Category: Makala
Utalii wa Kijiolojia Dodoma; Yoderite na mageuzi ya Kongwa kuwa urithi wa dunia
✅️ Tanzania yaendelea kujijengea nafasi ya kipekee duniani kama kitovu cha tafiti za miamba ya shinikizo la juu na utalii wa kijiolojia. ✅️ Profesa Abdulkarim Mruma Ahusika na Kuendeleza Urithi wa Tafiti za Mautia Hill 📍Kongwa – Dodoma Katika eneo…
Imani potofu zinavyoweka hatarini maisha ya watoto wenye ugonjwa wa sikoseli Tanzania
Na John Walter WATOTO wengi wenye ugonjwa wa Sikoseli huchelewa kufikishwa hospitalini kutokana na imani potofu zinazohusisha ugonjwa huo na uchawi au laana. Usiku mwingi wa utotoni kwake ulikuwa wa vilio na maumivu makali ya viungo. Mara nyingine alikuwa akishindwa…
Wananchi jiungeni na bima ya afya kuepua gharama kubwa za matibabu-Dk Subi
Na Mwandishi Wetu WANANCHI wamekumbushwa umuhimu wa kujiunga na Bima ya Afya kwa wote ili kujiweka tayari pindi wanapougua wao au ndugu zao ambao ni wanufaika wa bima hiyo, hatua itakayosaidia kuepuza gharama kubwa za matibabu. Hayo yalisemwa na Mkurugenzi…
Ardhi imekwisha umebaki, udongo wa kuzikia
Na Bituro Kazeri, JamhuriMedia, Dar es Salaam Biblia ni miongoni mwa vitabu vya kale zaidi vilivyowahi kusomwa na binadamu. Ndani yake kuna hazina kubwa ya maarifa yanayoweza kumsaidia mtu kuelewa maisha, uumbaji na wajibu wa binadamu kwa mazingira yanayomzunguka. Miongoni…
Madini ya Tsavorite, fahari ya Tanzania isiyojulikana na wengi
Na Wizara ya Madini KATIKA safu ya madini adimu ya vito yanayotambulika katika masoko ya kimataifa, Tsavorite ya Tanzania imeendelea kujijengea nafasi ya kipekee, sio tu kwa uzuri wake wa kuvutia machoni, ubora wake,, bali pia kwa hadhi yake ya…
VETA Songea inavyowajengea uwezo wahitimu kukabiliana na changamoto ya ajira
Na Muhidin Amri, JamhuriMedia, Songea MPANGO wa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan,kuongeza program maaalum za mafunzo ya ufundi stadi kupitia vyuo vya ufundi ni hatua nzuri ya kujenga rasilimali imara kwa vijana hapa nchini….





