JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

CCM yataka Dk Mwinyi aongezewea muda

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dk Mohamed Said Dimwa amesema wajumbe wa Sekretarieti ya Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu (NEC) CCM Taifa Zanzibar wamepitisha pendekezo la kuishauri Kamati Maalumu ya NEC kuridhia kumuongezea muda Rais wa…

Washereheshaji watakiwa kutumia kiswahili fasaha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songea Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amewaasa Washereheshaji kutumia lugha ya Kiswahili kwa ufasaha na kuibua misamiati mipya ambayo inaweza kichakatwa na kuwa rasmi katika kukuza lugha hiyo. Ndumbaro ametoa rai…

Kalleiya ahimiza kuunda kamati za uchuni kata,matawi kujiimarisha kiuchumi

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Katibu wa CCM Wilaya Kibaha Mjini , mkoani Pwani, Issack Kalleiya amehimiza kuunda kamati za uchumi kila kata na matawi pamoja na kuanzisha vitenga uchumi ili kukiimarisha kiuchumi. Wito huo aliutoa alipokuwa kata ya Kongowe…