Archives for Uchumi
JUKWAA LA WANAWAKE SOMANGILA, KIGAMBONI, LAZINDULIWA
Wanawake wajasiariliamali wametakiwa kutengeneza au kuuza bidhaa zenya ubora wa viwango vinavokubalika ili kuvutia wateja kununua bidhaa zao na kuongeza masoko ndani na nje ya Nchi. Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi wa Uhuru FM Angel Akilimali ambaye alikuwa mgeni rasmi katika…
DK.KAMANI AWAONYA VIONGOZI VYAMA VYA USHIRIKA NCHINI
MWENYEKITI wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika, Kamani amesema Serikali kupitia tume hiyo ni awaelekeza viongozi wa Vyama vya Ushirika kutojihusisha kuuza mali za vyama hivyo pasipo kuzingatia sheria. Hivyo amesema hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi ya watakaobainika…
‘BUNDI’ WA MGOGORO WA ARDHI ATUA ARUSHA
Na Charles Ndagulla, Arusha Halmashauri ya Jiji la Arusha imezidi kuandamwa na tuhuma za ugawaji holela wa ardhi inayomilikiwa na watu wengine, hivyo kuzidisha kero na malalamiko kutoka kwa wananchi. Hali hiyo imebainika ikiwa ni takribani wiki moja baada ya…
MAJALIWA: NISHATI JIRIDHISHENI NA UBORA WA VIFAA
Waziri Mkuu. Kassim Majaliwa akizungumza na Viongozi wa Serekali pamoja na Watendaji waTanesco, REA. katika kikao cha maendeleo ya usambazaji umeme kilichofanyika , leo (Jumamosi, Januari 13, 2018)Ofisini kwake, Mjini Dodoma Kikao kikiendelea WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya…
WAZIRI MKUU: TUMIENI TAMASHA LA BIASHARA KUKUZA BIASHARA YA UTALII
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko ya Zanzibar kuhakikisha inatumia Tamashara la Biashara la Zanzibar kama chachu ya kukuza biashara ya Utalii kama ilivyo kwa Dubai Shooping Festival na matamasha mengine Duniani. “Natambua kwamba kazi…
WAZIRI MKUU AHIMIZA KILIMO CHA KAHAWA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wananchi wa wilaya ya Songea mkoani Ruvuma wajikite kwenye zao la kahawa ili wawe na zao mbadala la biashara. Ametoa wito huo leo Januari 5, 2017 wakati akizungumza na wakazi wa kijiji cha Lipokela na…