Wawili wapandikizwa uume Benjamini Mkapa

Wanaume wawili waliokuwa na matatizo ya  nguvu za kiume kutokana na matatizo mbali mbali ya kiafya, wamefanyiwa upasuaji na kupandikizwa uume katika Hospitali ya Benjamini Mkapa (BMH) kwa kushirikiana na Chama cha Madaktari Bingwa wa upasuaji wa mfumo wa mkoji nchini (TAUS) pamoja na Daktari bingwa kutoka nchini Ufaransa. Kwa mujibu wa taarifa ya Wizara…

Read More

Soko la mabilioni kuchochea uchumi Tarime

Na Immaculate Makilika- MAELEZO Mkurugenzi Mtendaji wa Mji Tarime, Gimbana Ntavyo anasema kuwa ujenzi wa soko la kisasa unaoendelea mkoani Mara katika halmashauri yake utasaidia kuchochea biashara katika Mji wa Tarime pamoja na kutoa fursa ya kufanya biashara na nchi jirani ya Kenya na hivyo kukuza uchumi wa wananchi wake. Akizungumza katika mahojiano maalum na…

Read More