JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Waziri Makamba aongoza kikao cha mwaziri nchi 15 za Jumuiya za EAC

Na Mwandishi Wetu, JamuhuriMedia, Zanzibar Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki January Makamba (Mb) ameongoza Mkutano wa faragha wa Mawaziri wa Mambo ya Nje na wanaoshughulikia masuala ya Afrika Mashariki katika Jumuiya ya Afrika Mashariki unaofanyika…

MAIPAC yazindua mradi wa mazingira, kupewa kiwanja Monduli

*Maarifa ya asili ya Wahadzabe katika uhifadhi kuandikwa Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Monduli Taasisi ya wanahabari ya Usaidizi wa Jamii za Pembezoni (MAIPAC) imezindua mradi wa uhifadhi wa mazingira kwa kutumia maarifa ya asili huko Halmashauri ya Monduli na kuahidiwa kiwanja…

Serikali kuweka mkazo wa maendeleo vijijini kupitia TARURA

Na Catherine Sungura, JamhuriMedia, Dodoma Serikali itaendelea kuweka mkazo wa kipekee katika kusukuma maendeleo vijijini kama njia sahihi ya kuchochoa uchumi jumuishi. Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mhe. Prof. Kitila Mkumbo wakati wa…

Serikali inakiongezea uwezo kituo cha kupoza umeme Mbagala – Kapinga

📌 Lengo ni kuondoa changamoto ya kukatika umeme Mbagala 📌 Asema mradi wa kupeleka umeme eneo la Kitume – Bagamoyo wafikia asilimia 57 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Naibu waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali inafanya upanuzi…