Mpango wa kuwawezesha vijana kujiajiri waiva

Na Mbaraka Kambona,JamhuriMedia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeandaa vituo atamizi vinne kwa ajili ya kuwafundisha vijana unenepeshaji wa mifugo ili waweze kujiajiri na kujiongezea kipato kupitia Sekta ya Mifugo. Kauli hiyo ilitolewa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Mashimba Ndaki Agosti 24, 2022 wakati akitoa taarifa kwa umma ya kuwataka vijana kujitokeza kuomba nafasi za…

Read More

Ajira Mpya 10,140 za Walimu Zatangazwa

Serikali inatarajia kuajiri walimu 10,140 katika shule za msingi ili kupunguza tatizo la uhaba wa walimu nchini. Kauli hiyo imetolewa leo Mei 2, bungeni jijini Dodoma na Naibu wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Joseph Kakunda wakati akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Ludewa, Deo Ngalawa (CCM). Ngalawa…

Read More

Tangazo la Nafasi za Kazi Mamlaka ya Anga Tanzania

The Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) was established to regulate the civil aviation industry to ensure effective implementation of Standards and Recommended Practices (SARPs) as provided in the Annexes to the Chicago Convention on the International Civil Aviation Organization (ICAO) and secure a safe and secure civil aviation environment in the United Republic of Tanzania….

Read More

NAFASI ZA KAZI KUTOKA SHIRIKA LA UTANGAZAJI LA TAIFA (TBC)

JOURNALIST II. – 6 POST Employer: Tanzania Broadcasting Corporation (TBC) Date Published: 2018-01-05 Application Deadline: 2018-01-19 JOB SUMMARY: N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES: i. Gathers and writes news and stories; ii. Writes scripts and continuities and prepares programmes for radio and television products; iii. Collects, reports and comments on news and current affairs for broadcasting by…

Read More

Nafasi Za Kazi 100 Kutoka Tanapa

Tanzania National parks (TANAPA) is a Parastatal Organization whose mandate is to manage and regulate the use of areas designated as National Parks. The Organization currently manages sixteen National Parks which form part of larger protected ecosystems set aside to preserve Tanzania’s rich natural heritage. In her endeavor to promote professionalism, the organization seeks to…

Read More