Wizara ya Afya ipate uongozi mpya

Albert Einstein, mmoja wa binadamu wenye akili za kiwango cha juu katika karne ya 20, alipata kusema: “We cannot solve our problems with the same thinking we used when we created them.” [Hatuwezi kutatua matatizo yetu kwa kutumia mawazo yale yale tuliyotumia kuyatenda]. Kila nikiwatazama Waziri na Naibu Waziri wa Afya, ninakumbuka maneno haya ya Einstein. Taarifa…

Read More

Hafla ya Rais azungumze Rais

Mzee Ali Hassan Mwinyi amepata kusema kila kitabu na zama zake. Kuanzia uongozi wa Awamu ya Kwanza hadi sasa Awamu ya Sita, yapo mambo yanabadilika kulingana na kiongozi aliye madarakani. Haiwezekani staili ya kiongozi mmoja ikafanana au ikatofautiana kwa asilimia mia na ya kiongozi mwingine. Tumekuwa na viongozi waliokuwa tayari kuzungumza na waandishi wa habari,…

Read More