Category: Habari Mpya
Amani si kwa ajili ya faida ya Rais wala Serikali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Aprili 5,2026 Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, alishiriki Tamasha la Pasaka la Mtoko na Christina Shusho lililofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam. Katika tamasha hilo, Waziri Mkuu alisema kuwa…
Serikali yahimiza matumizi ya vyakula vya asili
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Afya imewahimiza Watanzania kurejea katika matumizi ya vyakula vya asili kama sehemu muhimu ya kujenga afya bora, kuzuia magonjwa, na kusaidia matibabu kwa njia salama na endelevu. Akizungumza jijini Dodoma katika…
Makamu wa Rais akizungumza na mama Janeth Magufuli
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akizungumza na Mama Janeth Magufuli ambaye ni mjane wa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, wakati alipomtembelea…
Agizo la Dk Mwigulu kuhusu lumbesa laanza kutekelezwa
WIZARA ya Kilimo pamoja na Wizara ya Viwanda na Biashara zimeanza kutekeleza agizo la Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba kuhusu marufuku ya lumbesa katika mazao ya kilimo nchini. Kauli hiyo imetolewa leo Jumapili Machi 15, 2026 na Naibu Waziri wa…
Fursa mpya za madini zawafikia vijana
🟠Tume ya Madini yatangaza miradi, maeneo ya uchimbaji na mikopo ya uwekezaji kwa mwaka wa fedha 2026/2027 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Tume ya Madini imetangaza mipango ya miradi ya maendeleo na fursa mbalimbali kwa vijana katika mwaka wa fedha…





