Author: Jamhuri
Waziri Aweso: Tuna uhakika wa maji ya kutosha Dar na Pwani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso amewatoa hofu wakazi wa mikoa ya Dar es Salaam na Pwani kuhusu upatikanaji wa huduma ya majisafi mara baada ya kutembelea na kukagua maboresho yaliyofanyika katika mtambo wa…
TAWIRI yawakaribisha wadau kufanya tafiti katika spishi muhimu ya Sokwe
Na Mwandishi Wetu Mkurugenzi wa Kituo cha Utafiti wa Wanyamapori Magharibi kilichopo Kigoma ambacho ni miongoni mwa vituo vitano vya TAWIRI, Dr. Angela Mwakatobe ametoa wito kwa watafiti na wadau kuendeleza mashirikiano ya tafiti za wanyamapori hususani spishi muhimu ya…
Tanzania ina umeme wa kutosha – Dk Biteko
📌 Asema ni jitihada za uwekezaji uliofanywa na Rais Dkt. Samia 📌 Aipongeza TANESCO kwa kuhakikisha wananchi wanapata umeme wa uhakika Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt….
WanaCCM 153 Tabora wajitokeza kuwania ubunge
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora JUMLA ya wanachama 153 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Tabora wamechukua fomu za kuomba kuteuliwa na chama ili kuwania ubunge wa jimbo na viti maalumu katika Mkoa huo wenye jumla ya majimbo 12 ya…
Bondia Zugo kuwania ubingwa wa dunia Agosti 23
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora NYOTA ya Bondia wa Kimataifa, Mtanzania Abdul Zugo kutoka Tabora imeendelea kung’ara katika mapambano mbalimbali aliyocheza hivi karibuni ndani na nje ya nchi na sasa anajiandaa kuwania ubingwa wa dunia wa uzito wa kati. Akizungumza…
Lindi yajivunia mchango wa NGOs katika maendeleo
Na WMJJWM, Lindi Mkuu wa Mkoa wa Lindi Zainab Telack amesema Serikali inatambua mchango wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali katika kuleta maendeleo kwa wananchi. Hayo yamesemwa Julai 10, 2025 na Mkuu wa Wilaya ya Lindi Victoria Mwanziva kwa niaba ya…