Author: Jamhuri
FCC yawahamasisha wananchi kulinda afya na haki zao dhidi ya bidhaa bandia
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia Dar es Salaam TUME ya Ushindani (FCC) imewataka wananchi kuwa mstari wa mbele katika kulinda afya na usalama wao kwa kujiepusha na bidhaa bandia, huku ikisisitiza umuhimu wa elimu kwa jamii kuhusu haki za walaji na…
TEA kuanza na awamu nyingine mafunzo ya kuendeleza ujuzi
…..Vijana 160,000 kunufaika Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Elimu Tanzania (TEA), imesema mwaka huu wa fedha itaanza utekelezaji wa awamu nyingine ya Mfuko wa Kuendeleza Ujuzi (SDF) ambapo unatarajiwa kutumia Dola za Marekani milioni 30 ndani…
Nishati safi ya kupikia ni ajenda ya dunia, Wizara inatekeleza kwa vitendo – Dk Kazungu
📌Apokea Magari Mawili kutoka Umoja wa Ulaya kwa ajili ya kuanza kampeni ya kutoa elimu ya uhamasishaji wa nishati safi ya kupikia nchi nzima 📌 Amshukuru Dkt Samia kwa kuwa kinara wa nishati safi na kuibeba ajenda hiyo 📌 Umoja…
SADC : Sekta ya nishati iwe kichocheo cha kuunganisha Afrika kujenga uchumi
📌 Yasisitiza utekelezaji wa miradi ya kipaumbele ya Nishati 📌 Kapinga ataka SADC kuweka dhamira thabiti na mikakati madhubuti ya utekelezaji wa Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia Mawaziri wanaoshughulikia masuala ya Nishati na Maji wa Nchi za Jumuiya ya…
Singida yatumia zaidi ya Trilioni 1.7 kufungua fursa za maendeleo
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mkoa wa Singida umeweka historia ya maendeleo kwa kutumia zaidi ya shilingi trilioni 1.72 katika kipindi cha miaka mitano (2020/21 hadi 2024/25), fedha zilizotolewa na Serikali Kuu, mapato ya ndani pamoja na michango kutoka kwa wadau wa…
Dk Jingu aitaka jamii kuwatunza wazee ikiwemo kupinga vitendo vya ukatili dhidi yao
📌 AWASHAURI VIJANA KUJIANDAA NA UZEENa WMJJWM – MwanzaKatibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. John Jingu ameitaka jamii kushiriki kikamilifu katika kuwatunza wazee wao, kuwaheshima, kuwaangalia na kulinda dhidi ya vitendo vya…