RC Kunenge asisitiza uadilifu WCF

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkuu wa mkoa wa Pwani,Abubakari Kunenge ametoa rai , kwa Uongozi wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF )kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu ili kuepusha upotevu wa fedha za Serikali. Alitoa rai hiyo,wakati akifungua mafunzo kwa wakuu wa Usalama Barabarani wa Jeshi la Polisi Tanzania kutoka Wilaya za kipolisi Mkoa…

Read More

Kazi ya kusambaza umeme vijijini mwisho Desemba 2023- Kapinga

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga akitoa maelekezo kwa mkandarasi pamoja na wafanyakazi wake alipokagua vifaa vilivyopo katika karakana na mkandarasi huyo anayetekeleza mradi wa kusambaza umeme katika vijiji vilivyo pembezoni mwa mji katika wilaya ya Tabora mjini, wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya mradi huo mkoani Tabora. Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga…

Read More