Jamhuri

Shoroba 41 hatarini kufungwa, DC Babati aonya wanaochochea migogoro maeneo ya hifadhi

Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha. Wakati Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori nchini (TAWIRI) ikieleza mapito ya wanyama(shoroba) 41 yapo hatarini kufungwa kutokana na ongezeko la shughuli za kibinaadamu ,Mkuu wa Wilaya ya Babati, Lazaro Twange ameonya viongozi wa vijiji wanaohamasisha uvamizi wa maeneo hayo. Maeneo ya mapito ya Wanyama ni muhimu katika Utalii, uhifadhi na kibaiolojia…

Read More

Naibu Waziri Pinda aagiza kuundwa timu kufanya tathmini vyuo vya ardhi Tabora, Morogoro

Na Mwandisho Wetu, JamhuriMedia, Tabora Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Geofrey Pinda amemuelekeza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Mhandisi Anthony Sanga kuunda timu maalum ya kufanya tathmini kwa vyuo vyake vya Ardhi Tabora na Morogoro na kushauri namna bora ya kuboresha vyuo hivyo. ‘’Wizara inakwenda kuandaa timu maalum kuja kufanya upya…

Read More