Majaliwa:Watalii waongezeka nchini

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema takwimu za mwaka 2021 zinaonesha kuwa watalii wanaokuja nchini Tanzania wameongezeka kwa asilimia 48.6 kutoka watalii 620,867 mwaka 2020 na kufikia watalii 922,692 mwaka 2021. Mheshimiwa Majaliwa amesema mbali na kuongezeka kwa idadi ya watalii nchini, pia mapato yatokanayo na utalii yameongezeka kwa asilimia 81.8 kutoka Dola za Marekani milioni…

Read More

Trioni 2.78 kutekeleza miradi ya elimu nchini

Angela Msimbira,JamhuriMedia,Arusha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Innocent Bashungwa amesema Serikali itatumia kiasi cha shilingi trioni 2. 78 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya elimu nchini Ameyasema hayo leo tarehe 24 Septemba, 2022 wakati akitoa taarifa kwa umma kuhusu utekelezaji wa miradi ya elimu,jijini Arusha ….

Read More

Waliovamia msitu wa Bondo watakiwa kuondoka

Wananchi waliovamia Hifadhi ya Msitu wa Bondo wametakiwa kuondoka ndani ya hifadhi hiyo ifikapo Desemba 30,2022. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Mary Masanja (Mb) kwa niaba ya Waziri wa Maliasili na Utalii, alipokuwa akijibu swali la mbunge wa Jimbo la Kilindi Omar Mohamed Kigua bungeni jijini Dodoma leo Septemba 19,2022. “Kwa nyakati…

Read More