
Ibaada ya kumuaga Costa Titch yaahirishwa
Na Mwandishi wetu, JAMHURI MEDIA Ibada ya kumbukumbu ya Mwanamziki Constantinos Tsobanoglou maarufu “Costa Titch” aliyefariki jukwaani, iliyotarajiwa kufanyika Alhamisi Machi 16, 2023 imeahirishwa. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na familia ya mwanamuziki huyo imeelezwa kuwa, kuchelewa huko kumetokana na baadhi ya mashabiki waliopewa jina la “Titch Gang”, ndani na nje ya Afrika Kusini kushindwa…