JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

UDSM, OSLO ilivyodhamiria kupunguza mtanziko katika utoaji huduma za afya nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya KATIKA mfumo wa afya wa Tanzania, watoa huduma za afya wanakutana na changamoto nyingi za kimaadili wakati wa kufanya maamuzi ya kutibu wagonjwa. Changamoto hizi, ambazo mara nyingi huleta mitanziko (dilemma), zinaweza kusababisha vifo kwa…

Tanzania mfano wa kuendeleza wachimbaji wadogo

Na Wizara ya Madini  Sekta ya Madini ni moja ya nguzo muhimu za uchumi wa Tanzania. Pamoja na mchango mkubwa unaotolewa na Migodi mikubwa inayomilikiwa na Kampuni za ndani na nje ya Taifa sambamba na zile za ubia baina ya…

Kiswahili kiwe lugha rasmi ya saba ya Umoja wa Mataifa

Na Richard Mtambi, JamhuriMedia, Dar es Salaam Maadhimisho ya Tatu ya Siku ya Kiswahili Duniani 2024, yalifanyika Julai 3, 2024 nchini Tanzania, Afrika Mashariki, Afrika na duniani kote lugha ya Kiswahili inakozungumzwa. Lengo la Maadhimisho haya ni kuitikia wito wa…

Mraibu aanzisha asasi kuikomboa jamii dhidi ya dawa za kulevya

*Said ni aliyekuwa mraibu kwa miaka 21. * Amgeukia Rais Samia, Wizara ya Afya na Ofisi ya Waziri Mkuu kuzishika mkono asasi changa ili kuokoa waraibu hasa vijana Na Mwamvua Mwinyi, JakhuriMwdia, Pwani NACHUKIA dawa za kulevya, najutia kupoteza muda…

Tujenge desturi ya kulipa kodi kwa maendeleo ya Taifa letu

Tukiwa tunaelekea kupokea bajeti mpya ya serikali ya 2024/2025 ikijadiliwa bungeni kwa mujibu wa sheria, pia nasi katika jamii tukieendelea kuifuatili kwa ukaribu na umakini mkubwa. Hii haimaanishi kwamba suala hili ni la wanasiasa sio kwakuwa bajeti ndio taswira na…

Malezi na makuzi mabovu yalivyokiini cha ukatili katika jamii

Na Daniel Limbe,Geita “Samaki mkunje angali mbichi” ndivyo wasemavyo wahenga wakimaanisha mtoto mwema,mwenye hekima, busara na maarifa huandaliwa kingali mdogo. Maneno hayo yanauweka bayana ukweli wa maisha ya mwanadamu katika malezi na makuzi ya mtoto hata anapokuwa mtu mzima. Ukweli…