JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Shule za Tusiime kufundisha program za kompyuta kuanzia shule ya awali

Na Mwandishi Wetu, JamhiriMedia, Dar es Salaam KATIKA jitihada za kuendana na mtaala mpya wa elimu uliozinduliwa hivi karibuni na Serikali, unaojumuisha Mahili 11 yanayolenga kuendeleza ujuzi na stadi kwa wanafunzi, shule za Tusiime zimechagua program za Kompyuta kama kipaumbele…

Marekani na China zakubaliana kupunguziana ushuru

Waziri wa Fedha wa Marekani Scott Bessent, ametangaza makubaliano ya ushuru wa forodha kati ya Marekani na China. Besented: Ushuru kushuka kwa 115% Bessent amesema baada ya majadiliano “madhubuti”, Marekani na Uchina zimekubaliana kusitisha ushuru uliopandishwa kwa siku 90 “kwa…

Bejeti ya matumizi, Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia yaomba kuidhinishiwa trilioni 2.4

Ili kuwezesha utekelezaji wa malengo yaliyoanishwa kwa mwaka wa fedha 2025/26, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia na Taasisi zake imeomba Bunge kuidhinisha makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka wa fedha 2025/2026 yenye jumla ya shilingi Trilioni 2.439 Kati…

Wachimbaji Geita wampongeza Rais Samia kwa mafanikio makubwa ya sekta ya madini

▪️Wachimbaji Madini wapongeza upatikanaji wa Leseni na mazingira rafiki ya biashara ▪️Waziri Mavunde aainisha mafanikio 16 ya Rais Samia kwenye sekta ya Madini ▪️Aagiza uanzishwaji wa Soko la Dhahabu Katoro ▪️RC Shigela aja na mikakati mizito ya kupaisha sekta ya…

Waziri Lukuvi: Maandalizi ya mazishi ya hayati Cleopa Msuya yamekamilika

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera Bunge na Uratibu), William Lukuvi, amethibitisha kuwa maandalizi ya mazishi ya Hayati Cleopa David Msuya, aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu wa Tanzania, yamekamilika. Waziri Lukuvi alitoa taarifa hiyo…

Kanisa Anglikana lasisitiza umuhimu wa Uchaguzi Mkuu Oktoba

📌 Askofu Mkuu Maimbo Mmdolwa ahimiza katiba ifuatwe 📌 Dkt. Biteko asema milango ya Serikali iko wazi kwa mazungumzo 📌 Asema Serikali inathamini mchango wa kanisa kwa jamii Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Askofu Mkuu…