Kawishe bilionea mpya wa Tanzanite

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMediaa,Mirerani MCHIMBAJI wa madini ya Tanzanite wa Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Anselim Kawishe ametangazwa kuwa bilionea mpya wa madini ya Tanzanite. Kawishe amekuwa bilionea mpya baada ya kupata vipande viwili vya madini hayo vya thamani ya sh.bilioni 2.2 Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Adolf Nduguru amemtangaza bilionea huyo…

Read More

Daraja JP Magufuli la sita kwa urefu Afrika

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Mwanza Daraja la JP Magufuli linalojengwa Mwanza na kuziunganisha wilaya za Misungwi na Sengerema kupitia Ziwa Victoria linatarajiwa kuwa refu kuliko yote Afrika Mashariki na Kati na la sita kwa urefu barani Afrika kwa takwimu za sasa. Kauli hiyo imetolewa jijini hapa hivi karibuni na Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Barabara…

Read More