JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Kituo cha umeme Ifakara chachochea maendeleo Kilombero

📌Kimetekelezwa na REA kwa gharama ya Tsh. Bilioni 25 📌DC Kilombero aipongeza REA, atoa wito kwa wawekezaji 📌Kimeimarisha upatikanaji wa umeme Ukanda wa Morogoro Kusini Ifakara, Kilombero Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imetumia shilingi bilioni 25 kujenga Kituo…

Vijana 521 waondoka kwa ajira nje ya, 45 waenda Ulaya

Na OWM-KAM, Dar es Salaam Serikali imeendelea kufungua na kuimarisha njia salama za uhamiaji wa nguvu kazi kwa kushirikiana na nchi rafiki pamoja na taasisi za kikanda na kimataifa, ikiwa ni juhudi za kuhakikisha Watanzania wanapata ajira zenye staha, kulindwa…

Wasira awatolea uvivu walioanza mbio za urais

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen Wasira, amewaonya wanachama walioanza harakati za kusaka urais mwaka 2030 kwa kuwa muda wa kufanya hivyo bado haujawadia, hivyo wanaofanya hivyo wanakiuka kanuni, miongozo na utaratibu. Amesema kuanza mapema harakati…

Wasira : Chama kitaendelea kusimama imara na kuleta maendeleo

Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema Chama kitaendelea kusimama imara kuwaletea maendeleo Watanzania kwa kuwa ndilo jukumu lake la msingi. Aidha, amewataka wana CCM kutambua kuwa uchaguzi una gharama na moja…

Mhandisi Mativila akagua miradi ya DMDP II, atoa wito utunzaji wa miundombinu

📌TARURA kujenga takribani Km. 250 za barabara Manispaa zote za Dar es Salaam‎‎Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam‎‎Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia Miundombinu, Mhandisi Rogatus Mativila, amesema Serikali…

Tanzania, Djibouti kushirikiana katika biashara ya Kaboni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Tanzania kupitia Kituo cha Taifa cha Kuratibu Kaboni (NCMC) na Djibouti kupitia tasisi inayoratibu masuala ya Kaboni ya nchi hiyo ya Africa Sovereign Carbon Registry (ASCR) Foundation, zimeanza mazungumzo ya ushirikiano wa kimkakati katika biashara…