Category: Uchumi
Kwanini Serikali inamiliki hisa chache kwenye kampuni
Na Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Serikali imesisitiza kuwa uamuzi wake wa kumiliki hisa chache katika baadhi ya kampuni nchini na nje ya nchi unalenga kushiriki katika maamuzi ya kimkakati na kuhakikisha uwekezaji wake, ambao kwa sasa umefikia Sh1.94…
Msajili wa Hazina afanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Lifezone Metal
Na Mwandishi wa OMH Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amefanya mazungumzo na Bw. Keith Liddell, Mwanzilishi na Mwenyekiti wa kampuni ya Lifezone Metals Limited, inayomiliki Tembo Nickel Corporation Limited kwa ubia na Serikali ya Tanzania kupitia Ofisi ya Msajili…
Tanzania yazidi kusonga mbele katika mapinduzi ya kidijitali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Sekta ya mawasiliano nchini Tanzania inaendelea kushuhudia ukuaji mkubwa, hali inayochochewa na ongezeko la watumiaji wa intaneti, vijana wanaokumbatia teknolojia kwa kasi, pamoja na sera za Serikali zinazohamasisha uvumbuzi katika TEHAMA. Miongoni mwa…
Singapore na Tanzania zakubaliana kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi
Serikali ya Singapore na Tanzania zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kimaendeleo na kiuchumi kupitia sekta mbalimbali ikiwemo uendeshaji wa bandari, utalii, sekta ya fedha, usafirishaji, biashara na uwekezaji, elimu na kilimo ili kuchochea kasi ya maendeleo ya Taifa na wananchi wake….
Siasa zenu zisiharibu uhifadhi Ngorongoro
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, anashutumiwa na vyombo vya dola kwa kauli zake zinazowachochea wananchi kutotii mamlaka za nchi na sheria za uhifadhi. Akiwa wilayani Ngorongoro amewataka wananchi wanaohama kwa hiari kutotii mpango huo,…
VETA Karagwe inavyowakomboa vijana kupitia elimu ya ufundi
Na David John,JamhuriMedia SERIKALI ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt.Samia Hassan Suluhu imeamua kuwekeza katika vyuo vya ufundi na ikapanua huduma zake katika Chuo cha VETA wilayani Karagwe ambapo awali kulikuwa na vyuo vya mkoa na vyuo ambavyo…





