JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Vyuo vikuu 15 nje ya nchi kufanya maonyesho  Arusha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam VYUO 15 kutoka nje ya nchi vinatarajiwa kushiriki maonyesho yanatotarajiwa kufanyika siku ya Jumamosi jijini Arusha. Mkurugenzi wa Global Education Link (GEL), Abdulmalik Mollel, alisema jana kuwa walianza kufanya maonyesho Zanzibar kuanzia tarehe…

Utasa unavyogeuka laana kwa wanawake

Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Geita “Kila mwanadamu ameumbwa kwa kusudi maalumu la mwenyezi Mungu” msemo huu hutumiwa sana na baadhi ya watu wenye imani tofauti wakimsifu na kumtukuza Muumba wao kwa matendo makuu aliyowatendea katika dunia tuliyomo. Kuna watu wanafikiri…

Samia kusafiri kwa SGR Dar-Dodoma

RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kusafiri kwa treni ya reli ya kisasa (SGR) kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma Agosti Mosi, mwaka huu. Mkuu wa Kitengo cha Habari na Uhusiano cha Shirika la Reli Tanzania (TRC), Jamila Mbarouk amesema Rais…

Tanzania kuwa mwenyeji mkutano wa kimataifa wa barabara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha TANZANIA inatarajiwa kuwa mwenyeji wa Kongamano la tisa la Kimataifa la Usafiri Endelevu na Ubunifu Bora ambao umeandaliwa na Chama cha Wataalamu wa Barabara (TARA). Mkutano huo utakaofanyika jijini Arusha wiki ijayo utafunguliwa na Waziri…

Meli za kivita kutoka China zawasilia nchini kuadhimisha miaka 60 ya JWTZ

Meli tatu za kivita za Jeshi la Ukombozi wa Watu wa China  zimewasili katika Bandari ya Dar es Salaam zikiwa na wanajeshi kadhaa kwa ajili ya kushiriki mazoezi ya pamoja na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) ikiwa ni sehemu  maadhimisho…

Ruto ateua vigogo wa upinzani kuwa mawaziri

Rais wa Kenya William Ruto amewateua vigogo wanne wa upinzani katika baraza lake la mawaziri, ikiwa ni zaidi ya mwezi mmoja wa maandamano ya kupinga serikali. Rais wa Kenya William Ruto amewateua vigogo wanne wa upinzani katika baraza lake la…