Author: Jamhuri
Tutuba : Benki Kuu yanunua tani 28 za dhahabu zenye thamani ya trilioni 9.76
Na Benny Mwaipaja, Banjul, Gambia Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Bw. Emmanuel Tutuba, amesema kwamba katika kipindi cha miezi 18 iliyopita, Benki Kuu ya Tanzania imenunua na kuhifadhi takriban tani 28 za dhahabu, zenye thamani ya dola za Marekani…
Waziri Mkuu: Tutafute mbinu mpya za kukieneza kiswahili
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuna haja ya kutafuta mbinu mpya ya kukieneza Kiswahili baada ya kuwa kimepata hadhi ya kimataifa. “Kadiri Kiswahili kinavyoendelea kupata hadhi ya kimataifa, ni muhimu sasa kuanza kutazama hatua inayofuata ya kukieneza duniani. Mataifa…
Wasimamizi wa ghala waagizwa kuzingatia uadilifu na uweledi
Na.Mwandishi Wetu, Morogoro Watumishi na wasimamizi wa shughuli za ghala nchini wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu, weledi na uwajibikaji ili kuimarisha Mfumo wa Stakabadhi za Ghala na kuongeza ufanisi katika biashara ya mazao ya kilimo. Wito huo umetolewa na…
Mifugo iliyohifadhiwa ghalani kuwa dhamana ya mikopo kwa wafugaji
Wafugaji nchini wanatarajiwa kunufaika na biashara ya kisasa ya mifugo baada ya Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) kuanza kuingiza mifugo katika Mfumo wa Stakabadhi za Ghala, utakaounganisha taarifa za mifugo kidijitali na kuwawezesha wanunuzi kushindana kwa uwazi…
Wazalishaji kutumia alama ya ‘Made in Tanzania’ kuongeza ushindani kimataifa
Serikali imewaagiza wazalishaji wote nchini kutumia alama ya ‘Made in Tanzania’ ili kuongeza imani kwa bidhaa zinazozalishwa nchini na kuimarisha ushindani wake katika masoko ya kimataifa. Agizo hilo limetolewa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe….
Tanzania yatoa wito wa ushirikiano wa kimataifa katika matumizi ya akili unde
Tanzania imezitaka Nchi Duniani kuimarisha ushirikiano wa kimataifa katika maendeleo na usimamizi wa Akili Unde (AI) ili kuhakikisha mataifa yote yananufaika kwa usawa na fursa zinazotokana na teknolojia hiyo. Wito huo umetolewa leo tarehe 6 Julai, 2026 na Waziri wa…





