
Makala


Wizara yatoa mwenendo wa ugonjwa wa Marburg Kagera
You Might Also Like POLISI MAKAO MAKUU WAFANYA MAZOEZI YA KUIMARISHA AFYA KWA ASKARI

Serikali:Dawa za Tanzania ni bora na salama
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mfamasia Mkuu wa Serikali Daud Msasi amewahakikishia Watanzania kwamba dawa zinazozalishwa nchini zimethibitishwa na zina ubora unaostahili. Msasi ametoa kauli hiyo leo Aprili 6,2023 kwenye semina kwa wahariri wa habari nchini iliyoandaliwa na Bohari ya Dawa (MSD) ambapo baadhi ya wahariri walitaka kufahamu ubora wa dawa zinazozalishwa nchini iwapo zina…

Mgonjwa wa Marburg aruhusiwa,hakuna maambukizi mapya
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema wamemruhusu mgonjwa mmoja (26) kati ya wagonjwa watatu waliolazwa katika vituo maalum vilivyotengwa kwaajili ya wagonjwa wa marburg baada ya kujiridhisha na hali yake kwa kumfanyia vipimo zaidi ya mara tatu vya ugonjwa huo. Pia amesema Tanzania ni salama na inaendelea kuchukua hatua ya kudhibiti ugonjwa huo ambapo hadi…

Serikali: Hakuna wagonjwa wapya wa Marburg
Na WAF –Kagera,JamhuriMedia,Bukoba Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema hadi kufikia Machi 25,2023 hakuna wagonjwa wapya wa Marburg walioripotiwa licha ya kupokea tetesi sehemu mbalimbali mkoani hapa. Hayo ameyasema jana alipokuwa anazungumza na waandishi wa habari nakusema kuwa ugonjwa huo unaendelea kudhibitiwa ambapo ameambatana na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya Duniani Dkt. Zabron Yoti…

Ndani ya miaka miwili ya Rais Samia,TMA ina mengi ya kujivunia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia “Nimepoteza ardhi zaidi ya nusu heka, sina makazi ya kudumu,na hivi sasa nipo na familia yangu ya watu watano, tunajihifadhi katika chumba kimoja kilichopo karibu na eneo la nyumba yangu ilipomoka” Ni kauli ya Stephen Joel mkazi wa Kijiji Cha Malampaka kata ya Malampaka wilaya ya Maswa Mkoa wa Simiyu ambaye…