JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Fahamu mabaraza ya vijana, ushawishi wake

Na Hassan Msellem , JamhuriMedia, Pemba Mabaraza ya vijana yalianza mwaka 1948 nchini Urusi. Lengo la kuanzishwa kwake ni kuwaunganisha vijana wa maeneo mbalimbali ili kutambuana na kuwa wazalendo wa taifa lao hasa pale inapobidi kulitetea dhidi ya adui, ikizingatiwa…

Mikataba ya kibiashara ikuze uchumi, makusanyo ya ndani

Na Baraka Jamali, JamburiMedia, Mtwara Mikataba ya biashara na kodi kati ya nchi moja na nyingine inachukua nafasi muhimu ya kuimarisha uhusiano wa kiuchumi. Kimsingi, mikataba hiyo ina lengo la kupunguza mzigo wa kodi kwa wawekezaji wa kigeni na kuhamasisha…

Misamaha, unafuu wa kodi chanzo mapato ya ndani kupotea

Na Gerald Malekela, JamhuriMedia, Iringa Katika juhudi za kukuza uchumi, Tanzania imekuwa ikitarajia sera na mikakati mbalimbali kwa ajili ya kuongeza pato la taifa. Miongoni mwa mikakati hiyo ni utoaji wa misamaha au unafuu wa kodi na juhudi za kuongeza…

Sekta ya viwanda na uwekezaji yapaa Pwani

*Mkoa waweka alama kujibu kwa vitendo katika sekta ya viwanda *Kati ya viwanda 1,535, viwanda 131 vimejengwa kipindi cha Rais Dk Samia Na Mwamvua Mwinyi, JakhuriMedia, Pwani AJENDA ya kuleta Mapinduzi kwenye sekta ya Viwanda nchini, inazidi kushika kasi ambapo…

Afya kwa vijana ilivyopunguza magonjwa ya ngono Morogoro

Na Irene Mark, JamhuriMedia, Morogoro “UKISIKIA Mzazi anamwambia kijana wake ‘mleke huyo kokudanila’ hicho ni Kiluguru maana yake mwache huyo anakudanganya, hapo Mtoa Huduma za Afya ngazi ya Jamii sina cha kumwambia huyo kijana akanielewa. …Na hiyo ilikuwa sababu ya…

UDSM, OSLO ilivyodhamiria kupunguza mtanziko katika utoaji huduma za afya nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya KATIKA mfumo wa afya wa Tanzania, watoa huduma za afya wanakutana na changamoto nyingi za kimaadili wakati wa kufanya maamuzi ya kutibu wagonjwa. Changamoto hizi, ambazo mara nyingi huleta mitanziko (dilemma), zinaweza kusababisha vifo kwa…