UN na jitihada za kuisaidia Tanzania
Tanzania ni nchi tajiri kwa rasilimali, na licha ya pato lake kukua mwaka hadi mwaka, wananchi wake ni maskini.
Tanzania ni nchi tajiri kwa rasilimali, na licha ya pato lake kukua mwaka hadi mwaka, wananchi wake ni maskini.
Leo nitawapitisha wajasiriamali katika somo muhimu kuhusu rangi. Je, unafahamu chimbuko la neno yeboyebo hapa nchini? Twende pamoja. Miaka michache iliyopita, kampuni moja ya hapa Tanzania ilitambulisha bidhaa zake za juisi zilizokuwa zikifahamika kama “Yebo”. Juhudi kubwa ilielekezwa katika kuitangaza kwa watumiaji. Juisi ile ilikuwa ni ya rangi ya njano na katika matangazo ya kwenye…
*Moto waanzia Pugu, Mlimani, sasa kuenea nchi nzima
*Unalenga kuwafunza watoto faida za kutumia benki
Benki ya NMB mara zote imekuwa mbele katika kubuni na kutekeleza miradi mbalimbali, yenye lengo la kuwainua Watanzania kimaisha.
Katika zama hizi za utandawazi, dunia yetu imetawaliwa na mifumo ya aina nyingi inayotikisa na kugusa maisha kila siku ya wakazi wa dunia nzima. Moja ya mifumo hiyo ni mfumo wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEKNOHAMA) pamoja na mfumo wa biashara.