JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kazi/Ajira

Waziri Simbachawane: Kazi ndio heshima ya mtu

Na Mwandishi wetu,JamhuriMedia, Dodoma Wakristo nchini wametakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kujietea maendeleo, changia pato la Taifa na kutatua changamoto zilizo katika maeneo yao. Hayo yameelezwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Mhe….

Tanzania na Qatar zajadili ajira wakati wa Kombe la Dunia

Tanzania imeihakikishia Qatar kuwa ipo tayari kutoa vijana watakaoweza kufanya kazi nchini humo, hususan katika kipindi hiki ambacho mahitaji ya nguvukazi ni makubwa kutokana na nchi hiyo kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Mpira wa Miguu wa Kombe la Dunia yatakayochezwa…

Mpango wa kuwawezesha vijana kujiajiri waiva

Na Mbaraka Kambona,JamhuriMedia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeandaa vituo atamizi vinne kwa ajili ya kuwafundisha vijana unenepeshaji wa mifugo ili waweze kujiajiri na kujiongezea kipato kupitia Sekta ya Mifugo. Kauli hiyo ilitolewa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Mashimba Ndaki…

Ajira Mpya 10,140 za Walimu Zatangazwa

Serikali inatarajia kuajiri walimu 10,140 katika shule za msingi ili kupunguza tatizo la uhaba wa walimu nchini. Kauli hiyo imetolewa leo Mei 2, bungeni jijini Dodoma na Naibu wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi),…

Tangazo la Nafasi za Kazi Mamlaka ya Anga Tanzania

The Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) was established to regulate the civil aviation industry to ensure effective implementation of Standards and Recommended Practices (SARPs) as provided in the Annexes to the Chicago Convention on the International Civil Aviation Organization (ICAO)…

NAFASI ZA KAZI KUTOKA SHIRIKA LA UTANGAZAJI LA TAIFA (TBC)

JOURNALIST II. – 6 POST Employer: Tanzania Broadcasting Corporation (TBC) Date Published: 2018-01-05 Application Deadline: 2018-01-19 JOB SUMMARY: N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES: i. Gathers and writes news and stories; ii. Writes scripts and continuities and prepares programmes for radio and…