Category: MCHANGANYIKO
Wananchi zaidi ya milioni 9 wanufaika na Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Kupitia Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, halmashauri 180, kata 1,907 na vijiji/mitaa 5,702 vimefikiwa, ambapo wananchi wapatao 2,698,908 walinufaika kwa kupata elimu na huduma za kisheria. Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt….
Bunge lapitisha Tril 3.645/- ya Wizara ya Ulinzi na JKT
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeidhinisha kiasi cha kiasi cha Sh 3,645, 912, 947,000,00 ( Trilioni 3.645) kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026 kwa ajili ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa…
Rais wa Namibia Dk Netumbo Nandi-Ndaitwah kuwasili Tanzania leo
Rais wa Namibia, Dk Netumbo Nandi-Ndaitwah (73) anatarajia kuwasili nchini leo kwa ziara ya siku mbili kwa mwaliko wa Rais Samia Suluhu Hassan. Ziara hiyo ni ya kwanza ya Rais huyo tangu aapishwe kuiongoza Namibia Machi 21 mwaka huu. Kwa…
Serikali yatekeleza mradi wa kukabili mabadiliko ya tabianchi Zanzibar
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis amesema Serikali inatekeleza Mradi wa kuimarisha uwezo wa jamii za pwani kukabiliana na Athari za Mabadiliko ya Tabianchi katika visiwa vya Unguja na Pemba wenye thamani…
Tanzania yang’ara katika mkutano wa wakaguzi wa majitaka migodini nchini Sweden
Tanzania imeendelea kung’ara katika majukwaa ya kimataifa baada ya kuwa kivutio kikubwa katika mkutano wa Tathmini ya Mafunzo ya Ukaguzi wa Majitaka ya Migodini unaofanyika katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Luleå, nchini Sweden. Mkutano huo wa kitaalamu…
Serikali kukamilisha ujenzi wa vituo vya afya
OR-TAMISEMI Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Dkt. Festo Dugange amesema Serikali itaendelea kutenga na kupeleka fedha kwenye halmashauri zote nchini kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa miundombinu ya vituo vya afya ili viweze kutoa huduma stahiki kwa wananchi….