Sanga : Tutahakikisha tunatoa hati kupitia mradi wa LTIP
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony Sanga amesema wizara yake itahakikisha inatoa Hatimiliki za Ardhi katika maeneo yote Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi (LTIP) unatekelezwa. Mhandisi Sanga amesema hayo leo tarehe 27 Machi 2024 wilayani Nzega wakati wa ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu ya…