JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Sitanii

Kodi zetu ni mzigo kwa wale wale

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi Nchini, chini ya Balozi Ombeni Sefue, imewasilisha ripoti yake kwa Rais Samia Suluhu Hassan wiki iliyopita. Tume imekuja na mapendekezo 284. Si madogo,…

Kardinali Pengo amevunja kuta za uhasama

Na Deodatus Balile, Nairobi Kifo cha Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo kimeacha simanzi nchini, lakini pia kimeacha funzo na ujumbe mzito kwa taifa letu. Tangu kutokea kwa kifo chake tumeshuhudia jambo ambalo kwa muda mrefu halijawahi kutokea – Watanzania kuungana, si…

Asante TCRA, tusiruhusu vyombo vife

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dodoma Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) wiki iliyopita, yaani Februari 12 na 13, 2026 imeandaa mkutano wa mwaka wa vyombo vya habari vya utangazaji jijini Dodoma. Mkutano huu ulikuwa na mjadala mrefu na wa kina, ila…

Rais Samia, Museveni malizeni kero tule maisha

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Leo nimetoka kanisani. Ni Dominika ya Februari 8, 2026. Najua makala hii itachapishwa gazetini siku ya Jumanne Februari 10, 2026. Somo kuu katika Injili, imehojiwa kuwa “Chumvi ikiharibika itatiwa nini?” Baba Moses Mbilinyi…

Kila awaye ajipime, urais anautoa Mungu

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Zanzibar Tanzania imepitia mtikisiko. Matukio ya Oktoba 29, 2025 na siku chache zilizofuatia, yameweka doa katika siasa za Tanzania. Haikupata kufikirika kuwa Tanzania hii watu wangechoma moto magari, nyumba za watu na serikali, vituo vya mafuta…

Watanzania tuchague amani badala ya vurugu

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Kibiti Ndugu zangu Watanzania, leo nimeona niwaandikie kwa uwazi, kwa uchungu na kwa upendo wa dhati juu ya kinachoendelea hapa nchini. Jumapili iliyopita nimefuatilia kwa karibu mahubiri ya viongozi wengi wa dini makanisani. Wamehubiri siku mbili…