ACT-Wazalendo wataka kutungwa sheria ya kilimo

Na Allan Vicent,JamhuriMedia,Tabora Chama cha ACT-Wazalendo kimeshauri Serikali kutunga sheria ya kilimo na kuweka utaratibu wa kodi kama ilivyo katika sekta ya madini ili kuleta tija na ufanisi ikiwemo kuhimiza kilimo cha umwagiliaji. Ushauri huo umetolewa na kiongozi wa chama hicho Zuberi Zitto Kabwe alipokuwa akiongea na mamia ya wanachama na wapenzi wa chama hicho…

Read More

Majaliwa : Tutaendelea kuwatumikia Watanzania

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wana-CCM na wananchi kwa ujumla waendelee kuiamini Serikali yao kwa sababu watendaji wake wamejipanga kuwatumikia kwa weledi, uadilifu na uaminifu wa hali ya juu. Pia, Waziri Mkuu amesema Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan na Mwenyekiti wa CCM Taifa amefanya maboresho…

Read More