Nashauri Aisha apewe tuzo ya kitaifa

Laiti tungekuwa tunahangaishwa na mambo serious, kwa hakika taarifa ya dada Aisha Twalibu, mlinzi wa kampuni binafsi pale Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, ndiyo ingepamba mijadala kwenye vyombo vya habari na mitaani kwetu kote. Huhitaji kuelezwa ukweli kwamba mtu yeyote anayefanya kazi ya lindo kama alivyo Aisha ni mtu mwenye maisha ya kawaida mno. Huwezi kumpata…

Read More

Siri ya kukimbiwa baada ya kung’atuka

Tumemsikia aliyekuwa Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, akilalamika kuwa baada ya kung’atuka marafiki hawaonekani! Baada ya kustaafu ndiyo ametambua kuwa kumbe baadhi ya marafiki walikuwa ni marafiki wa nafasi aliyokuwa nayo, na kamwe hawakuwa marafiki wa Kova. Anashangaa kuona hata wengine hawapokei simu zake. Kwa waliosoma au kuusikia ujumbe…

Read More

Lipi kosa la huyu Mchina?

Tatizo letu wabongo (Watanzania) wengi tunadhani mvua inatoka juu mbinguni mawinguni kwa Mungu…hatujiulizi kwanini mvua hainyeshi jangwani au huko hakuna anga au Mungu hayupo? Maneno haya yaliwekwa na mwenzetu kwenye kundi letu la WhatsApp. Niliyapenda kwa sababu yanatafakarisha. Ni mafupi, mepesi lakini yaliyojaa ukweli wenye ujumbe mzito. Yakanifanya nirejee hotuba iliyotolewa na Rais wetu Samia Suluhu…

Read More

Taratibu tunarejea tulikokuwa kabla

Mmoja wa wasomaji kindakindaki wa JAMHURI amenipigia simu na kuukosoa msimamo wangu kuhusu wachuuzi (wamachinga), akisema ninavyopendekeza watengewe maeneo maalumu, maana yake ninataka tatizo hilo liendelee kukua. Kwa mtazamo wake, uwepo wa wamachinga wengi kiasi kinachoonekana sasa katika miji na hata vijiji nchini kote, ni jambo linaloashiria hatari kubwa iliyo mbele yetu. Anasema kadiri unavyojenga…

Read More

Tukisikia ya watesi wengine Sabaya ataonekana malaika

Watu waungwana hawashangilii binadamu anapofikwa na mabaya, lakini huwa hawajizuii kufurahi wanapoona haki imetendeka. Naam! Wapo wanaoshangilia si kwa kuwa Lengai Sabaya amefungwa, bali kwa kuona haki imetendeka. Ni jambo la huzuni kwa kijana mdogo kuhukumiwa kifungo kikali kiasi hicho, lakini hakuna namna. Yeyote anaweza kujikuta yuko jela, ama kwa haki, au kwa kuonewa. Kwa…

Read More