
MCHANGANYIKO

Benki ya NMB yasaidia waathirika wa mafuriko Hanang
Waathirika wa mafuriko Wilayani Hanang, Mkoani Manyara, waliopoteza ndugu zao, makazi, pamoja na mali, wamepatiwa misaada ya kibinadamu na Benki ya NMB. Misaada hiyo inajumuisha magodoro, vyakula na vifaa vingine, ikiwa lengo ni kutoa msaada muhimu baada ya janga hilo. Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Kaskazini, Baraka Ladislaus, akikabidhi misaada hiyo, amesema benki…

Makamanda 1267 waendelea kutafuta miili Hanan’g, misaada yote kuelekezwa Ofisi ya Waziri Mkuu
Na Mary Margwe, JamhuriMedia,Hanan’g Jumla ya makamanda wapatao 1267 wanaendelea na shughuli mbalimbali katika eneo la wahanga wa maporomoko ya udongo yaliyotokea Novemba 3,2023 huko wilayani Hanang, ambapo kufuatia zoezi linaloendelea wamefanikiwa kuipata miili mingine miwili na kuweka jumla ya idadi ya vifo 65. Hayo yamebainishwa leo Desemba 5,2023 na Waziri Mkuu Kasim Majaliwa wakati…

Hospitali Tumbi ina uhitaji wa damu lita 200, tukachangie kuokoa maisha ya wenye uhitaji -Gemela
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani KITENGO cha damu salama Tumbi, hospital ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani, inatumia chupa 15 kwa siku sawa na chupa 450 za damu kwa mwezi ,hivyo uhitaji wa lita 200 ili kukidhi mahitaji. Kuelekea siku ya Uhuru Desemba 9 wadau ,kambi za jeshi ,jamii inaombwa kuchangia damu ili kuokoa maisha…

Serikali kupitia MSD kanda ya Dar es Salaam yasambaza vifaa tiba kwa vituo vya afya 23
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Serikali kupitia Bohari ya Dawa (MSD), Kanda ya Dar es Salaam imesambaza vifaa tiba vya zaidi ya sh. milioni 930 kwa ajili ya vituo vya afya 23 vya Halmshauri ya Wilaya ya Ulanga. Akizungumza jana wilayani humo mkoani Morogoro mbunge wa Jimbo la Ulanga Salim Hasham, amesema, wamepokea vifaa tiba hivyo…

Prof Mkenda : Walimu wakuu kuweni makini na zawadi, misaada inayotolewa mashirika shuleni
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo Waziri wa Elimu ,Prof.Adolf Mkenda ametoa rai kwa walimu wakuu nchini kuwa makini na mashirika binafsi , Taasisi zisizo za Kiserikali zinazokwenda kwenye shule zao kutoa misaada ikiwemo miswaki, vidonge kwa wanafunzi ili kuondokana na sintofahamu za misaada hiyo. Aidha amewataka Wakurugenzi wa halmashauri kutoa fursa za ruksa kwa walimu…

Tanzania yaisihi Marekeni kuendeleza mchango katika kutokomeza UKIMWI
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kushirikiana na Mataifa ya Afrika Kusini na Msumbiji yameisihi Serikali ya Marekani kuidhinisha fedha zitakazochangia katika mwitikio wa UKIMWI kupitia Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani katika mwitikio wa UKIMWI (PEPFAR). Rai hiyo imetolewa Novemba 30, 2023 wakati wa mjadala wa…