Uzazi wa mpango ni uwekezaji wenye faida endelevu
Na Stella Aron, JamhuriMedia Uzazi wa mpango ni muhimu kwa maendeleo ya Tanzania, huokoa maisha kwa kusaidia kupunguza magonjwa ya kina mama na vifo, na kuongeza viwango vya kuishi kwa watoto wachanga na watoto. Serikali ya Tanzania inatambua hitaji la kushughulikia ongezeko la kasi ya idadi ya watu; hata hivyo, uhaba wa fedha, rasilimali watu,…