Category: Burudani
Bongo movie watia neno kuelekea usiku wa Mafia Boxing
Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Sakaam Wasanii kutoka katika kiwanda cha filamu nchini Bongo movie wametoa mitazamo yao kuelekea siku ya tarehe 26 disemba ambapo kutashuhudiwa mfululizo wa mapambano ya ngumi. Usiku huo uliopewa jina la “Knockout ya mama”…
Millen Magese amkabidhi milioni 3 mwanamitindo bora wa Samia Fashion Festival Zanzibar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MWANAMITINDO wa Kimataifa Millen Happiness Magese amekabidhi kitita cha Sh.milioni tatu kwa Mwanamitindo Elizabeth Masuka aliyeibuka mshindi wa Samia Fashion Festival Zanzibar mwaka 2024. Millen Happiness Magese aliyekuwa Jaji Mkuu wa Samia Fashion…
Tamasha la Utalii siku tatuA (Mafia Idland Festival) lafunguliwa leo
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mafia Tamasha la Utalii lijulikanalo kama “Mafia Island Festival” limefunguliwa rasmi leo Desemba 6, 2024 na mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Rashid Mchatta ambaye ni mgeni rasmi wa Tamasha hilo litakalodumu kwa siku tatu….
Muleba mwenyeji Tamasha la Boxing Desemba 26
Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tamasha maarufu la mchezo wa ngumi ambalo hufanyika kila disemba 26 ya mwaka husika katika miaka ya karibuni lijulikanalo kama Boxing Derby linatarajiwa kufanyika mwaka huu wilayani Muleba mkoani Kagera. Tamasha hilo ambalo…
Mwanamitindo Mellen kuongoza Tamasha la Mitindo la Samia
Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwanamitindo wa Kimataifa wa Tanzania Mellen Magese ametangazwa kuwa jaji mkuu wa Tamasha la Samia Fashion Festival litakalofanyika Novemba 30 mwaka huu visiwani Zanzibar. Akizungumza mara baada ya kutangazwa kuwa Jaji Mkuu wa…
Sho Madjozi atangaza rasmi kuacha muziki
Na Isri MohamedRapa wa kike kutoka Afrika Kusini, Sho Madjozi ametangaza rasmi kuachana na muziki mara tu baada ya kuachia albamu yake. Sho Madjozi amethibitisha hilo akiwa kwenye mahojiano na kituo cha SABC News Online, ambapo amesema. “Ndio naachana na…