CCBRT kituo pekee kinachotengeneza jicho bandia Tanzania

Na Stella Aron, JamhuriMedia Katika kuhakikisha kuwa wananchi wana afya bora, Serikali imeendelea kushirikiana na wadau mbalimbali kutoa huduma za afya kwa kuzingatia sera na miongozo iliyopo. Sera ambayo imeendelea kutumika katika kuelekeza utoaji wa huduma za afya ilipitishwa mwaka 1990. Tangu sera hiyo ilipopitishwa,yamekuwepo mabadiliko mbalimbali ya kiuchumi na kijamii, mabadiliko ya sayansi na…

Read More

Madaktari bingwa wa saratani watakiwa kutoa mapendekezo namna ya kutoa huduma bora

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Madaktari bingwa wa Saratani watakiwa kutoa mapendekezo na mikakati ya namna bora ya wagonjwa kuzifikia huduma sambamba na kupunguza rufaa zinazo epukika kwenda nje ya nchi kupata matibabu. Pia wametakiwa wataamu wa Saratani kujikita katika kufanya tafiti za kisayansi zitazowezesha nchi kuwa na teknolojia na ubunifu utakaosaidia utoaji wa huduma hususani…

Read More

Wawili wapandikizwa uume Benjamini Mkapa

Wanaume wawili waliokuwa na matatizo ya  nguvu za kiume kutokana na matatizo mbali mbali ya kiafya, wamefanyiwa upasuaji na kupandikizwa uume katika Hospitali ya Benjamini Mkapa (BMH) kwa kushirikiana na Chama cha Madaktari Bingwa wa upasuaji wa mfumo wa mkoji nchini (TAUS) pamoja na Daktari bingwa kutoka nchini Ufaransa. Kwa mujibu wa taarifa ya Wizara…

Read More