Author: Jamhuri
NMB, DSE wazindua manunuzi, mauzo ya hisa kidijitali mkononi
BENKI ya NMB kwa kushirikiana na Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE), wamezindua mashirikiano ya kimkakati na ya Kidijitali ya Ununuzi na Uuzaji wa Hisa za Kampuni mbalimbali zilizoorodheshwa DSE ambapo kupitia aplikesheni ya NMB mkononi unaeza kuipata…
Waziri Mambo ya Nje wa Cyprus akamilisha ziara yake nchini
Waziri wa Mambo ya Nje wa Cyprus Dkt. Constantinos Kombos amekamilisha ziara yake ya kikazi ya siku tatu nchini na kuagwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Said Shaib Mussa…
Waziri Aweso: Tuna uhakika wa maji ya kutosha Dar na Pwani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso amewatoa hofu wakazi wa mikoa ya Dar es Salaam na Pwani kuhusu upatikanaji wa huduma ya majisafi mara baada ya kutembelea na kukagua maboresho yaliyofanyika katika mtambo wa…
TAWIRI yawakaribisha wadau kufanya tafiti katika spishi muhimu ya Sokwe
Na Mwandishi Wetu Mkurugenzi wa Kituo cha Utafiti wa Wanyamapori Magharibi kilichopo Kigoma ambacho ni miongoni mwa vituo vitano vya TAWIRI, Dr. Angela Mwakatobe ametoa wito kwa watafiti na wadau kuendeleza mashirikiano ya tafiti za wanyamapori hususani spishi muhimu ya…
Tanzania ina umeme wa kutosha – Dk Biteko
📌 Asema ni jitihada za uwekezaji uliofanywa na Rais Dkt. Samia 📌 Aipongeza TANESCO kwa kuhakikisha wananchi wanapata umeme wa uhakika Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt….