JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Trilioni 1.56 zatekeleza maendeleo Shinyanga – RC Mboni Mhita

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mkoa wa Shinyanga umepokea zaidi ya shilingi trilioni 1.563 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo katika sekta mbalimbali ikiwemo huduma za jamii ,sekta za afya, elimu, miundombinu, maji, kilimo, nishati, madini, mifugo, ardhi na uwezeshaji wananchi…

Dkt Makalla :Lishe Bora huepusha magonjwa yasiyoambukiza

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Watanzania wametakiwa kuzingatia mpangilio mzuri wa lishe bora ili kuimarisha afya ya mwili sambamba na kuongeza kinga dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza ambayo yameshamiri kutokana na mtindo mbaya wa maisha na ulaji usiofaa. Akizungumza…

Waziri Mkuu Majaliwa akabidhi tuzo ya umahiri kwa mkuu wa kitengo cha mawasiliano Wizara ya Nishati

📌Ni kufuatia Umahiri wa masuala ya Mawasiliano kwenye Maonesho ya Osaka Expo 2025 📌 Ampongeza kwa kuwa Kiongozi wa mfano wakati wa Mkutano wa Biashara na Uwekezaji na Utalii Osaka Expo 2025 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…

Mwaipaja: Endeleeni kutumia majukwaa ya Wizara ya Fedha kujifunza

Na. Peter Haule na Joseph Mahumi,WF, Dar es Salaam Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Fedha, Bw. Benny Mwaipaja amewataka wananchi kuendelea kutumia majukwaa ya Wizara hiyo kujifunza kuhusu uchumi na fedha baada ya kuhitimishwa kwa Maonesho ya…

Waziri Mkuu aiagiza TANTRADE kufanya tafiti ya masoko ndani na nje ya nchi

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameiagiza Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) kuendeleza juhudi za kutafuta masoko ya nje ili kuongeza mauzo yatakayowezesha nchi kupata fedha za Kigeni. Amesema kuwa TanTrade inapaswa kufanya tafiti za uhakika na uchambuzi wa masoko…

Dk Mwamba ahamasisha wanawake kuwa mabalozi wa mabadiliko

Na Josephine Majura, WF, Dodoma Wanawake wamehamasishwa kujitokeza kwa wingi kushiriki na kupiga kura katika uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kifanyika mwezi Oktoba mwaka huu ili kutimiza haki yao ya kidemokrasia. Wito huo umetolewa jijini Dodoma na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya…