JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

JKCI yawafikia waumini KKKT Mbezi Beach kwa huduma za kibingwa

Na Mwandishi Maalumu – Dar es Salaam Jumla ya Waumini 93 wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Mbezi Beach wamefanyiwa uchunguzi wa magonjwa mbalimbali yakiwemo ya moyo katika jitihada za kusogeza huduma za kibingwa karibu na…

Serikali yaendelea kujidhatiti udhibiti magonjwa adimu

Na Hassan Kimweri, WAF – Dar es Salaam Serikali kupitia Wizara ya Afya kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo katika Sekta ya Afya, inaendelea kujidhatiti kwa kuimarisha mifumo ya huduma za afya kupitia tafiti mbalimbali ili kuhakikisha wagonjwa wenye magonjwa…

Milioni 30 zatolewa kusaidia watoto wanaotibiwa JKCI

…………………………………………….. Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wanawake wanaoshiriki mafunzo ya Female Future Program msimu wa 11, yanayotolewa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) wamechangia shilingi milioni 30 kusaidia matibabu ya moyo kwa watoto wanaotibiwa katika Taasisi ya Moyo…

Viongozi wa vijiji, mitaa na vitongoji ndio msingi wa maendeleo, tushiriki uchaguzi

Na Bwanku M Bwanku Nchi yetu kwa sasa inaendelea na michakato mbalimbali kuelekea kwenye tukio kubwa na muhimu la uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, mwaka huu, takribani wiki ikiwa imebaki. Tayari michakato mingi kuelekea tukio hili…

Tanzania yahimiza nchi zipate mikopo nafuu

Tanzania imetoa mwito kwa taasisi za fedha za kimataifa zitoe mikopo yenye riba nafuu ili nchi zinazokopa zikuze uchumi na kufikia malengo ya maendeleo endelevu. Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Amina Khamis Shaaban amesema katika kikao cha kwanza cha…

TANESCO kuanza kufanya maboresho ya Luku Pwani na Dar

Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia,Dar es salaam Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema kutakuwa na maboresho huduma zake katika mfumo wa Luku kwa wateja wake wa Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani kuanza Julai 22, 2024 ili kuendana na mabadiliko ya…