JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

‘Siku damu ilipogeuka mto, mashujaa 800 wa Litembo waliposimama kwa mishale dhidi ya bunduki’

Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Ruvuma Jua lilipozama Machi 4, 1902, milima ya Umatengo haikulisindikiza kwa machweo ya kawaida. Badala yake, anga lilitawaliwa na moshi mzito wa bunduki, vilio vya kina mama, na sauti za mwisho za mashujaa waliokataa kupigishwa magoti…

Mguso wa Bajeti 2025 TANAPA, NCAA

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Hatimaye, baada ya miaka kadhaa ya maombi ya wadau wa uhifadhi nchini, Serikali imekisikia kilio chao na kufanya marekebisho kadhaa katika Sheria ya Fedha; yatakayoimarisha shughuli za uhifadhi wa mazingira, wanyamapori na utalii kwa ujumla….

Wasira aeleza sababu zinazoifanya CCM idumu

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira ameeleza mambo mbalimbali yanayoifanya CCM kuwa idumu. Mojawapo ya sababu hizo ni wajibu wake wa majukumu endelevu ya kuwatumikia Watanzania. Amesema kutokana na umuhimu wa majukumu hayo kwa ustawi…

Ukikwamwa na mwiba wa samaki kooni, fanya hivi kuutoa

KITOWEO cha mchuzi wa Samaki ni mlo mzuri sana kwa wale wasiopenda mboga. Kuna aina nyingi ya samaki wanaopatikana, ikiwa ni pamoja na samaki wa baharini na samaki wa maji safi. Watu wengi wamekuwa wakila samaki kwa madai kwamba wana…

Trilioni 1.18/- za Rais Samia zavunja ukame wa maendeleo Ruvuma, miaka minne yachanua

Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Ruvuma Katika kipindi cha miaka minne tu, Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeiweka Ruvuma katika ramani ya maendeleo kupitia uwekezaji wa kihistoria wa zaidi ya shilingi trilioni 1.18, ukigusa…

Nusu saa inakutosha tembea pekupeku kila siku

KWA mujibu wa utafiti daktari wa masuala ya afya ya binadamu Hamisi Kote Ali, amegundua kuwa, kugusa ardhi moja kwa moja kwa ngozi ya miguu husaidia kusawazisha chaji ya umeme mwilini. Anasema hali hiyo inajulikana kama ‘earthing’ au ‘grounding’, inaweza…