Category: Kitaifa
Wasira : Chama kitaendelea kusimama imara na kuleta maendeleo
Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema Chama kitaendelea kusimama imara kuwaletea maendeleo Watanzania kwa kuwa ndilo jukumu lake la msingi. Aidha, amewataka wana CCM kutambua kuwa uchaguzi una gharama na moja…
Mhandisi Mativila akagua miradi ya DMDP II, atoa wito utunzaji wa miundombinu
📌TARURA kujenga takribani Km. 250 za barabara Manispaa zote za Dar es Salaam‎‎Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam‎‎Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia Miundombinu, Mhandisi Rogatus Mativila, amesema Serikali…
Tanzania, Djibouti kushirikiana katika biashara ya Kaboni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Tanzania kupitia Kituo cha Taifa cha Kuratibu Kaboni (NCMC) na Djibouti kupitia tasisi inayoratibu masuala ya Kaboni ya nchi hiyo ya Africa Sovereign Carbon Registry (ASCR) Foundation, zimeanza mazungumzo ya ushirikiano wa kimkakati katika biashara…
Tanzania yakabidhi msaada wa chakula kwa nchi ya Msumbiji
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekabidhi msaada wa tani 500 za mahindi kwa Serikali ya Jamhuri ya Msumbiji kufuatia mafuriko yaliyoikumba nchi hiyo kutokana na mvua kubwa zilizonyesha Msaada huo umekabidhiwa Machi 24, 2026 na Waziri wa Mambo…
Salome : Umeme wa gridi Kigoma umeokoa bilioni 58 za mafuta na matengenezo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amelipongeza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa kusimamia na kukamilisha mradi wa kupeleka umeme wa gridi mkoani Kigoma na hivyo kuokoa takribani shilingi bilioni 58 zilizokuwa zikitumika kila…





