Jamhuri

Putin ashinda urais Urusi

Rais wa Urusi, Vladimir Putin ameshinda uchaguzi wa rais kwa asilimia 87.97 ya kura, kulingana na matokeo rasmi ya kwanza yaliyooneshwa Jumapili baada ya zoezi la kupiga kura kufungwa. Putin,71, aliyeingia madarakani mwaka 1999, alipata muhula mpya wa miaka sita kama rais, akimpita Josef Stalin kama kiongozi aliyekaa madarakani kwa muda mrefu zaidi nchini Urusi….

Read More