JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Gazeti Letu

Nchi za SADC zajipanga kumaliza changamoto za kiusalama Mashariki mwa DRC na Jimbo la Cabo Delgado

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Samwel Shelukindo anaongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa ngazi ya Makatibu Wakuu wa Utatu wa Asasi mbili za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC)…

Mama aua mtoto wake na kumla

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Shinyanga Mwanamke mmoja anayefahamika kwa jina la Nyasorod Paul, anadaiwa kumuua mtoto wake Nazaeri Kidia, mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi saba na kisha kumla nyama. Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi Mkoa…

Benki ya Mwalimu Commercial yazindua ‘Tunu’

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kumuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika ajenda ya kuinua wanawake kiuchumi, Benki ya Mwalimu Commercial imezindua bidhaa mpya ya ‘Tunu’ kwa ajili ya Wanawake na Vijana . Hayo yamebainishwa jijini…