JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Baraza la wafanyakazi Ofisi ya Mwanasheria Mkuu lakutana

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani BARAZA la Wafanyakazi la Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali limekutana na kufanya kikao kwa ajili ya kujadili masuala mbalimbali yatakayosaidia kurahisisha utendaji kazi na kutoa huduma bora zaidi za kisheria kwa wananchi. Kikao hicho…

Kampeni ya ‘Ubungo usiku kama mchana’ yazinduliwa

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKUU wa Wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko (ambae ameteuliwa kuwa mkuu wa wilaya ya Hai) Mkuu wa Wilaya amezindua kampeni ya “Ubungo Usiku kama Mchana” ambapo katika wilaya hiyo kazi za uzalishaji na…

JKCI yazidi kutanua wigo wa huduma za matibabu nchini

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kituo cha matibabu ya magonjwa ya moyo cha Jakaya Kikwete (JKCI) kimezidi kutanua wigo wa matawi yake nchini. Kituo hicho ambacho kiliasisiwa nchini mwaka 2015 mpaka kufikia mwaka huu 2025 kinakwenda kutimiza miaka…

Watatu mbaroni kwa wizi mtoto wa miezi saba, wakutwa msituni

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Jeshi la Polisi Mkoani Pwani limewakamata watu watatu wanaodaiwa walimchukua mtoto wa miezi saba, Merysiana Melkizedeck, katika tukio la uvamizi lililotokea Januari 15, 2025, ambao walikuwa wamejificha katika msitu uliopo kati ya eneo la Kimalamisale…

Bashe ahimiza ushirikiano kati ya Tume ya Umwagiliaji na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri

Na NIRC Dodoma Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, amehimiza ushirikiano kati ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri, katika kusimamia miradi ya Umwagiliaji nchini. Amesema Tume inatekeleza mradi wa Mifumo Himilivu ya Chakula nchini(TFSRP) lengo ni…

Waziri Kombo akutana na Waziri wa Uchukuzi wa Czech

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amefanya mazungumzo na Waziri wa Uchukuzi wa Jamhuri ya Czech, Mhe. Ing. Martin Kupka jijini Prague Januari 18, 2025. Waziri Kombo alisema sekta ya uchukuzi ni…