JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Uchumi

Siasa zenu zisiharibu uhifadhi Ngorongoro

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, anashutumiwa na vyombo vya dola kwa kauli zake zinazowachochea wananchi kutotii mamlaka za nchi na sheria za uhifadhi. Akiwa wilayani Ngorongoro amewataka wananchi wanaohama kwa hiari kutotii mpango huo,…

VETA Karagwe inavyowakomboa vijana kupitia elimu ya ufundi

Na David John,JamhuriMedia SERIKALI ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt.Samia Hassan Suluhu imeamua kuwekeza katika vyuo vya ufundi na ikapanua huduma zake katika Chuo cha VETA wilayani Karagwe ambapo awali kulikuwa na vyuo vya mkoa na vyuo ambavyo…

Dahua Teknology yaipongeza serikali ya Rais Samia

Na Mussa Augustine, Jamhuri Kampuni ya Dahua Teknoloji inayojihusisha na uuzaji wa bidhaa mbalimbali ikiwemo vifaa vya ulinzi imesema serikali ya awamu ya sita imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuweka Mazingira rafiki kwa Wawekezaji hali ambayo imechochea Wawekezaji Wengi kuja kuwekeza…

Makamba:Serikali imendaa mjadala wa nishati safi ya kupikia

Na Mussa Augustine,JamhuriMedia Serikali imesema imeandaa mjadala wa Nishati Safi ya Kupikia ili kuwepo na Sera, Sheria, Kanuni na Mifumo ya Udhibiti wa Nishati Chafu ya kupikia ikiwemo mkaa na kuni na kutumia nishati safi,salama na endelevu ili kusaidia uhifadhi…

TCRA: Dar yaongoza kuwa na laini nyingi za simu za mkononi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Ripoti ya Utendaji wa Kisekta imeonesha ongezeko la asilimia 3.4 kwa laini za simu zinazotumika,ambapo hadi mwezi Juni 2022 kulikuwa na laini Milioni 56.2 idadi iliyoongezeka hadi kufikia laini milioni 58.1 Septemba 2022. Takwimu zinaonyesha kwamba mikoa…

Serikali: Dar es Salaam ndio lango kuu la biashara nchini

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Mary Masanja (Mb) amesema uwepo Onesho la Kimataifa la Utalii la Swahili (S!TE) katika Jiji la Dar es Salaam ni fursa kubwa kwa jijini hilo kutangaza vivutio vyake. Amesema kuwa Jiji la Dar es Salaam…