Category: Makala
Leminatha Kabigumila; Mwanamke mchimbaji kutoka changamoto hadi tuzo Mining Indaba
Na Asteria Muhozya Tanzania ilishiriki kikamilifu kwenye Kongamano la Kimataifa la Mining Indaba lililofanyika Februari 8 -12, 2026 nchini Afrika Kusini huku ujumbe wake ukiongozwa na Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde na kuwakilishwa na vyama mbalimbali vya wachimbaji, taasisi…
Tusiwafiche familia mali zetu
Katika jamii zetu kume kuwa na desturi ya baadhi ya mitazamo kuwa ni vizuri kuwa na mali fiche amabazo hazijurikani na mkee.mume hata muda mwingine Watoto hata ndgu wa damu. Hii desturi imeaanza jengeka hasa kwa wanaume kuficha ama kufanya…
Siku 100 za Rais Samia, sekta ya mafuta na gesi kama nguzo ya maendeleo ya Taifa
Na Rashid Mtagaluka, JamhuriMedia, Dar es Salaam TAREHE 14 Novemba 2025, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, alilihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano kwa hotuba ya kihistoria iliyoweka wazi dira ya Serikali kwa muhula…
Mchengerwa: Sitakubali kuhujumiwa
*Aapa kuilinda NHIF kwa nguvu zote dhidi ya wajanja *Kicheko matibabu saratani, safari za India kubaki historia *Malawi kuanza kuleta wagonjwa 1,900 Ocean Road Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa, ameapa kupambana na magenge ya watu…
Mafia na mikakati endelevu kupambana na taka baharini
Na Mwamvua Mwinyi, Mafia KATIKA mwambao wa Mashariki mwa Tanzania, Kisiwa cha Mafia kinajulikana kwa utulivu wake wa asili, mandhari ya kuvutia ya bahari na matumbawe yaliyojaa uhai. Hata hivyo, chini ya uso wa samawati wa maji yake, changamoto ya…
Siku 100 za Bima ya Afya kwa wote
* Kila Mtanzania sasa kupata huduma bora za afya bila ubaguzi *Serikali, TIRA kuhakikisha bima hii inakuwa endelevu kwa wote *Mkakati ni kuona afya za wananchi zinakuwa bora, uchumi unakua *TIRA wazindua jengo lao la makao makuu Ndejengwa jijini Dodoma Na…





