JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Burudani

Tuzo za ZIFF 2023 kutolewa leo

Na Andrew Chale, JamburiMedia, Zanzibar WAZIRI wa Nchi Ofisi wa Makamu wa pili wa Rais, Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi Hamza Hassan Juma anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika usiku wa tuzo za Tamasha la Filamu la Kimataifa la Nchi…

Mandonga atambulisha ngumi yake mpya ya ‘Kingugi’

Na Eleuteri Mangi Bondia machachari Karim Said maarufu Mandonga Mtu kazi ametembelea banda la Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo ambapo ametangaza ngumi mpya iitwayo ‘Kingugi’ anayotarajia kuitumia kwenye mchezo wa marudiano na Bondia Daniel Wanyonyi kutoka Kenya. Mandonga ametangaza…

Prof.Lumumba awataka wasanii vijana kutumia Jukwaa la ZIFF katika ubunifu wa filamu

Na Andrew Chale, JamhuriMedia, Zanzibar. MWANAMAJINUNI wa Afrika, Profesa Patric Loch Otieno Lumumba ambaye pia akifahamika kama Prof. PLO Lumumba ametoa rai kwa sanii Vijana wa Afrika hususani Afrika Mashariki kutumia jukwaa la tamasha la Nchi za Jahazi (ZIFF) katika…

Sekta ya filamu nchini inapiga hatua kubwa Afrika

Na Eleuteri Mangi, WUSM, Dar es Salaam Serikali inaendelea kushirikiana na wadau wa sekta ya filamu nchini kupitia Mfuko wa Utamaduni na Sanaa Tanzania  ambao miongoni mwa wanufaika wa mfuko huo ni wasanii wa filamu ili kuboresha kazi zao  ziwe…

Mwijuma aikabidhi Yanga Kombe la Shirikisho la Azam Sports

Na Eleuteri Mangi, JamhuriMedia,Tanga Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamis Mwinjuma ameikabidhi Klabu ya Yanga Kombe la Shirikisho la Azam Sports mara baada ya kuifunga timu ya Azam kwa kwa 1-0. Finali hiyo imeikutanisha miamba hiyo ya soka…

JK akutaka na wanariadha Watanzania mjini Boston, Marekani

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amekutana na wanariadha Gabriel Geay na Wence Tarimo walioshiriki katika Mashindano ya Marathon yaliyofanyika Boston, Marekani Aprili 17, mwaka huu.  Gabriel Geay aliibuka mshindi wa pili katika mashindano hayo Rais Mstaafu amempongeza Gabriel Geay…