JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Madini, Bomba la Mafuta na bandari vyageuza Tanga kuwa kitovu cha maendeleo

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Sekta ya madini imeendelea kuwa kichocheo kipya cha maendeleo kwa Mkoa wa Tanga, ambapo wananchi katika maeneo mbalimbali wameanza kunufaika na shughuli za utafutaji, uchimbaji na biashara ya madini. Kupitia usimamizi madhubuti wa Serikali ya Awamu…

Wagombea mtegemeeni Mungu

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Arusha Wiki iliyokwisha nimeitumia kusikiliza upepo wa siasa unavyokwenda hapa nchini. Kwa hakika kugombea iwe ubunge au udiwani ni kazi kwelikweli. Wagombea simu zao zinapokewa kila zikiita na kila ujumbe wanaujibu. Sitaki kuamini kuwa teknolojia ya…

Mradi wa Sequip wapeleka neema Geita

Na Mwandishi Wetu, Geita Kupitia Mradi wa kuboresha Ubora wa Elimu Sekondari (SEQUIP) wananchi mkoani Geita wamenufaika na miundombinu ya ujenzi wa shule mpya mbili za sekondari zitakazorahisisha upatikanaji wa huduma za elimu mkoani humo. Shule hizo ni pamoja na…

RC Sirro: Nitawapigia wahalifu walionibip

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Simon Sirro amesema atawapigia wahalifu waliombipu kutokana na kukasirishwa na kitendo cha kuteka magari kilichotokea wilayani Kibondo mwishoni mwa wiki iliyopita na kwamba hatua madhubuti zimechukuliwa kukabiliana na wale wote…

TAWA yapokea tuzo kutoka Taasisi Foundation for disabilities hope

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imepokea Tuzo ya shukrani kutoka kwa Taasisi isiyo ya Serikali inayojulikana kama Foundation for Disabilities Hope (FDH) iliyopo Mkoani Dodoma. Akizungumza katika utoaji wa tuzo hiyo iliyofanyika Julai…

Umri wa kunywa pombe kuongezwa Kenya hadi miaka 21

Mamlaka ya Kitaifa ya Kampeni dhidi ya Matumizi Mabaya ya Pombe na Dawa za Kulevya (NACADA) inapanga kutekeleza sheria kali zaidi kuhusu uuzaji na unywaji wa pombe na dawa za kulevya. Sera ya taifa hilo ya kudhibiti matumizi haramu ya…