JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kazi/Ajira

Biteko aagiza mradi wa Kabanga Nickel kuanza ulipaji fidia

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kagera Waziri wa Madini, Dkt. Doto Biteko ameiagiza Kampuni ya Tembo Nickel inayomiliki mradi wa uchimbaji Madini ya Nikeli kulipa fidia wananchi watakaopisha eneo la mradi ambao uthaminishaji wa maeneo yao umekamilika. Dkt.Biteko ametoa agizo hilo alipotembelea mradi…

Wahandisi watakiwa kubuni teknolojia mpya zitakazofika vijijini

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imewataka wahandisi nchini kubuni teknolojia rahisi zitakazoweza kutatua changamoto za maisha ya wananchi vijijini na kuongeza kasi ya maendeleo nchini. Hayo yamesemwa Naibu Waziri wa Ujenzi Mhandisi, Godfrey Kasekenya ,wakati akifunga maadhimisho ya 19 ya siku…

Dkt.Kijo Bisimba: Asasi za kiraia zina mchango mkubwa kwa wananchi

Jamii imeaswa kulipa umuhimu na kipaumbele suala la elimu kama nyenzo muhimu katika kuleta mabadiliko mbalimbali katika jamii sambamba na kuwa na fikra mbadala za kuwezesha jamii kubadilika Hayo yameelezwa Jijini Dar es Salaam Septemba 23, 2022 na aliyekuwa Mkurugenzi…

Klabu 12 kushiriki mashindano ya wazi ya kuogelea

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Jumla ya klabu 12 zitashiriki katika mashindano ya wazi ya klabu bingwa ya Taifa yaliyopangwa kufanyika kwenye bwawa la kuogelea la Shule ya Kimataifa ya Tanganyika (IST) Masaki kwa siku ya Jumamosi na Jumapili. Klabu hizo ni…

Mfuko wa Maendeleo Jamii waanza kutoa mkopo kwa kijana mmoja mmoja

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri- Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi amesema kuwa serikali imeendelea kufanya jitihada za kuweka mazingira wezeshi kwa vijana kuweza kujikwamua kiuchumi kwa kutoa mikopo kwa kijana…

Serikali yatangaza kikosi kazi cha ufuatiliaji utoaji mikopo ya elimu

Na Mathias Canal,JamhuriMedia,Dar Timu ya watu watano imeanza kazi rasmi leo tarehe 5 Septemba 2022 ya kufuatilia utoaji mikopo kwa kipindi cha miaka mitano kuanzia mwaka 2017/2018 hadi mwaka 2021/2022. Timu hiyo itakayofanya kazi ndani ya mwezi mmoja itaongozwa na…