwa kufika Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ili kujadili wimbo wake mpya uitwao ‘Pita Huku’ ambao kwa sasa unafanya vizuri kwa kuwa na watazamaji wengi katika mtandao wa YouTube. Makabila amepata barua wito huo…