
Madaktari wazawa waendelea kupandikiza figo Muhimbili
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaMadaktari wazawa Hospitali ya Taifa Muhimbili wanaendelea kufanya upasuaji wa kupandikiza figo ambapo wagonjwa 12 kuanzia leo watapata huduma hiyo sita kati yao watafanyiwa Upanga kwa njia ya kawaida na sita watafanyiwa wiki ijayo huko Mloganzila kupitia mfumo wa matundu madogo. Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa…