
Serikali yaboresha miundombinu ya elimu, afya Manispaa Kigoma/ Ujiji
Na Allan Vicent, JamhuriMedia, Kigoma SERIKALI ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imepeleka zaidi ya sh bil 8 katika halmashauri ya manispaa Kigoma-Ujiji ili kuboreshwa miundombinu ya elimu na afya. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa manispaa hiyo Mwantum Mgonja alipokuwa akiongea na mwandishi wa gazeti hili ofisini kwake. Amesema…