RC Kunenge asisitiza uadilifu WCF

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkuu wa mkoa wa Pwani,Abubakari Kunenge ametoa rai , kwa Uongozi wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF )kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu ili kuepusha upotevu wa fedha za Serikali. Alitoa rai hiyo,wakati akifungua mafunzo kwa wakuu wa Usalama Barabarani wa Jeshi la Polisi Tanzania kutoka Wilaya za kipolisi Mkoa…

Read More

Kazi ya kusambaza umeme vijijini mwisho Desemba 2023- Kapinga

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga akitoa maelekezo kwa mkandarasi pamoja na wafanyakazi wake alipokagua vifaa vilivyopo katika karakana na mkandarasi huyo anayetekeleza mradi wa kusambaza umeme katika vijiji vilivyo pembezoni mwa mji katika wilaya ya Tabora mjini, wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya mradi huo mkoani Tabora. Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga…

Read More

NDC yajivunia mafanikio yake ndani ya mwaka mmoja

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia SHIRIKA la Taifa la Maendeleo (NDC)limesema ndani ya kipindi cha mwaka mmoja linajivunia maendeleo yake kwa kufanikiwa kutekeleza miradi mbalimbali ya kiuchumi ambayo imekuwa ikigusa sekta muhimu za kilimo, viwanda, madini, nishati pamoja na miundombinu ya biashara. Hayo ameyasema leo jijini Dar es salaam jMkurugenzi Mtendaji wa NDC, Dkt Nicolaus Shombe…

Read More

Tutaleta umeme vijijini – Dk Biteko

Lilian Lundo na Veronica Simba Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema shauku ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan ni kuona kila Mtanzania anapata umeme bila kujali aina ya nyumba aliyonayo, kwani kila Mtanzania anahitaji mwanga. Dk. Biteko amesema hayo leo Septemba 26, 2023 wakati…

Read More