JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Majambazi Watatu Wauawa na Kupatikana kwa Silaha Ak.47

  Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dsm mnamo tarehe 28/11/2017 na tarehe 30/11/2017 askari walifanya oparesheni maalum ambayo ilifanikisha kukamatwa kwa watuhumiwa watatu ambao wanajihusisha na matukio ya uporaji na mauaji mbalimbali katika jiji la Dar es salaam. Baada ya…

Polisi Watoa Tamko Sherehe za Uhuru Desemba 9 , 2017

Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma limewahakikishia usalama wageni wote wanaotarajia kuhudhuria sherehe za maadhimisho ya siku ya Uhuru, Disemba 9 na kuwataka kuwa na amani kwani Jeshi hilo limejipanga kikamilifu. Akizungumza na waandishi wa habari jana Jumatatu, Disemba 4, Kamanda…

RC Wangabo ashauri gereza la Mollo kujikita kwenye uzalishaji wa mbegu za mahindi na kuuza.

  Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amelishauri gereza la kilimo la Mollo kuona umuhimu wa kujikita kwenye uzalishaji wa mbegu ili kuuza na gereza hilo kuweza kujiendesha na kupambana na changamoto mbalimbali zilizopo katika gereza hilo. Amesema…

SOKA: Wabunge wa Tanzania Wamewatandika Wabunge wa Burundi

  KATIKA Michuano ya East Africa Parliamentary Games inayoshirikisha Vilabu vya Mabunge ya nchi za Afrika Mashariki, mechi iliyopigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Timu ya mpira wa miguu Bunge la Tanzania jana iliibuka na ushindi wa…

Wabunge wa Chadema Warudishwa Tena Rumande

Morogoro. Wabunge Susan Kiwanga na Peter Lijualikali waliofikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro pamoja na washtakiwa wengine 36 wamerejeshwa rumande. Mahakama iliyokuwa itoe uamuzi wa dhamana leo Jumanne Desemba 5,2017 imekwama kufanya hivyo kutokana na kuibuka hoja za kisheria….

AJIRA: Technical Advisor anahitajika Mwanza

Job description Why Choose IntraHealth At IntraHealth, we are a global team of creative, committed humanitarians on a mission. We are advocates, technologists, health workers, and communicators. Program officers, finance experts, and technical leaders. We are passionate and diverse. And…