JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Sitanii

Miaka 30, Rais Samia amefungua milango

Na Deodatus Balile, Dar es Salaam Julai 1, 2022 Tanzania imetimiza miaka 30 tangu mfumo wa siasa za vyama vingi urejee hapa nchini. Wakati mfumo huu ukirejea mwaka 1992, ilikuwapo hofu kubwa katika sehemu mbalimbali za nchi hii. Wengi walivihusisha…

Waziri Dk. Mwigulu epuka kodi za kero

Na Deodatus Balile, Dodoma Wiki iliyopita nilikuwa katika Ukumbi wa Bunge. Nilimsikiliza kwa umakini mkubwa Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba, wakati anawasilisha bajeti ya wizara yake. Dk. Mwigulu alieleza kuhusu maeneo mengi hasa kilimo kwa ufasaha mkubwa…

Rais Samia LNG ni dili, tusaini

Na Deodatus Balile Wiki iliyopita zimekuwapo taarifa za Tanzania kuwa katika mchakato wa kusaini mkataba wa kuanza ujenzi wa kiwanda cha kuzalisha gesi ya LNG mkoani Lindi. Mkataba wenyewe ni wa dola bilioni 40, karibu Sh trilioni 70 za Tanzania. …

Brela ikabidhiwe kazi ya kutoa leseni zote

Na Deodatus Balile, Morogoro Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela) umetoa taarifa muhimu kwa maendeleo ya biashara nchini katika mkutano na Jukwaa la Wahariri Tanzania.  Mtendaji Mkuu wa Brela, Godfrey Nyaisa, ameeleza mfumo wa kusajili biashara kupitia mtandaoni…

Rais Samia analiunganisha tena taifa

Na Deodatus Balile Leo naomba nianze makala yangu kwa kumnukuu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, katika kauli aliyoitoa baada ya tukio la Septemba 7, 2017 alipopigwa risasi 16, na baadaye akawa kwenye matibabu nje…

Asante Rais Samia kushiriki Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari

Na Deodatus Balile, Arusha Wiki hii nimerejea katika ukumbi huu. Msomaji wangu niwie radhi sikuweza kuandika katika wiki mbili zilizopita, kwani nilikuwa na maandalizi mazito ya mkutano mzito ulioileta Afrika Tanzania. Huu si mwingine, bali ni mkutano wa Siku ya…