Author: Jamhuri
Kamati ya Bunge yapongeza miradi ya TEHAMA, yataka wabunifu walindwe
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Mhe. Selemani Moshi Kakoso, imefanya ziara katika ofisi za Tume ya TEHAMA (ICTC) kwa kukagua shughuli za taasisi hiyo, ikiwemo mradi wa…
Wachimbaji wadogo waishukuru Serikali
MBOGWE WACHIMBAJI wadogo wa madini wilayani Nyang’wale wameishukuru Serikali kwa kutengeneza mazingira mazuri kwa wawekezaji ambao wanatoa msaada wa kiufundi ambapo elimu ya uchimbaji na vifaa vimetolewa kwa wachimbaji hao. Lengo ni kuwatoa kwenye uchimbaji mdogo na kuwa uchimbaji wa…
Nchi 43 kupigwa marufuku kusafiri Marekani
UTAWALA wa Rais wa Marekani Donald Trump umetoa pendekezo la kuweka marufuku mpya ya kusafiri kuingia nchini humo itakayowaathiri raia wa mataifa kadhaa kwa viwango vinavyotofautiana. Kulingana na gazeti la Marekani la New York Times lililowanukuu maafisa ambao hawakutajwa majina…
Marekani yamfukuza balozi wa Afrika Kusini kwa kumchukia Rais Trump
Marekani imemfukuza balozi wa Afrika Kusini Ebrahim Rasool. Waziri wa Mambo ya Nje Marco Rubio amesema balozi huyo ni mwanasiasa mbabe, haipendi Marekani na anamchukia Rais Donald Trump. Uhusano kati ya Marekani na Afrika Kusini umekuwa ukizorota tangu Trump alipokata…
Dkt. Ndumbaro azitaka Bodi za Wadhamini zising’ang’anie madaraka
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Katiba na Sheria Dk Damas Ndumbaro ameziagiza Bodi mbalimbali za Wadhamini wa taasisi ambazo zimemaliza muda wake wa uongozi kufanya uchaguzi mara moja ndani ya kipindi cha miezi miwili.Akizungumza kwenye ufunguzi…
Prof. Janabi miongoni mwa wagombea watano kumrithi Ndugulile WHO
Mmoja wa wataalamu wakubwa wa afya nchini Tanzania, Profesa Mohamed Janabi, ametangazwa rasmi kuwania nafasi ya Mkurugenzi wa Kanda wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa Kanda ya Afrika. Prof. Janabi, ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili…