Jamhuri

Shoroba 41 hatarini kufungwa, DC Babati aonya wanaochochea migogoro maeneo ya hifadhi

Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha. Wakati Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori nchini (TAWIRI) ikieleza mapito ya wanyama(shoroba) 41 yapo hatarini kufungwa kutokana na ongezeko la shughuli za kibinaadamu ,Mkuu wa Wilaya ya Babati, Lazaro Twange ameonya viongozi wa vijiji wanaohamasisha uvamizi wa maeneo hayo. Maeneo ya mapito ya Wanyama ni muhimu katika Utalii, uhifadhi na kibaiolojia…

Read More