JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Sitanii

Tusijipime ubavu na Wamarekani, tuzungumze

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kuna msemo wa Kiswahili unaosema, “Ukiona simba anakuangalia, usianze kupambana naye kwa hasira; kwanza jiulize kwa nini amesimama mbele yako.” Leo Tanzania imejikuta katika hali ambayo Seneti ya Marekani imewasilisha muswada unaopendekeza mapitio…

Tuichangie Hospitali Benjamin Mkapa iokoe maisha

* Control Numbe ni 986930000001 itasomeka BMH ORGAN TRANSPLANT. Mimi nimechangia Sh 100,000 imekubali. Nawe changia unachokiweza. Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kuna nyakati taifa hulazimika kusimama na kujiuliza; je, tunathamini vya kutosha taasisi zinazookoa maisha ya wananchi wake?…

Tusiiache njia ya maridhiano

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Naandika makala hii nikiwa safarini kuelekea Kilimanjaro, kushiriki mazishi ya Baba Mzazi wa Ndugu yetu, kijana na rafiki yetu, Neville Meena, mzee Mwalimu Meena. Baba huyu ametutoka na Mungu amlaze mahala pema peponi….

Z’bar waliweza, Tanzania hatutashindwa

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Aprili 23, 2026 nchi yetu imepokea taarifa za kusitikisha mno kupitia ripoti iliyowasilishwa na Jaji Mkuu (mstaafu), Mohamed Chande Othman ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na…

Bila EWURA mafuta yangekuwa bei gani?

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ukijenga nyumba nzuri, inakupasa usisherehekee sana kabla mvua haijanyesha. Kuna msemo kuwa tusubiri mvua inyeshe tuone panapovuja. Msemo huu haulengi nyumba peke yake, bali unahusu jamii tunayoishi, taasisi mbalimbali tunazojenga na uhalisia katika…

Tumfukuze mbwa mwitu kwanza, kisha tumzuie mwanambuzi kuchezea vichakani

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwandishi maarufu wa riwaya Afrika, Mnigeria Chinua Achebe, alipata kuandika sentensi maarufu katika kujenga mshikamano wa kijamii kuwa: “Katika mtanziko wa hatari, tumfukuze mbwa mwitu kwanza, kisha tumzuie mwanambuzi kuchezea vichakani.” Sitanii, kichwa…