JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Watu nane wafariki kwa ajali, wengine 36 wajeruhiwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Watu nane wamefariki dunia na wengine 36 wamejeruhiwa baada ya basi la abiria mali ya Kampuni ya Nyehunge kugongana na basi la Asante Rabi alfajiri ya saa 12 Oktoba 22,2024 katika eneo la Ukiriguru Wilaya…

Chadema imepoteza ushawishi – Dkt. Slaa

Na Mwandishi Wetu, JammhuriMedia, Dar es Salaam Kada na kiongozi muandamizi wa zamani wa Chadema, Dk. Wilbroad Slaa, ameshutumu vikali chama hicho kwa kushindwa kujiandaa kikamilifu kwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa, vitongoji, na vijiji. Katika kauli yake isiyo na…

Wizara ya Habari yatiliana saini makubaliano ya uwekezaji na Kampuni ya China

Na Mwandishi wetu, JamuhuriMedia, Dar es salaam Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Oktoba 21, 2024, imetiliana saini makubaliano ya uwekezaji na mafunzo na Kampuni ya Huduma za Mawasiliano ya Kielekroniki ya China (CECIS LTD) ambapo kupitia makubaliano…

Vijana zaidi ya 500 kutoka mataifa mbalimbali wajadili haki ya kumiliki ardhi Arusha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Zaidi ya vijana 500 kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika Jumatatu wamekutana Jijini Arusha ,Tanzania kujadili namna watakavyoweza kupata fursa na haki ya kumiliki ardhi katika nchi zao, na kuitumia kujikwamua kwenye umaskini. Mkutano ulioandaliwa na…

Mti uliong’olewa kwa upepo mkali wajisimika tena, hofu yatanda

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Hali ya taharuki imezuka katika kijiji cha Bukabuye, Wilaya ya Misenyi mkoani Kagera kufuatia mti uliong’oka kwa upepo mkali ndani ya miaka mwili iliyopita na matawi yake kutumika kama kuni, kukutwa umejisimika tena kwenye shimo…

Marekeni yaendelea kuchunguza nyaraka za kijasusi zenye usiri mkubwa

Wachunguzi wa Marekani wanaendelea kuchunguza uvujaji wa nyaraka mbili za kijasusi zenye usiri mkubwa mtandaoni. Nyaraka hizo zilionekana kwenye Telegram na zinadaiwa kuwa na tathmini ya mipango ya Israel kuishambulia Iran. Uvujaji huu umeleta taharuki kwa maafisa wa Marekani. Nyaraka…