Yah: Naomba urais tena, sababu ninazo, ninatosha
Ndugu wananchi, katika waraka wangu uliopita niliomba mnipe nafasi ya kuongoza Taifa hili kubwa Afrika Mashariki na taifa tajiri kwa rasilimali zake, likiwa na kundi kubwa la maskini. Nazungumzia maskini waliokata tamaa na kukosa muelekekeo wa maisha yao, wamekata tamaa wakiamini lazima wafe maskini. Nilitoa angalizo la sera zangu, na nilitoa hofu ya kupata nafasi…